Tanzania 0-1 Zambia kuwania kufuzu Kombe la Dunia

TIMU ya taifa ya Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Morocco imepoteza kwa kufungwa goli 1-0 dhidi ya Zambia katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan Oktoba 8 2025. Goli pekee la ushindi lilifungwa dakika ya 75 mfunganji Fashion Sakala akitumia pasi ya Lubambo Musonda likiwapa Zambia nafasi…

Read More

Bloomberg: Cristiano Ronaldo Bilionea wa Kwanza Katika Mpira wa Miguu

Mshambuliaji nyota wa Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ametajwa kuwa mchezaji wa kwanza wa soka kufikia hadhi ya bilionea, kwa mujibu wa ripoti mpya ya chombo cha masuala ya fedha, Bloomberg. Ripoti ya “Bloomberg Billionaires Index”, inayofuatilia watu matajiri zaidi duniani kulingana na thamani yao halisi, imemkadiria Ronaldo kuwa na utajiri unaofikia dola…

Read More

Mechi za Simba SC 2025/26 ndani ya 2025

MENEJA Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev ameanza kazi kwa ajili ya kuwapa mbinu wachezaji wa timu hiyo kuelekea kwenye mechi za ushindani msimu wa 2025/26. Mchezo wake wa kwanza mbinu zake zinatarajiwa kutumika kimataifa katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika mrithi wa mikoba ya Fadlu Davids ambaye alitua Bongo Oktoba 4 2025. Mchezo…

Read More