
VITA YA MATAJIRI, KAMA NOMA NA IWE, FEI AWACHENGA YANGA SC AIBUKIA JESHINI
VITA ya Matajiri, kama noma na iwe, Fei awachenga Yanga SC aibukia jeshini, Kocha Mbrazil aaga Vipers, mlangoni Simba ndani ya Championi Ijumaa
VITA ya Matajiri, kama noma na iwe, Fei awachenga Yanga SC aibukia jeshini, Kocha Mbrazil aaga Vipers, mlangoni Simba ndani ya Championi Ijumaa
Ligi nyingi zimerejea na mzuka wa kutosha mtu wangu, ni EPL, La Liga na Ligue 1 huku zikisindikizwa na michezo mingi ya kirafiki yenye kuvutia na kusindikiza furaha yako, Meridianbet wameliona hilo na kutoa odds kubwa na bombaa, bila kusahau machaguo mengi ya kufungia mwaka 2022 na kufungua mwaka 2023. Unafungaje mwaka 2022 na Meridianbet?…
KIUNGO wa kimataifa wa Togo anayekipiga katika Klabu ya AS Vita, Marouf Tshekai ni kama amekubali kujiunga na klabu ya Yanga mara baada ya kuweka wazi kuwa yupo tayari kujiunga na timu hiyo kwa masharti. Marouf ambaye amekuwa kiungo bora wa Ligi Kuu ya DR Congo kwa misimu miwili mfululizo ni moja kati ya wachezaji…
IMEFAHAMIKA kuwa, Azam FC, imeanza mazungumzo ya kimyakimya kwa ajili ya kuipata saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya. Kakolanya hivi sasa amekuwa hana nafasi kubwa ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha Simba, huku mkataba wake ukitajwa kumalizika mwisho wa msimu huu. Taarifa ambazo imezipata Spoti Xtra, zinasema kwamba, yapo mazungumzo ya…
IMEFAHAMIKA kuwa matajiri wa Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco wamefunga safari na kuja nchini kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya kumpata kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki. Hiyo ni mara ya pili kwa Berkane kumfuata kiungo huyo kwa ajili ya mazungumzo ya kuinasa saini yake tangu akiwa katika klabu yake ya…
Sloti ya Bursting Hot 5 Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi. Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya…
INAELEZWA kuwa Klabu ya Azam FC ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya. Mkataba wa kipa huyo ambaye aliongeza hivi karibuni miaka miwili unatarajiwa kugota ukingoni hivi karibuni. Taarifa inaeleza kuwa Beno ameahidiwa mshahara mkubwa zaidi ya anaolipwa ndani ya Klabu ya Simba pamoja na uhakika wa kuanza…
KWENYE msako wa pointi 9 kanda ya Ziwa kikosi cha Simba kimegotea kwenye pointi 7 baada ya kuyeyusha pointi mbili. Furushi la pointi 7 wanarejea nazo Dar wakiwa nafasi ya pili kwenye msimamo na pointi zao ni 41 vinara ni Yanga wenye pointi 47 wote wamecheza mechi 18. Ni mechi tatu Simba chini ya Kocha…
MZEE wa makorokocho Ibrahi Ajibu anatajwa kumalizana na mabosi wa Singida United. Nyota huyo atajiunga na timu hiyo akitokea ndani ya Azam FC ambao walitoa shukrani kwake kwa huduma yake baada ya mkataba wake kugota ukingoni. Mkataba wa Ajibu aliosaini ndani ya Azam FC akitokea Simba ulikuwa na kipengele cha kuogeza mwaka mmoja ikiwa ataonyesha…
ABDUL Suleiman, ‘Sopu’ nyota wa Azam FC nyota yake huwa inawaka anapopata nafasi ya kucheza dhidi ya Yanga. Nyota huyo amefanikiwa kuifunga Yanga mabao matano huku yote akimtungua kipa mmoja Diarra Djigui. Sopu alianza kufanya hivyo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ulikuwa ni wa fainali akiwa ni mchezaji wa kwanza kufunga hat trick…
AZAM FC hawana bahati na Fiston Mayele kwa kuwa kwenye mechi ambazo atawatungua lazima wayeyushe pointi tatu mazima. Kwenye mchezo wa kwanza mzunguko wa kwanza msimu wa 2022/23, kwenye sare ya kufungana mabao 2-2 , Mayele hakufunga kwa Azam FC bali ni kiungo mzawa Feisal Salum alimtungua mabao yote mawili Ali Ahamada. Ikumbukwe kwamba kwa…
Muda muafaka ni mwisho wa mwaka, katika michezo iliyochaguliwa ya Pragmatic Play! Kuanzia Desemba 26 mpaka Januari 4, 2023, shiriki katika promosheni ya shindano la kasino ambayo ina zawadi kubwa yenye kusisimua ya TZS 12,000,000! Bingwa ataibuka na kitita cha TZS 3,800,000, mshindi wa pili 1,800,000 TZS na nafasi ya tatu ataondoka na 1,300,000 na…
LICHA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma KMC 1-3 Simba, bado safu za ulinzi kwa timu hizi mbili zina kazi ya kuongeza nguvu kwa ajili ya kupata matokeo kwa mechi zijazo. Bao la kwanza KMC ilitunguliwa kupitia kwa John Bocco dakika ya 15 na kwa upande wa KMC wao ni mali ya Sadala Lipangile…
CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa walikuwa wanatambua ubora wa Azam ulipo jambo lililowafanya kuwakabili kwa mpango tofauti. Ubao wa Uwanja wa Mkapa Desemba 25,2022 baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 2-3 Yanga ambapo katika mabao ya Yanga ni pasi moja ilitoka kwa kiungo mchetuaji Bernard Morrison. Morrison alitoa pasi kwa mshikaji…
UWANJA wa CCM Kirumba dakika 45 za mwanzo zimemeguka kwa wachezaji kuvuja jasho katika msako wapointi tatu. Ubao unasoma KMC 0-1 Simba bao likifungwa na John Bocco dakika ya 15. David Mapigano kwenye mapigano ya kuokoa hatari hakuwa na chaguo la kufanya zaidi ya kuhushudia mpira ukiwa umezama nyavuni.
KIKOSI cha Simba dhidi ya KMC, mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Kirumba Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Onyango Inonga Kanoute Chama Mzamiru Bocco Sakho Okra
KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa walikwama kushinda mbele ya Yanga kutokana na kushindwa kuwa makini. Azam FC jana Desemba 25 ilinyooshwa mbele ya Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuyeyusha mazima pointi tatu. aada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 2-3 Yanga ambapo bao la ushindi lilifungwa na Farid…