Mpenzi wa Cole Palmer Aonyesha Maua ya Mamilioni Wakiwa Dubai
Nyota wa klabu ya Chelsea FC, Cole Palmer, amezua gumzo mitandaoni kufuatia safari yake ya mapumziko jijini Dubai. Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya England alisafiri kwenda Mashariki ya Kati pamoja na baadhi ya wachezaji wenzake wa Chelsea kwa ajili ya kupumzika wakati wa mapumziko mafupi ya ligi. Hata hivyo, macho ya wengi yalielekezwa…