MORRISON AANZA KUPIGA TIZI KWA SIRI

HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa kiungo wao mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison ameanza mazoezi ya binafsi ya siri kimyakimya. Mghana huyo yupo nje ya uwanja kwa miezi miwili akiuguza maumivu ya nyonga ambayo aliyapata mara baada ya kurejea nchini akitokea kwao Ghana alipokwenda kwa ajili ya matatizo binafsi. Staa huyo ameachwa katika msafara wa…

Read More

BALEKE AANDALIWA KUWAMALIZA HOROYA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kuwa mshambuliaji wake mpya Mkongomani, Jean Baleke yupo katika orodha ya wachezaji atakaowatumia katika mchezo wa kesho dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea. Simba jana alfajili walisafiri kuelekea Guinea kucheza mchezo wao wa kwanza wa hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya AC…

Read More

MAPYA KUHUSU ATSU TETEMEKO LA UTURUKI

JANA usiku vyombo mbalimbali ya Habari kutoka Uturuki vilitoa taarifa kuwa nyota wa kimataifa wa Ghana Atsu hakuwa ameokolewa kama ambavyo iliripotiwa awali. Taarifa hizo zilikuja mara baada ya viongozi wa klabu yake ya sasa kuzunguka kwenye hospitali zote wakijaribu kumsaka bila mafanikio. Inadaiwa Christian Atsu bado amekwama kwenye kifusi yeye na meneja wake na…

Read More

MERIDIANBET YAFANYA UZINDUZI MKUBWA WA DUKA LA KUBETIA KINONDONI

Unapozungumzia starehe ya kubashiri mchezo huwezi kuwaacha Meridianbet wao ndio mabingwa wa hizi kazi, na kuthibitisha hili, wamezindua dula la kubashiri maeneo ya Kinondoni Mwanamboka. Fika sasa kubeti michezo yote imepewa ODDS kubwa na Machaguo Mengi. Kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni Meridianbet wamezindua chimbo jipya la kubetia (duka la kubeti) maeneo ya…

Read More

TRY AGAIN USO KWA USO NA RAIS FIFA

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino akiwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene baada ya kushiriki moja ya vipindi vinavyoendelea kwenye kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu inayotolewa na FIFA (Diploma in Club Management). Kozi hiyo inafanyika mjini Tangier, Morocco. Try Again ni mmoja wa wajumbe watatu kutoka Afrika…

Read More

Expanse Studios na Meridianbet Kuja na Sloti Mpya

Expanse Studios, mtengeneza programu anayekua kwa kasi zaidi katika michezo ya kasino mtandaoni ambayo mingi unaipata Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, anafuraha kutangaza ushiriki wake ujao katika ICE London 2023. Expo inayoongoza duniani kwa michezo ya kubahatisha. Tukio la kihistoria, litafanyika kwanzia 7-9 Februari 2023 huko ExCeL London, eneo maalum la kuendesha mapato kupitia ufumbuzi wa…

Read More