
AZAM FC WANASUBIRI TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna tatizo ikiwa watapewa taarifa kwamba mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting utapangiwa tarehe nyingine kutokana na taarifa kueeleza kuwa Ruvu Shooting wameomba iwe hivyo. Ruvu Shooting kupitia kwa Ofisa Habari wao, Masau Bwire ameweka wazi kuwa wameiandikia Bodi ya Ligi Kuu Tanzania,(TPLB) barua ya kuomba kupewa muda…