GUARDIOLA: KDB ANAFURAHIA KUFUNGA

PEP Guardiola,Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa ni lazima nyota wake Kevin De Bruyne,(KDB) awe kwenye furaha kubwa kutokana na kutumia uwezo wake kufunga mabao kila anapopata nafasi. Kevin De Bruyne alitupia mabao 4 mbele ya Wolves wakati timu hiyo ikishinda mabao 5-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England na kuweza kusepa na pointi…

Read More

ISHU YA TAMMY KURUDI ENGLAND NGOMA NZITO

IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa kikosi cha AS Roma, Tammy Abraham yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi cha Arsenal kinachoshiriki Ligi Kuu England huku bosi wake akiweka wazi kwamba hadhani kama anaweza kurudi huko. Roma ilimsajili Tammy msimu uliopita akitokea Chelsea na ilikuwa ni baada ya Kocha Mkuu Jose Mourinho kujiunga na timu hiyo….

Read More

HAALAND KUKIPIGA MANCHESTER CITY

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Borussia Dortmund raia wa Norway Erling Braut Haaland amefuzu vipimo vya afya tayari kujiunga na klabu Ligi Kuu ya Uingereza Manchester City. Haaland amefanyiwa vipimo hivyo nchini Ubelgiji na kwa mujibu wa taarifa ni kwamba mshambuliaji huyo tayari amesharejea kwenye kikosi cha Dortmund. Haaland anatarajiwa kupokea mshahara wa Paundi 375,000 kwa…

Read More

GUADIOLA:TUMESHINDA LAKINI WATU WANAIPENDA LIVERPOOL

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa amepata pointi tatu lakini anaamini kwamba watu wengi hawapendi. Manchester City iliwatungua mabao 5-0 Newcastel United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Engand uliochezwa Uwanja wa City Of Manchester. Raheem Sterling alifunga mabao mawili ilikuwa dk 19,90+3,Aymeric Laporte alitupia dk ya 38,Rodri dk 61 na Phil Foden…

Read More

NYOTA ANAYEWINDWA SIMBA AINGIA ANGA ZA YANGA

YANGA imeonekana kupania kufanya usajili bora utakaokuwa tishio kimataifa baada ya kumfuata mshambuliaji wa US Gendarmarie ya nchini Niger, Victorien Adebayor ambaye imemuwekea Sh 250Mil ili kuinasa saini yake. Simba ndiyo ilikuwa ya kwanza kumfuata mshambuliaji huyo anayecheza kwa mkopo Gendarmarie ambaye anamilikiwa na Klabu ya HB Køge inayocheza Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark….

Read More

LIVERPOOL INAKARIBIA MAKOMBE 4 KWA MSIMU HUU

LIVERPOOL baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, sasa kuna uwezekano wa miamba hiyo ya Anfield kutwaa makombe manne makubwa ‘quadruple’ ndani ya msimu mmoja. Itakuwa ni historia na rekodi ambayo haijawahi kuwekwa England. Liverpool iliichapa Villarreal 3-2 ugenini juzi nchini Hispania, na kuwaondoa vijana hao wa kocha Unai Emery kwa jumla…

Read More

ARTETA YUPO ARSENAL MPAKA 2025

KLABU ya Arsenal imemuongezea dili jipya Kocha Mkuu Mikel Arteta hivyo atakuwa hapo mpaka mwaka 2025 akikinoa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu England. Pia kocha wa timu ya Wanawake, Jonas Eidevall yeye atakuwa ndani ya timu hiyo mpaka msimu wa 2023/24 ndani ya timu hiyo. Arteta, alijiunga na timu hiyo mwaka 2019,ameweza kuiongoza timu hiyo…

Read More

MOURINHO WA AS ROMA AWEKA REKODI

JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Klabu ya AS Roma ya nchini Italia Jose Mourinho ‘The Special One’ raia wa Ureno kaweka rekodi mpya kwenye ulimwengu wa michezo. Kocha huyo mbabe wa kauli ameweza kuzinoa timu mbali Ulaya ikiwa ni pamoja na FC Porto, Chelsea, Inter Milan, Real Madrid, Manchester United na Tottenham Hotspurs. Mourinho ameweka…

Read More

GUARDIOLA HANA UHAKIKA KABISA

KOCHA Mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kuwa hana uhakika kuwa kama kipigo mbele ya Real Madrid kitaleta madhara ya kisaikolojia kwa wachezaji wake wa Manchester City kwenye mbio za kusaka ubingwa. City walitupwa nje na Real Madrid na baada ya kipyenga cha mwisho wachezaji walianguka uwanjani kwa huzuni baada ya kushuhudia faida ya…

Read More

JEZI YA MARADONA YAUZWA MKWANJA MREFU

JEZI ya nguli wa soka Duniani marehemu Diego Armando Maradona imeweka rekodi baada ya kuuzwa kwa kiasi cha Euro Milioni 7 kwenye mnada huko nchini Mexico ambayo ni sawa na kiasi cha Shilingi Bilioni 17,150,913,157 Jezi hiyo ndiyo iliyovaliwa na Maradona kwenye robo fainali ya Kombe la Dunia la mwaka 1986 iliyochezwa kwenye Uwanja wa…

Read More

FULHAM YAGAWA KIFURUSHI CHA WIKI

KLABU ya Fulham imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Uingereza maarufu kama Championship. Fulham imechukua Ubingwa huo ikiwa katika Uwanja wake wa nyumbani Craven Cottage kwa kuichakaza Luton kwa jumla ya mabao 7-0. Fulham iliyoshuka daraja msimu uliopita kwa matokeo hayo sasa inapanda daraja na kurudi katika Ligi Kuu nchini Uingereza. Imecheza jumla…

Read More

REAL MADRID WATWAA TAJI LA 35

KLABU ya Real Madrid imetwaa taji la 35 la La Liga baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Espanyol wakiwa nyumbani. Taji hilo pia linamfanya Kocha Mkuu Ancelotti raia wa Italia kuwa kocha wa kwanza kutwaa mataji makubwa Ulaya katika ligi 5 bora. Aliweza kufanya hivyo England, Hispania, Ujerumani,Italia na Ufaransa. Nahodha Benzema alitupia…

Read More

SALAH ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Liverpool raia wa Misri Mohamed Salah ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligi Kuu ya Uingereza kutoka kwa Shirikisho la Waaandishi wa Habari za Michezo nchini humo. Salah mwenye umri wa miaka 29 amekuwa na msimu mzuri akiwa na klabu yake ya Liverpool baada ya kufanikiwa kufumania nyavu mara…

Read More

MANCHESTER CITY WAPIGA 4G LEEDS UNITED

MANCHESTER City wakiwa na jambo lao hawazuilika baada ya wenyeji Leeds United kuchapwa mabao 4-0. Wakiwa Uwanja wa Elland Road mbele ya mashabiki 35,771 kichapo hicho hakikuepukika kwenye michezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Rodri dk 13,Nathan Ake dk ya 54, Gabriel Jesus dk 78 na Fernandinho dk ya 90+3 yalitosha kuwarejesha kileleni kwa…

Read More

WAKALA MAARUFU DUNIANI ATANGULIA MBELE ZA HAKI

WAKALA maarufu wa wachezaji raia wa Italia Mino Raiola amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda kwa miezi kadhaa. Wakala huyo aliyekuwa akiwasimamia wachezaji wakubwa duniani kama Paul Pogba na Zlatan Ibrahimovic amefariki akiwa na umri wa miaka 54. Raiola alilazwa katika hospitali ya Milan mnamo Januari 2022 na kufanyiwa upasuaji lakini aina ya ugonjwa…

Read More