BAADA YA KUPOTEZA, YANGA WAJA NA TAMKO HILI

UONGOZI wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata. Oktoba 4,2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 kwenye mchezo wa ligi ambao Yanga ilicheza ugenini dhidi ya Ihefu ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema:…

Read More

SIMBA:TULIENI TUTACHEZA MPIRA MZURI

KUTOKANA na kikosi cha Simba kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika mpira papatupapatu, Kocha Mkuu wa Simba Robert Oliveira ameweka wazi kuwa watafanya vizuri. Kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya Power Dynamos ubao ulisoma Power Dynamos 2-2 Simba na mabao ya Simba ni Clatous Chama alifunga. Ule wa pili ubao ulisoma Simba 1-1…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KUJIPANGA UPYA

FUTURE FC ya Misri imewafungashia virago Singida Fountain Gate ya Tanzania katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika. Oktoba Mosi, 2023 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Al Salaam, ulisoma Future 4-1 Singida Fountain Gate. Bao pekee la Singida Fountain Gate lilipachikwa na nyota Marouf Tchakei kwenye mchezo huo ambao Singida…

Read More

SIMBA YATINGA HATUA YA MAKUNDI, KOCHA AWAKA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba wanatinga hatua ya makundi wakiwa hawana furaha mashabiki, huku Kocha Mkuu, Roberto Oliveira akiweka wazi kuwa umakini kwenye umaliziaji nafasi uliwaponza. Simba wanatinga hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla ya mabao 3-3 faida ya mabao ya ugenini kwa kuwa mchezo wa kwanza ubao ulisoma Power Dynamos…

Read More

MWAMBA AJAZWA UPEPO SIMBA ATUMA UJUMBE KWA WAZAMBIA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia washambuliaji wake wakiongozwa na Jean Baleke kutumia vyema kila nafasi watakayoipata ili wapate bao la mapema ndani ya dakika 10 kuwavuruga wapinzani wao Power Dynamos ya nchini Zambia. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana leo Jumapili saa 10 kamili jioni kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamanzi jijini Dar….

Read More

NYOTA SIMBA ASHUSHA PRESHA, YUPO FITI KWA KAZI

KIUNGO wa Simba raia wa Ivory Coast, Aubin Kramo amerejea nchini akitokea nyumbani kwao kwa ajili ya matibabu na sasa anaendelea vizuri akisubiria taratibu za kurejea uwanjani kuipambania timu yake. Kiungo huyo wiki moja iliyopita aliomba ruhusa kwa uongozi wa Simba ili arejee nyumbani kwao kwa ajili ya kwenda kujiuguza majeraha yake ya goti ambayo…

Read More

MWAMBA HUYU SIMBA KUWAPA TABU KWELIKWELI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa nyota wao Fabrince Ngoma bado anajitafuta licha ya kuonyesha uwezo kwenye mechi za ligi ambazo alipata nafasi ya kucheza. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mechi tatu kacheza akikomba dakika 225, katupia bao moja ilikuwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu. Wachezaji wa Simba, Oktoba Mosi…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KIMATAIFA WAONGEZEWA NGUVU

WAKIWA katika maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Future, Singida Fountain Gate kutoka Tanzania wameongezewa nguvu kupitia viongozi waliofika kambini. Wawakilishi hao kwenye anga la kimataifa Oktoba Mosi watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Future. Septemba 28, 2023 ugeni kutoka kwa viongozi ikiwa ni pamoja na waziri…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

KOCHA Mkuu wa Azam FC Yusuph Dabo amesema kuwa watafanyia kazi makosa yaliyopita kwenye mchezo wao dhidi ya Singida Fountain Gate ili kuendelea kupata ushindi. Katika mchezo huo Azam FC ilipata bao la ushindi dakika ya 90 kupitia kwa nyota wao Idd Suleiman, (Nado) alimtungua kipa wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya. Singida Fountain Gate…

Read More

TUSIJUMUISHE USHABIKI KWENYE MASUALA YA KUUMIZWA KWA INONGA

WAKATI mwingine si vibaya kusema mashabiki wa mpira na hasa Tanzania wamekuwa na mambo mengi sana yanayopaswa kulaaniwa. Binafsi nayaona ni masuala ambayo yanaonyesha ushabiki kupindukia wakati mwingine unakuwa ni tatizo kubwa sana. Ushabiki wa aina hiyo umewafanya mashabiki wengi washindwe kujitambua na ndio maana umeona baadhi ya mashabiki au wahamasishaji wanaotangaza zaidi chuki wamekuwa…

Read More

CHAMA GARI LIMEWAKA HUKO

MWAMBA wa Lusak, Clatous Chama gari limeweka kutokana na kasi yake ya kufunga na kutengeneza mabao kuanza kurejea kwa namna yake. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Chama alikuwa ni namba moja kwa viungo waliotoa pasi nyingi ndani ya ligi ambazo ni 14. Msimu wa 2023/24 pasi yake ya kwanza aliitoa kwenye mchezo wa ligi dhidi…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wake wote ni muhimu kuendelea kupambana kwenye mechi zote ili kuwapa burudani mashabiki na kupata matokeo chanya. Timu hiyo mchezo wake uliopita ilikomba pointi tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Dabo ameweka wazi kuwa bado wachezaji wanaonyesha…

Read More

BOSI SIMBA AMPA TUZO JEAN BALEKE

AKIWA na mabao matano kibindoni mshambuliaji wa Simba Jean Baleke amepewa kiatu cha ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Ni Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kwa namna mshambuliaji huyo alivyo na kasi ya kufunga kuna nafasi kubwa kwa nyota huyo kuwa mfungaji bora….

Read More