BEKI WA KAZI BACCA NA REKODI ZAKE YANGA, MIAKA 10

KUNA nyakati marafiki walikosa chakula na mfukoni hawakuwa na hata mia mbovu, ilikuwa vita ngumu kwao kupita kwa wakati huo ila waliibuka mashujaa bila kutarajia katika nyakati hizo kutokana na zile stori ambazo walianza kupiga. Ghafla waliacha kuzungumzia kuhusu bili waliyoacha kwa mama Amina pamoja na yale madeni ambayo yapo juu yao kwenye lile daftari…

Read More

TANZANIA DIMBANI KUSAKA NAFASI YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

Tanzania ni miongoni mwa timu ambazo zitakuwa dimbani hapo baadae usiku kusaka nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026. Pia kuna mechi nyingine nyingi za kukupatia ushindi. Beti hapa. Beti mtanange wa Morocco vs Tanzania ambao wapo ugenini kusaka tiketi ya kusaka kufuzu kombe la Dunia. Mechi itapigwa saa 6:30 usiku huku Taifa Stars haipewi…

Read More

SIMBA YAINGIA MCHECHETO KISA BIG MAN

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa tayari unaendelea na maandalizi ya mechi za ushindani zilizo mbele yao ikiwa ni mchezo wa hatua ya CRDB Federation Cup dhidi ya Big Man ambao unatarajiwa kuchezwa Machi 27 2025, Uwanja wa KMC Complex. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa wanatambua uwepo wa mechi…

Read More

MWAMBA MPANZU KUMBE GARI BADO HALIJAWAKA

WINGA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Ellie Mpanzu ameweka wazi kuwa bado hajafikia ubora wake kwa asilimia 100 kwenye mechi za ushindani hivyo kwa maana hiyo gari bado halijawaka. Hivyo licha yakuwa kwenye mwendelezo katika mechi ambazo anacheza bado chuma hakijapata moto kufikia makali ambayo anayo kutokana na uwezo wake…

Read More

YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI KWA JAMBO HILI

WALTER Harson, Meneja wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars ulikuwa wenye ushindani mkubwa kutokana na mvua kubwa mchezo huo ulishindwa kumalizika huku wakiwashukuru mashabiki kwa kujitokeza kwa wingi kuwashangilia. Ni Machi 24 Singida Black Stars waliwakaribisha Yanga katika mchezo wa kirafiki ambapo ulikuwa maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa Uwanja…

Read More

HII HAPA MITAMBO YA MABAO KUTOKA KARIAKOO

NDANI ya Ligi namba nne kwa ubora Afrika kuna mashine za kazi eneo la ushambuliaji ambazo zimekuwa kwenye mwendo mzuri kutoka kikosi cha Simba ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Vita sio nyepesi kwenye eneo la ushambuliaji ambapo mabingwa watetezi Yanga wao pointi zao kibindoni ambazo ni 58 ni saw ana idadi ya mabao…

Read More

NAIBU HAMIS MWINJUMA AZINDUA UWANJA, REKODI YAANDIKWA

NAIBU Waziri Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis  Mwinjuma, maarufu kwa jina la FA rasmi amezindua Uwanja wa Airtel, Singida ambao utatumiwa na timu hiyo kwa mechi za ushindani.  FA kwenye uzinduzi huo amepiga bonge moja ya penati ambayo ilimshinda mlinda mlango namba moja wa Singida Black Stars, Metacha Mnata. Ilikuwa ni kwa mguu wake wa…

Read More

MBEYA KWANZA HAWAPOI HUKO, KAZI INAENDELEA

KAZI inaendelea kwa Mbeya Kwanza ambao hawapoi kabisa kwani baada ya ushindi kwenye mchezo wao uliopita wa NBC Championship dhidi ya Polisi Tanzania sasa hesabu kubwa ni kwenye mchezo ujao dhidi ya Transit Camp. Katika mchezo huo Mbeya Kwanza iliyo nafasi ya 6 kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 42 baada ya mechi 24…

Read More

SIMBA YATAMBIA UWEPO WA MWAMBA HUYU

UONGOZI wa Simba umetambia uwepo wa kinara wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora, Jean Ahoua kwa msimu wa 2024/25 akiwa ni chaguo la kwanza la kocha. Ndani ya kikosi cha Simba kiungo huyo rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 21 akikomba dakika 1,550 na…

Read More

YANGA KAMILI KUWAKABILI SINGIDA BLACK STARS

WALTER Harison, Meneja wa Yanga amesema kuwa Wananchi watapata burudani ambayo waliikosa kwa muda kutokana na mchezo wa kirafiki dhidi ya Singida Black Stars unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel. Yanga inatarajiwa kushuka uwanjani Machi 24 2025 kwa ajili ya mchezo wa kirafiki amba oni maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa uwanja mpya wa Singida Black…

Read More

Anza Wiki Yako na Meridianbet Sasa

Siku ya kuwa tajiri imefika chukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. England baada ya kushinda mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Latvia. Vijana wa Thomas Tuchel wanahitaji kuendeleza ushindi katika dimba la Wembley…

Read More