
KAMATA RATIBA YA LIGI NAMBA NNE KWA UBORA AFRIKA
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa kusoma Fountain Gate 1-1 Simba ngoma bado inaendelea kwenye Ligi namba nne kwa ubora Afrika ambapo kuna mechi zinachezwa leo msako wa pointi tatu muhimu. HII HAPA RATIBA YA FEBRUARI 7 Coastal Union v JKT Tanzania, saa 10:00 jioni Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar, saa…