UGOMVI UWEKWE KANDO, LIGI IENDELEE

USHINDANI ambao unaendelea kwenye Ligi Kuu Bara unazidi kuonyesha namna ukomavu wa soka letu linavyozidi kukua kila iitwapo leo. Kuna mengi ya kuendelea kuyaboresha ili ligi izidi kuwa imara zaidi. Kwa upande wa wachezaji pamoja na sehemu ambayo inaamua matokeo yenyewe ikiwa ni uwanja. Ubora wa uwanja ni daraja kubwa kwa kuendeleza kutoa burudani ambapo…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE: USHINDANI NI MKUBWA

KOCHA msaidizi wa  Singida Fountain Gate Thabo Senong ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mkubwa kutokana na kila timu kuhitaji ushindi ndani ya uwanja. Timu hiyo baada ya kucheza mechi 14 kibindoni ina pointi 20 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 17. Desemba 21 ilikuwa siku mbaya kazini kwa…

Read More

YANGA WANA BALAA HAO, AZIZI KI HASHIKIKI

NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga wana balaa kwenye msako wa pointi tatu huku nyota wao Aziz KI akiwa hashikiki kwenye kucheka na nyavu. Kasi yake imekuwa katika ubora ambapo alitoka kufunga mabao mawili kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar na Desemba 23 alifunga tena bao moja pekee ambalo liliipa pointi tatu muhimu Yanga….

Read More

KMC YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA SIMBA

UBAO wa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 umesoma KMC 2-2 Simba na kuwafanya wababe hawa wagawane pointi mojamoja. Katika mchezo wa leo KMC walianza kwa kuchukua tahadhari kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza walipata bao la kuongoza dakika 30 kupitia kwa Wazir Junior aliyefunga bao la pili pia dakika ya 88. Kwa Simba…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KMC

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa litaingia kwa tahadhari kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Simba ilitoka kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wao uliopita wa ligi ambapo mabao yalifungwa na Saido Ntibanozkia, Sadio anoute na John Bocco. Leo…

Read More

KAZI NZITO LEO HAPA LIVERPOOL PALE ARSENAL

Mtoto hatumwi dukani ndio unavyoweza kusema kuelekea mtanange mkali kati ya vilabu viwili venye ubora mkubwa kwasasa klabu ya Liverpool ambao watakua nyumbani kuikaribisha klabu ya Arsenal. Mchezo huu mkali wa kufungia mwaka utapigwa pale katika dimba la Anfield ambapo utaweza kutoa fursa pia kwa wateja wa Meridianbet kuchota maokoto, Kwani mchezo huu kati ya…

Read More

MWENDELEZO WA LIGI KUU BARA UMAKINI UNAHITAJIKA

MWENDELEZO wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mzunguko wa kwanza unapaswa kuendelea kwa hesabu kubwa kwa timu ambazo zinashuka uwanjani kwa wakati huu. Kila timu mpango kazi wake ni kupata matokeo hivyo kwa wale ambao hawajawa kwenye mwendo mzuri ni muda wa kufanya maboresho kwenye makosa yaliyopita. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo…

Read More

TABORA UNITED WATANGAZIWA JAMBO HILI NA YANGA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unazitaka pointi tatu za wapinzani wao Tabora United kuelekea mchezo wao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Ipo wazi kwamba Yanga ipo nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 10 ina pointi 27 inakutana na Tabora United iliyo nafasi ya 12 na pointi 15.  Ofisa…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI

KATIKA mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Desemba 22 ubao ulisoma Simba 0-4 Yanga kwenye NBC Premier League. Simba wakiwa wenyeji walishuhudia wakifungwa dakika ya 16 kupitia kwa Willyson Christopher, Shaban Ibrahim dakika 23, Ahmed Denis dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti, Hemed dakika ya 58. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More

MAAGIZO HAYA YAMETOLEWA NA MASTA GAMONDI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

FT: Machester United 0-3 Bournemouth

Baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Chelsea Manchester United imeshindwa kuendeleza mwenendo mzuri na kukubali kichapo cha 3-0 nyumbani dhidi ya Bournemouth. FT: Machester United 0-3 Bournemouth ⚽️ 5’ Solanke ⚽️ 68’ Billing ⚽️ 73’ Senesi #FULLTIME Brighton 1-1Burnley Sheffield United1-0 Brentford Wolves 1-1Nottingham Forest Crystal Palace 1-2 Liverpool

Read More

MAN UNITED VS CHELSEA KIPUTE CHA WABABE

Jumatano hii inapigwa mechi ya kibabe sana katika ligi kuu ya Uingereza kati ya klabu ya Manchester United dhidi ya Chelsea ambao watakua ugenini katika dimba la Old Trafford, Mchezo ambao ukawepo kwenye tovuti ya Meridianbet. Mchezo huu umepewa ODDS KUBWA pale Meridianbet ambapo unamuwezesha mteja kujishindia maokoto ya kutosha, Huku wakiwa wamepewa fursa ya…

Read More

UWANJA WA LITI WAFUNGIKWA

KAMATI ya Leseni za Klabu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeufungia Uwanja wa Liti, uliopo Singida. Uwanja huo ambao unatumiwa na Singida Fountain Gate kwa mechi za nyumbani kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara sasa hautatumika kwa michezo ya ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa…

Read More