TAIFA STARS KAZINI TENA KWA MKAPA CHAN 2024

VINARA wa kundi B Tanzania kesho watakuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Afrika ya Kati mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Stars ina uhakika wa kucheza hatua ya robo fainali. Kwenye mechi tatu imekusanya pointi tisa ikipata ushindi kwenye mechi zote muhimu. Ilifungua pazia Agosti 2 2025 kwa ushindi wa mabao 2-0…

Read More

AZAM FC YAMALIZA KAMBI KARATU KWA KUTEMBELEA NGORONGORO

Leo Alhamisi, kikosi cha Azam FC kikiwa Karatu, mkoani Arusha, kimehitimisha kambi yake ya wiki mbili ya maandalizi ya msimu mpya kwa mtindo wa kipekee – kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro. Ziara hiyo imekuwa sehemu ya kujivinjari na kuendeleza utalii wa ndani, ikiwapa wachezaji na benchi la ufundi nafasi ya kufurahia mandhari ya asili na urithi…

Read More

AZAM FC YAMPA BARAKA NINJU, SAFARI MPYA YAANZA YANGA

KLABU ya Azam Fc imefikia makubaliano na klabu ya Yanga kuhusu mchezaji, Nizar Abubakar Othman almaarufu Ninju ambaye Yanga Sc ilimtangaza kama mchezaji wake mpya mnamo Julai 14, 2025. Hatua hiyo imekuja baada ya sintofahamu iliyojitokeza hapo awali baada ya klabu ya Yanga kumtambulisha mchezaji huyo kama mchezaji wake mpya kabla ya Azam Fc kuibuka…

Read More

ONYESHA UJUZI WAKO NA SHINDA KILA MECHI NA BET BUILDER!

Hii ni kwa wasuka majamvi wote, kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi basi kaa tayari kulifanya jamvi lako kuwa la kusisimua zaidi. Meridianbet inakuleta Bet Builder, chaguo la kipekee linalokuwezesha kubadilisha maarifa yako ya michezo kuwa ushindi wa kweli.Sasa unaweza kuchanganya chaguo nyingi ndani ya mechi moja na kupata odds za kipekee ambazo zitakuletea…

Read More

MSHAHARA WA FEISAL SALUM UNATAJWA KUWA TISHIO

MSHAHARA wa kiungo wa Tanzania ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Azam FC kinachotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani unatajwa kuwa tishio kutokana na ukubwa wake na thamani ya kiungo huyo mzawa. Ilikuwa inatajwa kuwa Yanga SC na Simba SC zilikuwa kwenye hesabu za kuwania saini ya kiungo huyo. Simba SC walikuwa…

Read More

HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26 ni Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC ameachiwa msala kwenye suala la usajili baada ya kupewa jukumu hilo kuhakikisha kwamba kila kitu anasimamia mwenyewe. Simba SC imeweka kambi Misri kwa maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku wakifanya usajili wa wachezaji wapya ikiwa ni Jonathan Sowah…

Read More

AZAM YAMSAJILI EDWARD MANYAMA KWA MKATABA WA MWAKA MMOJA

Klabu ya Azam FC imethibitisha kumsajili beki wa kati Edward Charles Manyama kwa mkataba wa mwaka mmoja, utakaomuweka ndani ya kikosi hicho hadi mwaka 2026. Manyama (31), raia wa Tanzania, ana historia ya kuchezea vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu Tanzania Bara, vikiwemo Namungo FC, Azam FC, Ruvu Shooting na Singida Black Stars. Anarejea kwa Wanalambalamba…

Read More

TANDIKA JAMVI NA MECHI ZA KUFUZU UEFA HAPA

Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa Meridianbet kwenye mechi za kufuzu Uefa. Bahati ipo mkononi mwako leo hivyo changamka kusuka jamvi lako la ushindi siku ya leo. Leo hii katika dimba la Ulker Stadyumu, Fenerbahce atamleta nyumbani kwake Feyenoord ya kule Uholanzi kusaka ushindi baada ya kupoteza mechi ya kwanza. Mwenyeji anataka…

Read More