Simba SC vs de Tunis, Mpanzu ameanzia benchi

Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026. Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji….

Read More

CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini mwenzake alikosea na anafaa kupata adhabu kali zaidi. CAF limempiga marufuku kocha wa Senegal, Pape…

Read More

Meridianbet Yaendeleza Burudani Na Trick or Treat Bonanza

Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu endelevu wa burudani, likisisitiza ubunifu, ubora wa picha na simulizi linalovutia bila kutegemea sherehe za muda mfupi. Mchezo huu unamchukua mchezaji hadi…

Read More