Yanga Yawasambaratisha Mashujaa 6–0 NBC Premier League

Mchezo wa NBC Premier League umekamilika katika dimba la KMC Complex, ambapo Yanga Sports Club wameonyesha ubabe mkubwa kwa kuibamiza Mashujaa FC kwa kipigo kikubwa cha mabao 6–0. Yanga walitawala mchezo kuanzia mwanzo hadi mwisho, wakionesha ufanisi mkubwa katika safu ya ushambuliaji pamoja na uimara wa ulinzi. Mabao ya Yanga yalifungwa na: ⚽ Damaro ⚽…

Read More

Slotopia Yafungua Milango Mpya Ya Burudani Ndani Ya Meridianbet

Meridianbet inaendelea kuandika historia mpya katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuleta uzoefu tofauti kabisa kupitia Slotopia. Huu si mchezo wa kawaida wa sloti, bali ni mageuzi yanayobadilisha namna wachezaji wanavyofurahia burudani ya kidijitali. Kupitia ujio wa Slotopia, Meridianbet inawapa wateja wake nafasi ya kuingia kwenye dunia mpya iliyojaa ubunifu na msisimko. Kila mchezo ndani…

Read More

CAF Yafuta Rasmi Michuano ya CHAN, Mabadiliko Makubwa Yatarajiwa Afrika

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kufuta Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), hatua inayokuja kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi ya mashindano hayo. Tangazo hilo limetolewa na Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Morocco Jumamosi, Januari 17. Akizungumza mbele ya…

Read More

Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More