
Sports


JASHO LA HAKI KWA SIMBA NA HOROYA LILIVUJA NAMNA HII
JASHO la haki liliwavuja wachezaji wa timu zote mbili ndani ya dakika 90 kusaka ushindi na mwisho wababe wakawa ni Simba. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 7-0 Horoya huku wawakilishi hao wakitinga hatua ya robo fainali ilikuwa ni Machi 18,2023 na kazi ilikuwa namna hii:- Aishi Manula Alipiga pasi ndefu dakika ya 2,27,38,41,64,65,73,79,80…

AZAM FC REKODI ZA NYOTA WAO ZINASOMA HIVI
KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…

VIDEO:YANGA HAWANA HOFU KIMATAIFA,KAZI INAENDELEA
YANGA hawana hofu kimataifa kazi inaendelea baada ya kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika

AZAM FC NA MWENDO WAO ULEULE
MSIMU huu pia haujawa mzuri kwa Azam FC ambayo kila wakati huwa inaanza kwa kuleta ushindani mkubwa. Mateso makubwa ambayo huwa wanapitia kwenye mechi za ugenini bado hawajapata majibu yake hivyo wana kazi ya kuboresha zaidi ili wakati ujao kuwa imara. Miongoni mwa sababu ambazo zimekuwa zikiwapa ugumu Azam FC ni pamoja na kushindwa kutumia…

VIDEO:NABI AFICHUA SIRI KUWATUNGUA WAARABU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amefichua siri ya kupata ushindi mchezo wa kimataifa dhidi ya US Monastir, Uwanja wa Mkapa

MWARABU KAFA NANI ANAFUATA? HUYU HAPA MPINZANI WA SIMBA
Mwarabu kafa Nani anafuata? Huyu hapa mpinzani wa Simba ndani ya Championi Jumatatu

YANGA YATINGA ROBO FAINALI,YALIPA KISASI
YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia. Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa kuwa mchezo waliokutana nao ugenini nao walitunguliwa mabao 0-2. Ngoma ilikuwa ni mwendo wa mojamoja kila kipindi ambapo Kenned Musonda alianza kupachika bao…

MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA
MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…

UNATAKA USHINDI MKUBWA, NJOO HUKU | EXPANSE KASINO
Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza ndoto zako ambazo umekuwa ukizifikiria kwa muda sasa. Unajua ni shlingi ngapi hutolewa na Meridianbet kupitia Promosheni ya Expanse Kasino? Ingia na ucheze kwani TZS 800,000 ni yako sasa. Meridianbet wakali wa Kasino ya mtandaoni…

SIMBA YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku ikionyesha kwa mara ya kwanza pira Dubai Uwanja wa Mkapa. Ni ushindi wa mabao 7-0 Horoya uliopatikana baada ya dakika 90 mbele ya mashabiki waliojitokeza kwa wingi kushuhudia burudani hizo. Mabao ya Clatous Chama ambaye katupia hat…

YANGA:US MONASTIR WATATUAMBIA WALITUFUNGAJE
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ipo hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali ina pointi 7 kwenye kundi D…

SIMBA HAKUNA MUDA WA KUREMBA NI KAZIKAZI
SIMBA hakuna muda wa kuremba ni kazikazi Ligi ya Mabingwa Afrika

TUNASEMAJEE MMEKUJA WAKATI MBAYA
TUNASEMAJE mmekuja mudà mbaya, Kwa walichopanga Monastir,Yanga washindwe wao ndani ya Championi Jumamosi

SIMBA WAIPIGIA HESAU ROBO FAINALI
BEKI mwenye uwezo wa kupandisha na kulinda lango la Simba, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa watapambana kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali. Simba ikiwa imecheza mechi nne za hatua ya makundi, Kapombe ameanza zote kikosi cha kwanza huku akishuhudia timu hiyo ikifungwa mabao manne na wao wakifunga mabao mawili. Mchezo wao dhidi ya…

RUVU SHOOTING:TUNACHUKUA POINTI KWENYE UGUMU
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa mwendo wa mpapaso utaendelea kwenye mechi zilizobaki licha ya kuwa zitakuwa ngumu hawana mashaka. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri Februari 17 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Nyankumbu ukisoma Geita Gold 3-2 Ruvu Shooting na Februari 24 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Moro ukisoma Ruvu…

VIDEO;SIMBA YAWEKA WAZI MIPANGO KUIKABILI HOROYA
KOCHA Simba acharuka kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya