KOCHA IHEFU ATAJA WALIPOKWAMIA

JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa mpango kazi ulivurugika baada ya timu hiyo kufungwa bao kipindi cha pili. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana Novemba 12,Uwanja wa Mkapa, Ihefu ilifanikiwa kutoruhusu bao ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili walikwama kulinda na kufunga na kuruhusu bao la…

Read More

YANGA WAJA NA ‘MIHOGO PARTY’

OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa ushindi ambao wamepata ni zawadi kwa Wananchi na Tanzania kiujumla hivyo ni furaha kwa kila mtu. Yanga metinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika kwa jumla ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Club Africain. Mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 0-0…

Read More

KIMATAIFA:CLUB AFRICAIN 0-0 YANGA

DAKIKA 45 za kimataifa ugenini huku mpira wa darasani ukionekana kwa timu zote mbili kwenye mchezo wa Kome la Shirikisho Afrika. Ubao unasoma Club Africain 0-0 Yanga Kibwana Shomari ni miongoni mwa wazawa ambao wameonyesha kiwango kizuri kwenye mchezo wa leo akiwa amepiga mashuti mawili ambayo yamelenga lango. Pia eneo la kiungo yupo Sure Boy…

Read More

AZAM FC WANATAKA POINTI TATU

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye mechi za ligi ambazo wanacheza kwa sasa wanahitaji pointi tatu tu na mabao kutoka kwa wachezaji wao. Azam FC imetoka kuipa maumivu Simba kisha ikawatuliza Ihefu FC kwa dozi ya mwendo wa mojamoja kwa timu hizo huku mtupiaji wao akiwa ni Prince Dube.  Ofisa Habari wa Azam…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUWAWAHI WAARABU

MAPEMA leo kikosi cha Yanga kimeanza safari kuelekea nchini Tunisia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Club Africain. Jesus Moloko nyota wa Yanga ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa kwenye msafara ulioanza safari leo Novemba 4,2022 kuelekea nchini Tunisia. Bernard Morrison, Khalid Aucho, Fiston Mayele, Diara, Mshery, Kibwana Shomari na Dickson Job nao…

Read More

YANGA KUSEPA KUWAFUATAA WAARABU

BAADA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 0-0 Club Africain, mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wawakilishi hao wa Tanzania kimataifa wanatarajiwa kusepa leo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Waarabu hao wa Tunisia, Novemba 9,2022. Wanahitaji ushindi wa aina yoyote ama sare ya kufungana…

Read More

MTAMBO WA MABAO SIMBA WAFICHUA SIRI YA KUTUSUA

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya kikosi cha Simba, Moses Phiri amesema kuwa kikubwa ambacho kinampa nafasi ya kufanya vizuri kwenye mechi anazocheza ni ushirikiano na wachezaji wote wa timu hiyo. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katupia mabao matano na kwenye Ligi Kuu Bara katupia mabao matano na kumfanya awe ametupia mabao 10 msimu…

Read More

AZAM FC KUIKABILI IHEFU

 AZAM FC ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu leo Oktoba 31. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Azam FC itaingia uwanjani ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Simba na kusepa na pointi tatu mazima huku kipa wao Ali Ahamada akifanikisha ngome…

Read More

BRIGHTON YAICHAPA CHELSEA 4G

UWANJA wa Falmer Brighton wamebaki na pointi tatu zote mazima kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu England. Bao la ufunguzi lilijazwa kimiani na Leandro Trossad dakika ya 5, Ruben Loftur-cheek alijifunga dakika ya 14 na Trevoh Chabobah alijifunga dakika ya 42 na kufanya mapumziko Brighton kuwa wanaongoza. Kipindi cha…

Read More

NABI ABAINISHA UGUMU ULIOPO

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kuwakabili wapinzani wao. Kocha huyo amebainisha kuwa ratiba ni ngumu ndani ya ligi hivyo wanapambana nayo kwa ajili ya kupata matokeo. Nabi anaingia uwanjani akiwa na kumbukumbu ya kukusanya pointi moja mbele ya Simba…

Read More

MWAMUZI WA KADI NYEKUNDU, TUTA, KUAMUA YANGA V SIMBA

WATANI wa jadi Yanga na Simba wapo kwenye mtihani mzito kutokana na kupewa mwamuzi mwenye rekodi ya kutoa kadi za njano, nyekundu pamoja na penalti kwenye mechi ambazo alikuwa kati. Leo Uwanja wa Mkapa ulimwengu utashuhudia Kariakoo Dabi ambapo tayari waamuzi wameshatangazwa ikiwa ni pamoja na Ramadhan Kayoko atakayekuwa mwamuzi wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa Oktoba…

Read More

MABEKI YANGA KUMKAZIA MOSES PHIRI KWA MKAPA

MABEKI wa Yanga wameweka wazi kuwa hawatakubali kufanya makosa na kuwaruhusu washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Moses Phiri kupata nafasi ya kuwafunga. Simba kwa sasa wanatamba na ubora wa mshambuliaji wao Moses Phiri ambaye ameifungia timu hiyo mabao 4 katika michezo 5 ya ligi kuu msimu huu, jambo ambalo ni tishio kuelekea mchezo wa leo…

Read More

SIMBA WABAINISHA WAMECHOKA KUFUNGWA NA YANGA

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umekiri kuwa umechoka kufungwa na Yanga, na safari hii watapambana kuhakikisha kuwa wanaibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Simba wameshindwa kupata matokeo katika michezo minne iliyopita ambayo walikutana na Yanga, wakiambulia sare mbili na vipigo viwili, mmoja wakipoteza katika nusu fainali…

Read More