
ROBERTINHO AWASILISHA MALALAMIKO FERWAFA AKIDAI DOLA 20,000
Kocha Robertinho ambaye hivi majuzi alisimamishwa na Rayon Sports kwa sababu za kimatibabu, amewasilisha malalamiko kwa Chama cha soka cha Rwanda (FERWAFA) akitaka kulipwa Dola za Kimarekani 20,000 Mshahara wa miezi minne. Kocha huyo tayari ameiandikia barua FERWAFA akiomba kulipwa mishahara ya miezi minne sawa na Dola 20,000 na ndani ya wiki tatu kabla ya…