GEITA GOLD YAITUNGUA MBEYA KWANZA,MPOLE ATUPIA
GEITA Gold imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Majimaji, Songea. Katika mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkubwa mapema kabisa mshambuliaji namba moja wa Geta Gold,George Mpole aliweza kupachika bao la kuongoza. Mpole ambaye ni mpole kwenye maana ya jina lakini kwenye kucheka na…