IKIWA ugenini leo Februari 25 imepoteza kwa mara nyingine tena ukiwa ni mchezo wa ligi.
Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Azam FC 1-0 KMC.
Ni mchezo wa pili mfululizo KMC kupoteza ikiwa Dar katika msako wa pointi tatu ikiwa inaongozwa na nahodha Emmauel Mvuyekule.
Ilitoka kunyoshwa bao 1-0 dhidi ya Yanga ikiwa nyumbani Februari 22 na leo Februari 25 imepoteza mbele ya Azam FC.