
MWARABU KAFA NANI ANAFUATA? HUYU HAPA MPINZANI WA SIMBA
Mwarabu kafa Nani anafuata? Huyu hapa mpinzani wa Simba ndani ya Championi Jumatatu
Mwarabu kafa Nani anafuata? Huyu hapa mpinzani wa Simba ndani ya Championi Jumatatu
YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia. Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa kuwa mchezo waliokutana nao ugenini nao walitunguliwa mabao 0-2. Ngoma ilikuwa ni mwendo wa mojamoja kila kipindi ambapo Kenned Musonda alianza kupachika bao…
MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…
Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza ndoto zako ambazo umekuwa ukizifikiria kwa muda sasa. Unajua ni shlingi ngapi hutolewa na Meridianbet kupitia Promosheni ya Expanse Kasino? Ingia na ucheze kwani TZS 800,000 ni yako sasa. Meridianbet wakali wa Kasino ya mtandaoni…
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika huku ikionyesha kwa mara ya kwanza pira Dubai Uwanja wa Mkapa. Ni ushindi wa mabao 7-0 Horoya uliopatikana baada ya dakika 90 mbele ya mashabiki waliojitokeza kwa wingi kushuhudia burudani hizo. Mabao ya Clatous Chama ambaye katupia hat…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ipo hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali ina pointi 7 kwenye kundi D…
SIMBA hakuna muda wa kuremba ni kazikazi Ligi ya Mabingwa Afrika
TUNASEMAJE mmekuja mudà mbaya, Kwa walichopanga Monastir,Yanga washindwe wao ndani ya Championi Jumamosi
BEKI mwenye uwezo wa kupandisha na kulinda lango la Simba, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa watapambana kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali. Simba ikiwa imecheza mechi nne za hatua ya makundi, Kapombe ameanza zote kikosi cha kwanza huku akishuhudia timu hiyo ikifungwa mabao manne na wao wakifunga mabao mawili. Mchezo wao dhidi ya…
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa mwendo wa mpapaso utaendelea kwenye mechi zilizobaki licha ya kuwa zitakuwa ngumu hawana mashaka. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri Februari 17 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Nyankumbu ukisoma Geita Gold 3-2 Ruvu Shooting na Februari 24 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Moro ukisoma Ruvu…
KOCHA Simba acharuka kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya
Robertinho awafanyia umafia Horoya, Yanga wapo tayari kuwamaliza Waarabu ndani ya Championi Ijumaa
DROO ya mashindano ya Azam Fedaration hatua ya robo fainali imechezeshwa leo Machi 15,2023 Dar, watani wa jadi Simba na Yanga hawatakutana katika hatua ya robo wala nusu fainali. Msimu uliopita Yanga ilicheza nusu fainali dhidi ya Simba na kushinda 1-0 kisha ikatinga fainali ikamenyana na Coastal Union ya Tanga. Robo fainali ilivyochezeshwa ngoma itakuwa…
Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani, ambapo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Matina Nkurlu pamoja na Msaidizi wa kitengo cha usalama barabarani Kawe Inspekta Alex Duguza alitoa elimu….
SIMBA kamili kimataifa, jembe la kazi lajumuishwa kikosini
IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli. Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa kushinda lakini ni namna ya uhitaji ulivyo mkubwa kwa sasa kwa kila timu hasa Simba na Yanga. Mechi za nyumbani kwa kila mmoja kwa sasa zimeshikilia maamuzi ambayo yataleta hatua…