HUU HAPA MTAMBO WA MABAO BONGO

    UWEZO wake uliojificha kwenye miguu yake unarekodi ya kubadili upepo hata akianzia benchi huwa anakuwa bora,alifanya hivyo mara mbili mbele ya Geita Gold na Simba na mechi zote hizi aliweza kutoa pasi za mabao.

    Ni Tepsi Evance kiungo mshambuliaji wa Azam FC ambaye ni mzawa mwenye pasi nyingi za mwisho ambazo ni 4 na amekuwa kwenye kiwango makini ndani ya timu hiyo.

    Kiungo huyo amefunga mabao mawili kwenye ligi na ni aliwafunga Ruvu Shooting bao moja na Prisons pia aliwafunga bao moja.

    Kwa mguu wa kulia katupia bao 1 na mguu wa kushoto bao 1 akiwa nje ya 18 katupia bao 1 na akiwa ndani ya 18 katupia bao 1.

    Pasi 4 za mabao

    Pasi 1 mbele ya Geita Gold ndani ya 18

    Pasi 1 mbele ya Simba nje ya 18

    Pasi 1 mbele ya Prisons nje ya 18

    Pasi 1 mbele ya Dodoma Jiji ndani ya 18

    Miguu ya pasi

    Mguu wa kulia pasi 2 za mabao

    Mguu wa kushoto pasi 2 za mabao

    Mitaa ya pasi

    Pasi 2 nje ya 18

    Pasi 2 ndani ya 18

    Alizoanza kikosi cha kwanza

    Kagera Sugar

    Mbeya City

    Ruvu Shooting

    Mbeya Kwanza

    Tanzania Prisons

    Dodoma Jiji

    Biashara United

    Coastal Union

    Polisi Tanzania

    Previous articleSIMBA YAFUNGUKIA USAJILI WA KI AZIZ
    Next articleMUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI