
EPL NA SERIE A KUMJUA BINGWA WIKIENDI HII, BINGWA NI…?
Baada ya purukushani za wiki 37, hatimaye bingwa wa EPL na Serie A kujulikana kwenye wiki ya 38. Nani ataibuka kidedea? Mchongo upo Meridianbet. Inter Millan watakua San Siro wakichuana na Sampdoria. Ni tofautui ya alama 1 kati yao na majirani zao, AC Milan. Pointi 3 ni muhimu kwa timu zote, Inter watafanikiwa kutetea…