NAMUNGO WAGOTEA NUSU FAINALI,MLENDEGE WAMEPENYA

BAO la mapema lililojazwa kimiani na staa wa Namungo FC, Ibrahim Mkoko dakika ya 07 halikutosha kuifikisha timu hiyo kutoka bara hatua ya fainali. Ni kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 hatua ya nusu fainali ambapo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Mlandege 1-1 Namungo. Bao lililoweka usawa kwa Mlandege…

Read More

MBRAZIL WA SIMBA AMEANZA TAMBO

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliviera raia wa Brazil ameweka wazi kuwa kwa namna ambavyo ameanza kazi na wachezaji wa timu hiyo amefurahishwa na uwezo wao. Kocha huyo raia wa Brazil amepewa mikoba ya Zoran Maki aliyevunja mkataba na timu hiyo mwanzoni mwa msimu wa 2022/23. Nchini Dubai Simba imeweka kambi yake ambayo itachukua siku…

Read More

FOBA AJIFUNZE ILI AKOMAE

KIJANA mdogo kafanya makosa ya kitoto dakika ya 27 mbele ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa kuwania nafasi ya kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi 2023. Zuber Foba mpira aliorejeshewa na beki wake alikuwa na chaguo la kumpelekea Bruce Kangwa ambaye alikuwa kwenye eneo sahihi. Alikuwa anapewa maelekezo pia na mchezaji mwenzake…

Read More

MUDATHIR AAHIDI MAPAMBANO YANGA

KIUNGO mpya wa Yanga, Mudathir Yahya, ameweka wazi kuwa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, kina wachezaji wazuri jambo linalomfanya azidi kupambana. Ingizo hilo jipya ndani ya Yanga, mchezo wake wa kwanza kucheza ilikuwa dhidi ya KMKM katika Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo aliingia dakika ya 77 kuchukua nafasi ya Clement Mzize. Kwenye…

Read More

JEMBE JIPYA AZAM FC HILI HAPA LATAMBULISHWA

RASMI Azam FC imemtambulisha nyota mpya katikakikosi hicho ambaye ni kipa. Taarifa ya matajiri hao wa Dar imeeleza kuwa wameinasa saini ya nyota huyo kutoka Ghana, Abdulai Iddrisu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Bechem United ya kwao Ghana. Kazi imeanza kwa mabosi hao ambao waliweka wazi kuwa usajili wao utakuwa na mtikisiko ndani ya…

Read More

SIMBA YASHUSHA STRAIKA WA KAZI

ZIKIWA zimebaki siku saba tu kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo la usajili Januari 15, 2023, uongozi wa Simba umewashusha presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia watulie kwani mabosi wa timu hiyo wapo kwenye mazungumzo ya mwisho ya kuboresha kikosi chao kwa kushusha straika mpya. Kwenye dirisha hili dogo mpaka sasa, Simba ambao jana…

Read More

USAJILI WA YANGA KUITIKISA NCHI, ALLY KAMWE ATAMBA

OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe, amefunguka kwamba, kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15, mwaka huu, watatikisa nchi kwa usajili mkubwa watakaofanya. Usajili wa dirisha dogo ulifunguliwa Desemba 16, 2022 na unatarajiwa kufungwa Januari 15, 2023, huku Yanga ikiwa tayari imemsajili kiungo, Mudathir Yahya. Akizungumza na Spoti Xtra, Kamwe alifunguka kuwa: “Kwa…

Read More

HAWA HAPA MAKIPA WALIOTESWA NA AZIZ KI

KUISHI ni mapenzi ya Mungu na kwa kila jambo anastahili shukrani, katika hili la 2023 tunasema asante. Aziz KI 2022 kawatesa makipa kutokana na mapigo yake huru na mabao yanayowapa kero makipa. Hapa kwenye mwendo wa data tunakundoshea makipa waliopata tatu kutoka kwenye miguu ya Aziz KI:- Faroukh Shikalo Kipa namba moja kutunguliwa na Aziz KI ni Shikalo wa Mtibwa Sugar, dakika…

Read More

ISHU YA FEISAL NA YANGA IMEFIKIA HAPA

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 7,2023 na TFF baada ya jana Januari 6,2023 shauri hilo kusikilizwa makao makuu ya TFF. Kwenye taarifa hiyo imeeleza kuwa uamuzi kwa…

Read More