FULHAM YAGAWA KIFURUSHI CHA WIKI

KLABU ya Fulham imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Uingereza maarufu kama Championship. Fulham imechukua Ubingwa huo ikiwa katika Uwanja wake wa nyumbani Craven Cottage kwa kuichakaza Luton kwa jumla ya mabao 7-0. Fulham iliyoshuka daraja msimu uliopita kwa matokeo hayo sasa inapanda daraja na kurudi katika Ligi Kuu nchini Uingereza. Imecheza jumla…

Read More

REAL MADRID WATWAA TAJI LA 35

KLABU ya Real Madrid imetwaa taji la 35 la La Liga baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Espanyol wakiwa nyumbani. Taji hilo pia linamfanya Kocha Mkuu Ancelotti raia wa Italia kuwa kocha wa kwanza kutwaa mataji makubwa Ulaya katika ligi 5 bora. Aliweza kufanya hivyo England, Hispania, Ujerumani,Italia na Ufaransa. Nahodha Benzema alitupia…

Read More

SALAH ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Liverpool raia wa Misri Mohamed Salah ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligi Kuu ya Uingereza kutoka kwa Shirikisho la Waaandishi wa Habari za Michezo nchini humo. Salah mwenye umri wa miaka 29 amekuwa na msimu mzuri akiwa na klabu yake ya Liverpool baada ya kufanikiwa kufumania nyavu mara…

Read More

MANCHESTER CITY WAPIGA 4G LEEDS UNITED

MANCHESTER City wakiwa na jambo lao hawazuilika baada ya wenyeji Leeds United kuchapwa mabao 4-0. Wakiwa Uwanja wa Elland Road mbele ya mashabiki 35,771 kichapo hicho hakikuepukika kwenye michezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Rodri dk 13,Nathan Ake dk ya 54, Gabriel Jesus dk 78 na Fernandinho dk ya 90+3 yalitosha kuwarejesha kileleni kwa…

Read More

WAKALA MAARUFU DUNIANI ATANGULIA MBELE ZA HAKI

WAKALA maarufu wa wachezaji raia wa Italia Mino Raiola amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda kwa miezi kadhaa. Wakala huyo aliyekuwa akiwasimamia wachezaji wakubwa duniani kama Paul Pogba na Zlatan Ibrahimovic amefariki akiwa na umri wa miaka 54. Raiola alilazwa katika hospitali ya Milan mnamo Januari 2022 na kufanyiwa upasuaji lakini aina ya ugonjwa…

Read More

LIVERPOOL KAZINI LEO DHIDI YA NEWCASTLE

KLABU ya Liverpool leo Aprili 30,2022 inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Ni katika Uwanja wa St James Park mchezo huo unatarajiwa kupigwa ambapo kila timu inahitaji ushindi. Liverpool ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 79 baada ya kucheza mechi 33 huku vinara wakiwa ni Manchester…

Read More

PSG WAGAWANA POINTI NA STRASBOURG

WAKIWA Uwanja wa de la Meinau wababe PSG waligawana pointi mojamoja na Strasbourg katika mchezo wa Ligue 1. Ilikuwa ni mabao ya Kevin Gameiro dk 3 Marco Verralti alijifunga dk 75 na bao la usiku lilifungwa na Anthony Caci dk 90+2. Kwa wababe PSG wao walifunga kupitia kwa Kylian Mbappe aliyetupia mabao mawili ilikuwa dk…

Read More

WAKALA RAIOLA ASEMA HAJAFA,YUPO

WAKALA mkubwa duniani Mino Raiola amelazimika kujibu mitandaoni akiwa kwenye kitanda kukanusha taarifa ambazo zimesambaa zikidai kwamba amefariki. Taarifa ziliibuka nyumbani kwao Italia ambapo zilieleza kuwa wakala huyo mkubwa amefariki baada ya kuugua. Ikumbukwe kwamba miongoni mwa wachezaji ambao anawasimamia ni pamoja na Paul Pogba,Erling Haaland ambao ni wachezaji wakubwa. Kumekuwa na meseji nyingi za…

Read More

MAJANGA SIMBA,KUSHTAKIWA CAF

MTENDAJI MKUU wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la nchini Afrika Kusini Tebogo Motlanthe amesema kitendo cha Klabu ya Simba kutoka Tanzania kuchoma kitu katikati ya Uwanja ni jambo la aibu na si la kiuanamichezo. Motlanthe amesema kitendo hicho hakikubaliki na tayari kama Shirikisho tayari wameandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)…

Read More

MNYAMA RONALDO AFANYA YAKE

MBELE ya mashabiki 73,564 waliojitokeza Uwanja wa Old Trafford, Cristiano Ronaldo aliweza kufunga bao ambalo liliacha pointi moja kwa Manchester United. Ilikuwa dk ya 62 alisawazisha bao lililofungwa na Marcos Alonso wa Chelsea aliyefunga bao hilo dk ya 60. Hivyo wababe hao walikamilisha dakika 90 ubao ukisoma Manchester United 1-1 Chelsea. Ni Reece James wa…

Read More

KLOPP ANAAMINI NI MAPUMZIKO WAKIONGOZA 2-0

JURGEN Klopp,Kocha Mkuu wa Liverpool alikuwa shuhuda wa vijana wake wakiitungua mabao 2-0 Villarreal katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Champions League. Mbele ya mashabiki 51,586 katika Uwanja wa Anfield kipindi cha kwanza mambo yalikuwa ni magumu kwa timu zote mbili kwa kuwa halikupatikana bao. Ni Pervis Estupinan Tenorio alijifunga dk 53…

Read More

POGBA KUSEPA MAZIMA MAN UNITED

KIUNGO wa kikosi cha Manchester United, Paul Poga atasepa msimu ujao ndani ya kikosi hicho ambacho kinashiriki Ligi Kuu England. Nyota huyo tayari ameshawaambia wachezaji wenzake kwamba msimu ujao hatakuwa ndani ya timu hiyo. Pia inatajwa kwamba ameshajiondoa kwenye kundi la WhatsApp ambalo lilikuwa linawahusu wachezaji wa timu hiyo. Kocha wa muda wa Manchester United,…

Read More

POCHETTINO KUTIMULIWA PSG

IMEELEZWA kuwa Klabu ya PSG ipo mbioni kumtimua kocha Mauricio Pochettino kutokana na kushindwa kufikia malengo ambayo walikuwa wanahitaji. Kocha ambaye anapewa chapuo la kuwa kocha ndani ya kikosi cha PSG ni Zinedine Zidane pamoja na Antonio Conte. Wikiendi iliyopita Pochettino aliiongoza PSG kutwaa taji la Ligue 1 lakini kocha huyo yupo mbioni kutimuliwa. Uongozi…

Read More

LIGI KUU ENGLAND, C.PALACE 0-0 LEEDS UNITED

UWANJA wa Selhurst mchezo umekamilika kwa Crystal Palace 0-0 Leeds na kuwafanya waweze kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ulikuwa ni mchezo wa kujilnda kwa timu zote mbili na hawakuweza kutengeneza nafasi nyingi kwenye mchezo huo ambao ulikuwa ni mgumu kwa kila timu. Leeds wamekosa pointi tatu ambazo zingewaongozea nguvu ya kujinasua…

Read More

SIMBA KUTUA BONGO LEO WAKITOKEA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kupoteza mbele ya Orlando Pirates wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika leo Aprili 25 wanarejea. Ni jana Aprili 24 ulipigwa mpira wa kazi na dk 45 Simba walikuwa imara katika eneo la ulinzi huku lile la ushambuliaji ikiwa ni hafifu kwa kuwa walikuwa wakitengeneza mashambulizi ya kushtukiza. Dakika ya 58 alipoonyeshwa…

Read More