
GAMONDI APANGUA KIKOSI KIMATAIFA, HIKI HAPA
OCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Al Merrikh kutakuwa na mabadiliko ya kikosi tofauti na kile ambacho kilicheza katika mchezo wa kwanza kule nchini Rwanda. Yanga katika mchezo uliopita ambao ulifanyika nchini Rwanda wakiwa ugenini walifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Kennedy Musonda na…