
COASTAL UNION WAIPA SOMO YANGA
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba umejifunza jambo la muhimu sana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union licha ya kupata ushindi wa bao 1-0. Aprili 27 2024 Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union baada ya dakika 90 walikomba pointi tatu kwa ushindi wa bao la Joseph…