ISHU YA CHAMA KUONDOKA SIMBA IPO HIVI

WAKATI taarifa zikizagaa kuwa mwamba wa Lusaka, kiungo wa Simba Clatous Chama ameomba kuondoka hofu imeondolewa na uongozi wa timu hiyo. Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya pili na pointi zao ni 67 na vinara ni Yanga wenye pointi 71. Yanga imecheza mechi 27 na Simba imecheza mechi 28 msimu wa 2022/23. Taarifa zilikuwa zinaeleza…

Read More

RUVU SHOOTING YAMUOMBA MUNGU KWENYE MAPITO YAO

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwenye mapito magumu wanayopitia njia itaonekana. Timu hiyo leo inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Simba Uwanja wa Azam Complex kusaka pointi tatu. Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 71 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2022/23.  Ofisa Habari wa Ruvu Shooting,…

Read More

LIGI KUU BARA KINAWAKA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Mei 12 ikiwa ni mzunguko wa pili. KMC chini ya Jamhuri Kihwelo ‘Julio” itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Singida Big Stars. Ni Uwanja wa Uhuru ngoma inatarajiwa kupigwa ambapo KMC itawakaribisha Singida Big Stars saa 10:00 jioni. KMC inapambana kubaki ndani ya ligi ikiwa imecheza…

Read More

KIPA SIMBA ASEPA NA MKWANJA

KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Aprili, 2023. Kipa huyo amekuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba kwenye mechi za hivi karibuni baada ya kipa namba moja Aishi Manula kupata maumivu. Salim alikaa langoni kwenye…

Read More

SIMBA KUWAPA FURAHA MASHABIKI

NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa watautumia mchezo wao wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting kuwapa furaha mashabaki. Timu hiyo ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya pointi 64 vinara ni Yanga wenye pointi 71. Yanga na Simba zote zimecheza mechi 27 na ni mechi tatu zipo kwenye mikono yao kukamilisha…

Read More

IHEFU WAIVUTIA KASI COASTAL UNION

KLABU ya Ihefu imeanza hesabu kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union. Ikumbukwe kwamba Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga kwa msimu wa 2022/23. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na mechi tatu mkononi ambapo mchezo ujao ni dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa jumapili,…

Read More

YANGA 0-0 GALLANTS MARUMO

HATUA ya nusu fainali ya kwanza Uwanja wa Mkapa, ubao unasoma Yanga 0-0 Marumo Gallants. Dakika 45 za nguvu kwa Yanga ambao wanapambania kutinga hatua ya nusu fainali. Kwenye upande wa viungo na ushambuliaji kazi kubwa inafanywa na Aziz KI, Tuisila Kisinda ambaye amekosa kwa kiasi fulani utulivu kutengeneza mashambulizi kwa Fiston Mayele. Mayele anaonyesha…

Read More

MTIBWA SUGAR WAIVUTIA KASI POLISI TANZANIA

MTIBWA Sugar yenye maskani yake Morogoro kwa sasa ipo kwenye maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya Polisi Tanzania. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara ambao ni wa mzunguko wa pili. Miongoni mwa mastaa ambao wapo kambini ni Razack Kimweri kipa anayekuzwa ndani ya chuo cha soka Bongo pale Morogoro, Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa…

Read More

JOB,BANGALA WAPEWA KAZI NGUMU KWA MKAPA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa ni muhimu kwa safu yake ya ulinzi kuongeza umakini kwenye mapigo huru na mpira ya juu. Ni Dickson Job ambaye ni beki chaguo la kwanza, Yannick Bangala huyu ni kiraka, Ibraham Bacca hawa Nabi hupenda kuwatumia kwenye eneo la ulinzi. Leo Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MARUMO CAF

TAYARI Yanga wapo tayari kuwakabili Marumo Gallants mchezo wa hatua ya nusu fainali ya kwanza. Katika kikosi cha kwanza Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga ameanza langoni. Dickson Job, Kibwana Shomari Bakari Mwamnyeto amevaa kitambaa cha unahodha Bacca Yannick Bangala Jesus Moloko Kahlid Aucho Fiston Mayele Aziz Ki Tuisila Kisinda

Read More

NAHODHA SIMBA AOMBA RADHI KWA MASHABIKI

JOHN Bocco nahodha wa Simba amesema kuwa matokeo ambayo wameyapata hawajapenda lakini ni mpira jambo waliomba radhi kwa mashabiki. Simba imepoteza nguvu ya kutwaa taji lolote msimu wa 2022/23 baada ya matumaini yao kuzimika kwenye kila idara. Katika ligi wapo nafasi ya pili huku vinara wakiwa ni Yanga wanaohitaji pointi tatu watetee ubingwa wao, katika…

Read More

KIBOKO YA AIR MANULA NI MOTO WA KUOTEA MBALI

MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC, Prince Dube kahusika kwenye mabao 10 ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kali Ongala. Dube kampa tabu pia kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula kwa kumtibulia rekodi zake za kutofungwa kwenye mechi zote mbili za ligi walipokutana Uwanja wa Mkapa. Manula wa Simba ni namba mbili kwa…

Read More