EX-WIFE wa Q CHIEF ASIMULIA ALIVYOTOA MIL 100 KUMSAIDIA ASITUMIE ‘UNGA’ – WALIVYOACHANA…

Mwanamama ambaye huko nyuma alikuwa akifanya kazi mbalimbali za kiburudani za kuwapeleka wasanii mbalimbali wa hapa nchini kufanya show nje ya nchi @ukhtydidas na aliyekuwa mke wa msanii wa Bongo Fleva, Q Chief amefunguka mambo mbalimbali aliyoyapitia kwenye maisha yake ikiwemo ishu ya kunyan’ganywa watoto wake na wazungu na kukaa nao mbali zaidi ya miaka…

Read More

ZORAN MILOSEVIC CEO WA MERIDIANBET! LEO ANAFUNGUKA KILA KITU

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Meridianbet Zoran Milosevic, atakuwa mzungumzaji mkuu katika Siku ya Wawekezaji ya Senzal, moja ya jukwaa muhimu zaidi la wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa duniani. Tukio hili linafanyika leo Jumatano tarehe 26 Juni huko Belgrade nchini Serbia. Jukwaa la Senzal hukusanya wawekezaji na wafanyabiashara, wataalamu wa fedha, na viongozi wa makampuni kama Meridianbet…

Read More

LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025

Serikali imesema bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imelenga kutekeleza vipaumbele vitakavyojikita katika kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu” pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2024/25. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameyataja maeneo ya vipaumbele yaliyoainishwa katika mpango huo kuwa ni pamoja na…

Read More

CHEZA SHINDANO LA EXPANSE KASINO! MAMILIONI YANAKUSUBIRI

Meridianbet wanaendeleza ubabe wao, na leo nakuletea ile Promosheni pendwa ya kujichukulia Maokoto, Shindano la Expanse ambapo ukicheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka EXPANSE utajiweka kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni leo. Jisajili sasa kuwa moja ya washindi. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na…

Read More

SHINDA TSH 4,750,000/= UNAPOCHEZA MICHEZO YA EXPANSE KASINO MTANDAONI

Promosheni Baabu Kubwa! Shindano la Expanse kila siku washindi wapya wanaibuka na kuzawadiwa bonasi za kasino, kitita cha maana Tsh 4,750,000/= kinakusubiri mwishoni mwa shindano, Jisajili Meridianbet na cheza michezo ya Expanse iliyopo Meridianbet kasino ya Mtandaoni. Shindano la Expanse ndani ya Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa…

Read More

FURAHA YATAWALA SIKU YA MAMA KIGAMBONI

Kauli pekee ambayo unaweza kutumia ni kua furaha imetawala siku ya kina Mama duniani eneo la Kigamboni, Kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ndio waliofanikisha furaha hiyo kwa kutoa msaada katika eneo hilo Imekua utamaduni kwa magwiji hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao na leo wamefanikiwa kutoa…

Read More

STAMINA AFICHUA KILICHOMUUA DIRECTOR KHALFANI…

Staa wa Bongo Fleva, Stamina ‘Shorobwenzi’ amesema kifo cha Dairekta Khalfani ni pigo kubwa kwa sanaa ya muziki wa kizazi kipya kwani alikuwa ni mtu wa kutegemewa linapokuja suala la kushoot video za nyimbo za wasanii. Amesema kwa taarifa ambazo alikuwa anazijua, ni kwamba Dairekta Khalfan alianguka akiwa kazini na baadaye akapelekwa Hospitali ya Lugalo…

Read More

VIDEO: DOROTHY MRITHI WA ZITTO AJIBU KWA NINI MAKAMU WA KWANZA ZANZIBAR HANA NGUVU KAMA MAKAMU WA PILI

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo aliyechukua nafasi ya Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, mwanamama Dorothy Semu amefunguka juu ya mjadala na maswali kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman anayetokana na ACT hana nguvu ukilinganisha na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla. Katika mahojiano…

Read More