JESUS ATUA ARSENAL, AFANYA VIPIMO

UHAMISHO wa Gabriel Jesus kutokea Man City kwenda Arsenal ulitarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia jana jioni baada ya jana asubuhi kutua jijini London kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya. Mara baada ya kutua katika viwanja vya mazoezi vya Arsenal, Jesus alipokelewa na Mbrazili mwenzake, Edu ambaye alikumbatiana naye kabla ya kukamilisha uhamisho huo wa…

Read More

MTIBWA SUGAR KUCHEZA KAMA FAINALI LEO

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kwamba utapambana kwenye mchezo wa leo dhidi ya Yanga kama fainali ili kuweza kupata ushindi. Mtibwa Sugar ikiwa itapoteza mchezo wa leo inajiweka kwenye nafasi ya kushuka daraja jumlajumla jambo ambalo Mtibwa Sugar hawahalipendi. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 na ina pointi 31 huku Yanga ikiwa nafasi ya…

Read More

BIASHARA UNITED WANAHITAJI MAOMBI

UONGOZI wa Biashara United umewaomba mashabiki waweze kuiombea timu hiyo ili iweze kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Azam FC ili iweze kufufua matumaini ya kubaki ndani ya ligi.  Ofisa Habari wa Biashara United,Salma Thabit amesema kuwa nafasi ambayo wapo ni mbaya na wanahitaji ushindi mbele ya Azam FC leo. Mchezo wa leo ni wa…

Read More

MRITHI MIKOBA YA JOHN BOCCO KUJULIKANA

ILE vita ya nani atasepa na kiatu cha ufungaji bora kilicho mikononi mwa John Bocco nahodha wa Simba itajulikana rasmi leo Juni 29,2022 kwenye mechi za mwisho wa msimu wa ligi. Mpaka sasa hakuna mwenye uhakika wa kusepa na kiatu hicho kati ya washambuliaji wawili ambao ni mzawa Geogrge Mpole wa Geita Gold pamoja na…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

 JUNI 29,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara ngwe ya mwisho inatarajiwa kuchezwa leo kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Ni Mbeya Kwanza pekee ambaye ameshajua kwamba msimu jao atacheza Championship huku timu nyingine zikiwa na kazi ya kusaka ushindi kupata kile wanachopambania. Hii hapa ratiba ya kukamilisha msimu wa 2021/22 ambapo bingwa ni Yanga amecheza…

Read More

RASMI:KOCHA MPYA SIMBA NI MSERBIA

RASMI leo Juni 28,2022 Klabu ya Simba imemtangaza,Zoran Manojlovic kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akichukua mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31,2022. Kocha huyo raia wa Serbia aliwahi kufundisha ndani ya kikosi cha Al Hilal ya Sudan hivyo ana uzoefu na soka la Afrika. Ana umri wa miaka 59 hivyo anakuja Tanzania kuendeleza…

Read More

KOCHA HUYU ATAJWA KUINGIA ANGA ZA SIMBA

AMES Kwasi raia wa Ghana na nyota wa zamani wa Asante Kotoko anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kurithi mikoba ya Pablo Franco. Kwasi yeye zama za uchezaji wake alikuwa anacheza nafasi ya ulinzi ambapo alikuwa ni beki wa kushoto. Taarifa zinaeleza kwamba Simba wapo kwenye mazungumzo na kocha huyo raia wa Ghana…

Read More

HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI KIMATAIFA BONGO

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema kuwa ni timu nne ambazo zitaiwakilisha Tanzania katika anga la kimataifa.  Ni katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo ni nafasi nne zipo kwa timu za Tanzania. Kasongo amesema Yanga na Simba tayari wameshapatikana kuwakilisha michuano ya Ligi ya…

Read More

KIPA SIMBA AONGEZA MIAKA MIWILI

KIPA namba moja wa kikosi cha Simba ambacho kwa sasa kipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola Aishi Manula ameongezewa mkataba wake wa kuendelea kuitumikia timu hiyo. Nyota huyo mkataba wake ulikuwa unakaribia kufikia ukingoni na kuna timu ambazo zilikuwa zimeanza mazungumzo naye kwa ajili ya kuinsa saini yake. Manula ambaye ni chaguo la kwanza…

Read More