Arsenal Waanza Kuyumba, Wapoteza Pointi, Wolves Wawazuia Kwa Sare ya 2-2 Molineux

Arsenal wameendelea kupoteza mwelekeo katika mbio za ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Molineux Stadium. Arsenal walionekana kuwa na udhibiti wa mchezo mapema, lakini makosa ya safu ya ulinzi yaliwapa Wolves nafasi ya kusawazisha na hata kutishia ushindi dakika za lala salama. ⚽ Wafungaji: 05’ Bukayo…

Read More

Jadon Sancho na Saweetie Waonekana Paris Wakiwa Wameshikana Mikono

Winga wa England, Jadon Sancho, alionekana jijini Paris akiwa ameshikana mikono na mpenzi wake, rapa wa Marekani Saweetie, katika tukio lililoonyesha wazi mahusiano yao hadharani. Sancho, anayekipiga kwa mkopo katika klabu ya Aston Villa akitokea Manchester United, alionekana akiwa amevalia beanie nyeusi, jaketi la ngozi, fulana nyeusi na jeans, huku Saweetie (32) akivutia kwa koti…

Read More

Meridianbet Yajivunia Miradi Zaidi 500 Ya Ustawi wa Jamii

Katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AmCham), Meridianbet ilisimama kifua mbele kama mmoja wa washiriki wakuu, ikiweka bayana mafanikio yake katika eneo la uwajibikaji kwa jamii. Tangu mwaka 2009, kampuni hiyo imetekeleza miradi zaidi ya 500 ya kijamii nchini, hatua inayoonyesha kwa vitendo dhamira yake ya kurudisha kwa jamii…

Read More