SAUTI:KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MBEYA KWANZA,UWANJA WA MKAPA
LEO vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanatarajiwa kucheza na Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa ligi, hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza
LEO vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanatarajiwa kucheza na Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa ligi, hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza
KOCHA Msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo Mei 20 ametangaza kikosi cha timu ya Taifa ambacho kitaingia kambini kwa ajili ya mechi za kuwania Kufuzu AFCON
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali haiwapi presha kwa kuwa wanaamini watafanya maandalizi mazuri. Zimebaki siku 7 kabla ya watani hawa wa jadi hawajakutana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mei 28. Pablo amesema kuwa anawatambua wachezaji wake namna…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mshambuliaji wake namba moja Fiston Mayele atafunga kwenye mechi zilizobaki kwa kuwa anapenda kufunga na uwezo anao. Mayele kwenye mechi nne mfululizo za ligi hajafunga akiwa ameachwa kwa bao moja na mtupiaji namba moja George Mpole wa Geita Gold mwenye mabao 13 na pasi tatu za mabao….
OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza ambao unatarajiwa kuchezwa leo Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi zao 60 baada ya kucheza mechi 24 wanakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Mbeya Kwanza ambao…
MCHAMBUZI wa Soka Saleh Ally ‘Jembe’ katika kipindi cha Krosi Dongo kinachorushwa na 255globaradio na Global TV amesema kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Zambia Rally Bwalya amekuwa kwenye kiwango ambacho hakieleweki kwa kukipa tafsiri ya maji kupwa maji kujaa. Jembe amesema kwamba kuna muda anakuwa katika kiwango kizuri na muda mwingine anakuwa kwenye kiwango…
USHINDANI unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo hivyo nafasi inapopatikana ni lazima kufanya kweli bila kuogopa. Kila kitu kinawezekana na muda wa kufanya hivyo ni sasa baada ya kuwa kwenye kazi ngumu kutimiza kwenye mechi ambazo walianza awali kucheza na kupata ushindi. Ni timu ya Taifa ya Wasichana U 17 ambayo inapeperusha bendera ya Tanzania…
MWENDO unazidi kusonga kwa sasa kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni lala salama ya moto na yenye ushidani mkubwa. Wakati wa kupanda kile ambacho ulikuwa unastahili ni sasa na ambaye ataweza kushinda atacheka na yule ambaye atashindwa tabasamu litayeyuka kwake. Huu ni mzunguko ambao unakwenda kuamua nani anakuwa bingwa na nani anakwenda…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
BAADA ya kuwepo kwa tetesi kwamba Al Ahly ina mpango wa kumtoa kwa mkopo winga wake, Luís Miquissone, inaelezwa kwamba, uongozi wa Simba fasta umemfuata mchezaji huyo kutaka kumrejesha kikosini hapo. Luis ambaye alikuwa mchezaji wa Simba kwa kipindi cha msimu mmoja na nusu kuanzia Januari 2020 hadi Agosti, 2021, tangu ajiunge na Al Ahly…
MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Newcastel United. Arsenal ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa St James Park. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kuwa kwenye wakati mgumu katika kusaka nafasi ya kucheza michuano ya Ligi…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Geita Gold v Simba unaotarajiwa kuchezwa Mei 22,2022 utachezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Geita Gold imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu baada ya kuanza kwa kusausua mwanzoni mwa msimu na sasa inacheza soka bora. Mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Mbeya Kwanza na ilishinda bao 1-0 Uwanja wa…
INJINIA Hersi Said ameweza kuzungumza kuhusu usajili wa timu hiyo na hii ni kauli yake
JIKUMBUSHE namna Bernard Morrison alivyowaaga wachezaji wenzake
MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, anajivunia usajili bora wa kiungo mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ ambao umeongeza ubora wa kikosi chao. Sure Boy ni kati ya wachezaji watano waliosajiliwa na Yanga katika dirisha dogo msimu huu akitokea Azam FC. Wachezaji wengine waliosajiliwa na timu…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa tatizo ambalo linamsumbua kwa sasa ni ubora wa wachezaji wake hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwenye mchezo wao mzunguko wa pili dhidi ya Azam FC Uwanja wa Azam Complex uliochezwa Mei 18, mabingwa hao watetezi walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1. Ni Rodgers Kola alifunga dk ya 37…