Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026.
Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza.
Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji.
Kikosi cha kwanza kipo namna hii:-
Mlinda mlango
Kassali
Mabeki
Shomari Kapombe
De Reuck
Kibabage
Wilson Nangu
Viungo
Oura
Kante
Kagoma
Chama
Gueye
Kibu Dennis
Wachezaji wa akiba
Abel
Duchu
Sowah
Toure
Naby Camara
Morice Abraham
Seleman Mwalimu
Loemba
Mpanzu.
***
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.