ARSENAL YAPIGWA 4G

KLABU ya Liverpool imeishushia kichapo cha mabao 4-0 Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Uwanja wa Anfield. Mabao ya Sadio Mane dakika ya 39,Dogo Jota dakika ya 52,Mohamed Salah dakika ya 73 na Takumu Minamino dakika ya 77 yalitosha kuituliza Arsenal. Ni jumla ya mashuti 19 ambayo Liverpool ilipiga huku 9 yakilenga lango katika…

Read More

LINGARD ANATAKA KUSEPA UNITED

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Jesse Lingard mwenye miaka 28 anataka kuondoka ndani ya kikosi hicho kwenye kipindi cha usajili wa Januari,mwakani. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa kwa mkopo ndani ya kikosi cha West Ham United na aliweza kufanya vizuri lakini aliporejea ndani ya Manchester United hana nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji huyo ameweka…

Read More

INIESTA NA MESSI WATAJWA BARCELONA

JOAN Laporta, rais wa Barcelona amebainisha kuwa jambo lolote linaweza kutokea kuhusu suala la Lionel Messi pamoja na Andre’s Iniesta kurejea ndani ya Camp Nou.   Tayari Barcelona inayoshiriki La Liga imemrejesha staa wao wa zamani beki wa makombe Dani Alves ambaye alikuwa ni chaguo la Kocha Mkuu, Xavi Hernandez. Alves mwenye miaka 38 amesaini…

Read More

SALAH KUIBUKIA LA LIGA

KLABU ya Barcelona ya nchini Hispania inayoshiriki La Liga imeonesha nia ya kutaka saini ya Mohamed Salah raia wa Misri anayekipiga katika Klabu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England . Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Hispania, vimesema kocha wa timu hiyo Xavi ameweka wazi nia yake ya kutaka kumsajili…

Read More

DEAN SMITH APATA DILI JIPYA

KLABU ya Norwich City imemteua Dean Smith kuwa kocha mpya wa kikosi hicho baada ya kumtimua Daniel Farke Novemba 7 mwaka huu. Smith amesaini kandarasi ya miaka miwili na nusu na atasaidiana na Craig Shakespeare kama kocha msaidizi. Smith ambae amefungashiwa virago kutoka Aston Villa, aliisaidia timu hiyo kupanda Ligi Kuu EPL, ndani ya msimu…

Read More

STARS YATOSHANA NGUVU NA MADAGASCAR

TIMU ya taifa ya Tanzania leo Novemba 14 imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo wa leo ulikuwa ni kuhitimisha ndani ya kundi J ambapo alikuwa anatafutwa mshindi kati ya Benin na DR Congo kuweza kutinga hatua ya mtoano na mwisho ni DR Congo…

Read More

BEKI MATATA AREJEA BARCELONA

DANI Alves beki matata mwenye mataji kibao ikiwa ni mafanikio yake makubwa kwa sasa amerejea tena ndani ya Barcelona baada ya kusepa hapo miaka mitano iliyopita ambapo aliibukia ndani ya Juventus na ikigota Januari anaanza kuvaa uzi wa Barcelona.   Ni makubaliano ya kikanuni ambayo Barcelona wamefikia kwa kuamua kumpa dili beki huyo wa makombe…

Read More

LIVERPOOL SASA YAMPASUA KICHWA KLOPP

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool kwa sasa anapasua kichwa namna ya kuweza kuendelea kuwa kwenye ushindani kutokana na wachezaji wake nyota wa kikosi cha kwanza kuumia ikiwa ni pamoja na winga matata, Sadio Mane raia wa Senegal. Mane aliumia kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Togo na hakuweza kuyeyusha dakika…

Read More

MASTAA WENYE MAKOMBE MENGI ZAIDI

DANI Alves mwenye miaka 38 ni raia wa Brazil aliwahi kucheza Barcelona msimu wa 2008/16 anaingia kwenye orodha ya nyota waliotwaa mataji mengi akiwa nayo 42.   Lonel Messi raia wa Argentina anakipiga PSG yeye ametwaa mataji 37 ,afanikio yake makubwa aliyapata akiwa ndani ya Klabu ya Barcelona. Andres Iniesta mwenye miaka 37 nyota aliyekipiga pia…

Read More

MANCHESTER UNITED KOCHA HUYU ATAJWA

Habari za chini ya kapeti zinamtaja Brendan Rodgers kama kocha atakayepewa kibarua pale Old Trafford, pindi atakapoondoshwa mtoto wa nyumbani Ole Gunner Solskjaer.   Rodgers aliwahi kufundisha Liverpool ambayo aliifikisha nafasi ya 2 kwenye msimu wa 2013/14. Muda mfupi baada alijiunga na Celtic kabla ya 2019 kurejea kwenye EPL na kuichukua Leicester City ambayo bado yupo nayo, mpaka sasa…

Read More

POGBA MAJANGA MATUPU

KIUNGO wa kati wa Manchester United Paul Pogba hatoshiriki katika mechi ya michuano ya kufuzu kwa kombe la dunia baada ya kupata jeraha la nyonga.   Mshindi huyo wa Kombe la Dunia, mwenye umri wa miaka 28 alipata jeraha wakati wa mazoezi  Jumatatu , Shirikisho la soka nchini Ufaransa FFF limesema.   Pogba hatoshiriki katika mechi ya Jumamosi dhidi…

Read More

CONTE:KUANZA NA SARE NI MWENDO MZURI

Antonio Conte, Kocha Mkuu wa Tottenham amesema kuwa vijana wake wanahitaji muda zaidi kuweza kurejea kwenye ubora na kuonyesha kile ambacho wanacho ndani ya uwanja huku kuanza kwa sare ya bila kufungana akiamini kwamba ni mwendo mzuri wa kuanzia.   Mrithi huyo wa mikoba ya Nuno Espirito ambaye alifutwa kazi ndani ya timu hiyo kutokana…

Read More

KOCHA UNITED AAMBIWA AONDOKE TU HAMNA NAMNA

RIO Ferdinand, beki wa zamani wa Klabu ya Manchester United amesema kuwa kwa sasa ni muda mzuri kwa Kocha Mkuu, Ole Gunnar Solskjaer, kuondoka ndani ya kikosi hicho kwa heshima kabla ya kutimuliwa. Beki huyo hapo awali alikuwa yupo upande wa kocha huyo kwa kuwa alikuwa akimtetea na alikuwa anaamini kwamba anaweza kuja kufanya vizuri…

Read More

MTIHANI WA KWANZA WA XAVI NI DABI

XAVI Hernandez kwa sasa ni kocha mpya wa kikosi cha Barcelona na mtihani wake wa kwanza unatarajiwa kuwa dhidi ya Espanyol kwenye Barcelona Dabi itakayochezwa Camp Nou. Dili lake ni mpaka mwaka 2024 Juni 30 ambapo ana kibarua cha kurejesha makali kwenye timu hiyo inayofuatiliwa na watu wengi duniani. Xavi ni mkongwe wa Klabu ya…

Read More

HOWE KOCHA MPYA NEWCASTLE UNITED

KLABU ya Newcastle United imetaja jina la Eddie Howe kuwa mbadala wa Steve Bruce ambaye alifutwa kazi hapo hivyo kocha huyo wa zamani wa Bornemouth anatarajiwa kuanza kazi yake mpya na matajiri hao ndani ya Ligi Kuu England. Howe hakuwa kwenye kazi baada ya kuondoka  Bournemouth  2020 anarejea kwenye majukumu mapya akiwa na timu mpya…

Read More

WEST HAM UNITED WAINYOSSHA LIVERPOOL

UWANJA wa London mambo yalikuwa magumu kwa Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England baada ya kutulizwa kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Westham United.    Atajilaumu Alisson Ramses Becker ambaye alijifunga dakika ya nne katika harakati za kuokoa kona kisha Pablo Fornals alipachika kamba ya pili dakika ya 67 na msumari wa ushindi ulipachikwa…

Read More