NGOMA NZITO NYANKUMBU, NTIBANZOKIZA ALA UMEME

JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…

Read More

HIVI HAPA VIGONGO VYA SIMBA DESEMBA

MWEZI wa shughuli huu hapa Desemba ambapo kila timu zina vigongo vya kazi kukamilisha mwaka 2022 na kuukaribisha 2023. Simba nao wana kazi kubwa kusaka pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza kusaka pointi tatu. Kete za Simba ni 6 ambazo ni dakika 540 tayari wameshayeyusha 90 ndani ya uwanja.Vigongo viwili pekee watakuwa nyumbani na vigongo…

Read More

HIZI HAPA ZA YANGA DESEMBA, NABI KUIBUKIA KWA MKAPA

BAADA ya kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumshambulia kwa maneno mwamuzi wa kati na wapembeni Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ataibukia kwenye Uwanja wa Mkapa mchezo dhidi ya Coastal Union. Yanga ndani ya Desemba ina vigongo 7 ambapo Nabi kafungiwa kwenye mechi tatu kutokana na kosa hilo hicyo ni Cedric Kaze, kocha msaidizi…

Read More

HAWA HAPA MASTAA WA YANGA WATAKAOIKOSA PRISONS

KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons kuna baadhi ya nyota wa Yanga ambao wataukosa mchezo huo. Kwa mujibu wa Cedrick Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo ambao wataukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali. “Dickson Job ana adhabu hatakuwepo kwenye mchezo wa kesho, Jesus Moloko na…

Read More

COASTAL UNION 0-0 SIMBA

MILANGO ni migumu kwa timu zote mbili ambazo zinasaka pointi tatu pale Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Ubao baada ya dakika 45 za mwanzo kukamilika umesoma Coastal Union 0-0 Simba. Coastal Union wao hawana matatizo kuingia ndani ya 18 bali wanafanya majaribio wakiwa nje ya 18 kupitia kwa Majimengi amaye anawapa tabu mabeki wa Simba. Simba…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V COASTAL UNION

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba anarejea nyumbani Coastal Union lakini leo hatakuwa kocha wa Coastal Union bali atakuwa kwenye benchi la Simba. Simba inasaka pointi tatu ambazo Coastal Union nao wanazihitaji pia na hiki hapa kikosi kitakachoanza kwa upande wa Simba kuikabili Coastal Union namna hii:- Aishi Manula Mohamed Hussein Joash Onyango Shomari Kapombe…

Read More

KIUNGO WA KAZI AREJEA SIMBA, BEKI USHIRIKINA WAMPONZA

WAKATI Augustino Okra akirejea kikosi cha Simba anapishana na mwamba Gadiel Michael ambaye atakosekana kwenye mechi tatu za ushindani ndani ya Simba. Okra alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi uliopita dhidi ya Mbeya City na alikosekana kwenye mchezo dhidi ya Polisi Tanzania. Kwa sasa yupo fiti na alikuwa sehemu ya wachezaji waliofanya mazoezi ya mwisho…

Read More