SIMBA SC KAMILI KUIVAA SINGIDA BLACK STARS

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Singida Black Stars ambao ni mzunguko wa pili. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Liti baada ya dakika 90 ubao ulisoma Singida Black Stars 0-1 Simba SC. Bao la ushindi kwenye mchezo huo…

Read More

KIKOSI CHA RS BERKANE DHIDI YA SIMBA SC

RS Berkane kutoka Morocco itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kwenye mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba SC ya Tanzania, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:-  Munir El Kajoui  Hamza Moussaoui  Adil Tahif  Yassine Lebhiri  Issoufou Dayo  Mamadou Camara  Youssef Mehri…

Read More

Maliza Msimu Ukiwa Milionea Leo

Kama kawaida leo hii ni siku ya kutusua na wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo leo hii odds za kijanja zinapatikana hapa. Suka jamvi lako la ushindi na unufaike leo. Ligi kuu ya Hispania LALIGA leo hii kuna mechi 3 za kubashiri, Girona atamleta kwake Atletico Madrid ambao wapo nafasi ya 3. Wenyeji wao wapo nafasi…

Read More

GATES OF OLYMPIA SASA LIVE KWENYE MERIDIANBET – HII SI KAWAIDA, NI FURSA YA KISHINDO!

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee unaoitwa GATES OF OLYMPIA, mchezo ambao umewasha moto Ulaya na sasa umefika Tanzania kupitia jukwaa lako pendwa, Meridianbet! ⚡ NI NANI ATAKAYEPITA KATIKA MILANGO YA OLYMPIA NA KUSHINDA MAMILIONI? Mchezo huu unakupeleka katika ulimwengu wa Miungu wa Kigiriki ambapo mungu wa…

Read More

MERIDIANBET YAFANYA MAGEUZI KIMYA KIMYA: MIRADI 80 YA UENDELEVU YATEKELEZWA NDANI YA MIEZI MITATU TU YA 2025

Kwa ushirikiano wa karibu na jamii, kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Meridianbet yajikita katika kulinda mazingira na kuleta mabadiliko halisi. Katika kipindi ambacho changamoto za mazingira zinaendelea kukua, kampuni ya michezo ya kubahatisha Meridianbet imethibitisha kuwa maendeleo ya biashara hayawezi kuendelea bila kuzingatia ustawi wa jamii na mazingira. Ikiwa sehemu ya Golden Matrix Group…

Read More

TANZIA: BABA WA CEO AZAM FC ATANGULIA MBELE ZA HAKI

MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin, maarufu kwa jina la Popat baba yake mzazi ametangulia mbele za haki Mei 23 2025. Taarifa iliyotolewa na Azam FC imeeleza namna hii: Asalaam Aleykum wa Rahmatullahi wa Barakatuhu! “Kwa masikitiko makubwa, Azam FC inatangaza kifo baba mzazi wa Mtendaji wetu Mkuu (CEO), Abdulkarim Amin ‘Popat’, Mzee MohamedAmin…

Read More

YANGA SC WANAUTAKA UBINGWA WAO

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga SC wamebainisha kuwa mpango mkubwa ni kutwaa taji hilo kwa mara nyingine kutokana na uimara wa kikosi walichonacho. Yanga SC imeandika rekodi ya kutinga fainali ya CRDB Federation Cup mara tano ikiwa ni timu ambayo imekuwa kwenye mwendelezo mzuri katika kuandika rekodi kali ambazo bado hazijavunjwa. Ipo wazi…

Read More