
MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAZUIA USAJILI WA NYOTA WA KIGENI
KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amenogewa na ubora wa wachezaji wazawa aliowasajili katika dirisha dogo huku akipanga kusimamisha usajili wa nyota wa kigeni katika msimu ujao. Baadhi ya wachezaji wazawa waliosajiliwa katika dirisha dogo ni Aboutwalib Mshery, Denis Nkane, Chrispin Ngushi na Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Wachezaji hao wote wamesajiliwa kwa…