
UGOMVI UWEKWE KANDO, LIGI IENDELEE
USHINDANI ambao unaendelea kwenye Ligi Kuu Bara unazidi kuonyesha namna ukomavu wa soka letu linavyozidi kukua kila iitwapo leo. Kuna mengi ya kuendelea kuyaboresha ili ligi izidi kuwa imara zaidi. Kwa upande wa wachezaji pamoja na sehemu ambayo inaamua matokeo yenyewe ikiwa ni uwanja. Ubora wa uwanja ni daraja kubwa kwa kuendeleza kutoa burudani ambapo…