
ROBERTINHO AWAFANYIA UMAFIA HOROYA,YANGA YAWAKOMALIA WAARABU
Robertinho awafanyia umafia Horoya, Yanga wapo tayari kuwamaliza Waarabu ndani ya Championi Ijumaa
Robertinho awafanyia umafia Horoya, Yanga wapo tayari kuwamaliza Waarabu ndani ya Championi Ijumaa
DROO ya mashindano ya Azam Fedaration hatua ya robo fainali imechezeshwa leo Machi 15,2023 Dar, watani wa jadi Simba na Yanga hawatakutana katika hatua ya robo wala nusu fainali. Msimu uliopita Yanga ilicheza nusu fainali dhidi ya Simba na kushinda 1-0 kisha ikatinga fainali ikamenyana na Coastal Union ya Tanga. Robo fainali ilivyochezeshwa ngoma itakuwa…
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani, ambapo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Matina Nkurlu pamoja na Msaidizi wa kitengo cha usalama barabarani Kawe Inspekta Alex Duguza alitoa elimu….
SIMBA kamili kimataifa, jembe la kazi lajumuishwa kikosini
IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli. Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa kushinda lakini ni namna ya uhitaji ulivyo mkubwa kwa sasa kwa kila timu hasa Simba na Yanga. Mechi za nyumbani kwa kila mmoja kwa sasa zimeshikilia maamuzi ambayo yataleta hatua…
ISHU ya Feisal Salum kuitwa Stars shabiki wa Simba afungukia na kutaja siasa za Simba na Yanga zinaleta shida
MATAJIRI wanunua mabao ya Yanga,beki Simba aondolewa kambini
KIUNGO wa kazi ndani ya Simba, Hassan Dilunga amerejea kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania afya yake. Nyota huyo aliumia kwenye mazoezi wakati timu hiyo ilipokuwa kwenye maandalizi ya mechi zake za ushindani. Taarifa iliyotolewa na Simba imeeleza kuwa HD amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kupona. Hivi…
UEFA CHAMPIONS LEAGUE kurindima hii leo ambapo leo hii Manchester City atacheza dhidi ya RB Leipzig ambapo City anashikilia nafasi ya pili kwenye msimamo na Leipzig yupo nafasi ya tatu kule Bundesliga. Kila timu inahitaji ushindi kusonga mbele. ODDS KUBWA unazipata Meridianbet pekee ingia na ucheze ujiweke kwenye nafasi ya kukusanya mpunga mrefu kabisa utakaobadili…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kila mchezo atafanya mabadiliko kulingana na mbinu za wapinzani wake anaokutana nao. Timu hiyo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa imetoka kushuhudia ubao wa Uwanja wa Manungu ukisoma Mtibwa Sugar 0-3 Simba. Kwenye mchezo huo Oliveira alianza na washambuliaji wawili…
MBRAZIL atumia saa 120, Wahispania wamfuata Musonda Dar ndani ya Spoti Xtra Jumanne
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir ya Tunisia yapo sawa. Kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini nchini Tunisia Yanga ilipoteza kwa kushuhudia ubao ukisoma US Monastir 2-0 Yanga watakuwa na kazi ya kusaka ushindi Jumapili. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…
KIKOMBE ambacho Azam FC waliwapa Ihefu kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara nao wamekipokea vilevile ugenini. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Azam FC iliibuka na ushindi wa bao 1-0 huku mtupiaji akiwa ni Prince Dube muuaji anayetabasamu. Machi 13,2023 ubao wa Uwanja wa Highland huko Mbeya umesoma Ihefu 1-0…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Keneddy Musonda amepata fursa ya kupokea zawadi ya medali kutoka kwa mtoto Lucas Gomez Usoz kutoka Spain huku akiahidi kwamba ataendelea kufunga kila anapopata nafasi. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 8 anayeishi mjini Madrid nchini Spain alituma Medali hiyo kupitia ubalozi wa Spain (TZ) na kukabidhiwa rasmi leo na Balozi Jorge…
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Adel Amrouche ametangaza kikosi kitakachocheza michezo miwili ya kufuzu Afcon dhidi ya Uganda mechi mbili namna hii:- Aishi Manula, (Simba) Beno Kakolanya, (Simba) Metacha Mnata, (Yanga) Kibwana Shomari, (Yanga) Datius Peter, (Kagera Sugar) Yahya Mbegu, (Ihefu) David Luhende, (Kagera Sugar) Dickson Job, (Yanga) Bakari Mwamnyeto,…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ally ameweka wazi kuwa mchezo dhidi ya Horoya utakuwa na ushindani mkubwa ambapo tayari kikosi kimeingia kambini. “Mchezo wetu utakuwa Jumamosi na tayari…