SIMBA KUWEKA KAMBI MISRI,WATARUDI WANAJUA KIARABU
AHMED Ally,Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Klabu ya Simba ameweka wazi kuwa watarejea waikiwa imara baada ya kuweka ambi nchini Misri. Kesho,kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki kinatarajiwa kuweza kuelekea nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Ahmed ameweka wazi kuwa watakuwa kamili kuelekea nchini…