Arsenal Waanza Kuyumba, Wapoteza Pointi, Wolves Wawazuia Kwa Sare ya 2-2 Molineux
Arsenal wameendelea kupoteza mwelekeo katika mbio za ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye dimba la Molineux Stadium. Arsenal walionekana kuwa na udhibiti wa mchezo mapema, lakini makosa ya safu ya ulinzi yaliwapa Wolves nafasi ya kusawazisha na hata kutishia ushindi dakika za lala salama. ⚽ Wafungaji: 05’ Bukayo…