VIZINGITI VYA MABAO SIMBA V YANGA

KUMEPOA mtaani kama hakuna kilichotokea vile baada ya dakika 90, Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-0 Yanga na kufanya asiwepo mbabe. Hapa tunakuletea vizingiti vilivyosababisha mambo kuwa hivyo namna hii:- Manula Aliokoa hatari dk ya tano shuti la Jesus Moloko pia aliweza kuwa kizingiti kwa Moloko dk ya 49, dk ya 58 aliokoa hatari ya…

Read More

NYOTA HAWA WATAPEWA MAJUKUMU YA MIPIRA ILIYOKUFA

FUKUTO kwenye vichwa vya mashabiki wa soka Bongo linahesabu saa tu kwa sasa kabla ya Desemba 11,2021 kuwadia na kushuhudia Kariakoo Dabi. Itakuwa ni Simba v Yanga, Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni mchezo wa kwanza kwenye ligi kwa msimu huu na kuna wachezaji ambao wao wanasubiri kutimiza majukumu yao ya kutumia mipira ile iliyokufa…

Read More

SIMBA V YANGA MATOKEO MSIBEBE MFUKONI

PRESHA kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 11, ambao ni wa watani wa jadi wanakutana kusaka pointi tatu muhimu. Mashabiki wanahitaji kuona matokeo chanya kwa timu zao na mshindi ni yule ambaye atafanya maandalizi mazuri kwa wakati huu. Ipo wazi kwamba utakuwa ni mchezo wenye…

Read More

ISHU YA JOB KUROGWA YANGA IPO HIVI

KATI ya mkoa ambao umebarikiwa vipaji vya soka basi ni Morogoro uliozalisha vipaji vingi katika Ligi Kuu Bara ndani ya misimu mitano mfululizo. Kati ya wachezaji waliozalishwa na kuwa gumzo kwa misimu ya karibuni ni Kibwana Shomari, Dickson Job, Mzamiru Yassin, Shiza Kichuya, Hassani Kessy, Aishi Manula na wengine wengi. Kati ya hao, wachezaji ambao…

Read More

WACHEZAJI HAWA NI MWENDO WA NGUVU KUBWA UWANJANI

MALENGO yanahitaji nguvu kuyafikia lakini ni lazima na akili pia itumike kwani ikiwa itatumika nguvu nyingi hasara huwa ni kubwa kuliko faida. Kwa sasa Ligi Kuu Bara baada ya kuanza kuridima tumeanza kushuhudia vitendo vya matumizi ya nguvu nyingi uwanjani jambo ambalo limekuwa likiwafanya wachezaji wengine kushindwa kuendelea na majukumu yao. Haina maana kwamba nguvu…

Read More

SIMBA KIMATAIFA INA KAZI KUBWA

WAMESHINDA katika hilo nakubali walicheza mchezo wao kwa kujituma na nyota wao akiwa ni Bernard Morrison hapo kuna jambo linapaswa kufanyiwa kazi. Kwa wale wanaopenda mpira wanajua maana ya kucheza kama timu na kucheza kwa mchezaji mmoja hapo kwa wawakilishi wetu Simba kimataifa lazima washtuke. Mchezo wao ujao dhidi ya Red Arrows sio wa kitoto…

Read More

VIWANJA VYETU BADO TATIZO, MABORESHO MUHIMU

WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara na Championship zikizidi kupasua anga kuna tatizo jingine ambalo linazidi kuwa kubwa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2021/22 kila kona kumekuwa na hamasa kwa ajili ya kuona kwamba kila timu inapata matokeo lakini sehemu za kuchezea asilimia 70 bado hazijawa bora. Mpaka sasa kwa…

Read More

MBINU ZA RED ARROWS MIKONONI MWA PABLO

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Mhispania Pablo Franco amefunguka kuwa amenasa mbinu zote ambazo wapinzani wake kwenye Kombe la Shirikisho kutoka Zambia, Red Arrows wanatumia. Pablo amesema kwa zaidi ya wiki sasa amekuwa akitenga muda wake na kuzitazama mechi za Red Arrows na amebaini kuwa timu hiyo inacheza kwa kutumia sana nguvu na umoja wakati wote wa mchezo. Simba na Red Arrows watashuka dimbani kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa…

Read More

SIMULIZI YA ALIYEACHWA KISA MKWANJA

SIMULIZI ya aliyeachwa kisa ishu ya mkwanja Tuiishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi katika kaunti ile. Mume wangu naye alifanya kazi ya uhandisi katika wizara ya ujenzi kwenye kauti ile. Maisha yetu yalikuwa ya kutamaniwa kwani hakuna wakati hata mmoja tuligombana…

Read More

DAKIKA 90 ZA KOCHA MPYA PABLO ALISHUHUDIA HAYA

KAZI imeanza kwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco baada ya kushuhudia namna Ligi Kuu Bara inavyokwenda na kasi ya wachezaji wake ambao alianza nao kikosi cha kwanza. Baada ya kuchukua mikoba ya Didier Gomes kete yake ya kwanza ilikuwa mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja wa CCM Kirumba na ubao ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Simba.Haya…

Read More

WAAMUZI NI PASUA KICHWA,WACHEZAJI PIGENI KAZI

KIVUMBI kinazidi kuwaka kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo kwa msimu huu mpya wa 2021/22 unaoyesha kwamba sio wa kitoto. Wakati ligi ikizidi kuwa ni moto waamuzi wamekuwa ni pasua kichwa kwa kuonekana wakifanya maamuzi ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na wengi jambo ambalo linaua ile ladha ya ushindani. Makosa yapo lakini haina maana…

Read More

SIMULIZI YA MFANYABIASHARA AMBAYE ALITOROKWA NA MARAFIKI ZAKE

SIMULIZI ya mfanyabiashara ambaye alitorokwa na marafiki zake Niliishi mjini Namanga ambapo nilikuwa na biashara mbalimbali za kuuza nguo kwenye mji huo uliokuwa kitovu kizuri cha biashara kwa kuwa ulipatikana mpakani. Nilikuwa mwana pekee katika familia yetu. Maisha yalikuwa mazuri kwani nilikuwa buheri wa afya, kijana mtanashati aliyekuwa miraba minne. Biashara ilinipeleka vizuri maana wateja…

Read More

SIMULIZI KUHUSU JAMAA ALIYEPOTEA KWA MUDA KISA SHILINGI

SIMULIZI ya kuhusu aliyepotea kwa muda usiojulikana kisa fedha:- Alhamisi moja kunako mwaka wa 2002, nilipokuwa nafanya kazi ya kuungaunga katika kampuni moja ambapo ilinilazimu kuamka mapema sana ili kuhakikisha kwamba nawahi stendi ambapo wafanyikazi walichakuliwa watakaopata kibarua siku ile. Siku yenyewe ilikucha kwa mbwembwe kwelikweli kiasi cha kuonekana yenye nyota njema.Katika harakati zangu za…

Read More