Saleh

SIMBA YAMALIZANA NA BEKI KATILI KUTOKA BURUNDI

INAELEZWA mabosi wa Simba wamepania kufanya makubwa msimu ujao kufuatia kumnasa beki wa zamani wa Chipa United, Mrundi, Frédéric Nsabiyumva. Beki huyo wa kati mwenye miaka 27, amekuwa akisifika nchini Burundi kama mmoja kati ya mabeki wa kati makatili kutokana na uwezo mkubwa alionao wa kukaba washambuliaji wasumbufu. Usajili wa beki huyo unatajwa ni sehemu…

Read More

YANGA YATAJA SIKU YA AZIZ KI KUTUA

KAMA ulikuwa huamini, basi taarifa ikufikie kwamba, Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephane Aziz Ki na siku ya kutua nchini imetajwa. Ipo hivi, mchezaji huyo kwa taarifa za uhakika ambazo imezipata Spoti Xtra, ataingia nchini mapema ndani ya wiki ambayo inaanza kesho Jumatatu kwa ajili ya kumalizana kila…

Read More

BEKI SIMBA AGOMEA MKATABA, AOMBA KUSEPA

 INATAJWA kuwa beki wa kati wa Simba, Ibrahim Ame anayecheza kwa mkopo Mtibwa amegoma kuongeza mkataba kwa mabosi wake hao huku ikielezwa kuwa kuna mpango wa kujiunga na Coastal Union. Ame alijiunga na Simba msimu wa 2020/21 akitokea Coastal Union na kusaini mkataba wa miaka miwili ambao unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Mmoja wa…

Read More

NGOMA NZITO KAITABA WAGAWANA POINTI MOJAMOJA

DAKIKA 90 zilikuwa nzito kwa Kagera Sugar dhidi ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa ligi baada ya kugawana pointi mojamoja. Ilikuwa ni Uwanja wa Kaitaba ambapo mchezo huo wa ligi ulichezwa Juni 18, 2022 kwenye msako wa pointi tatu kila timu iliambulia moja. Ni bao la Wazir Junior lilikuwa la kwanza kupachikwa kimiani dk ya…

Read More

BIASHARA YAPUNGUZIWA KASI,MPOLE ATAKATA

WAKATI kasi ya Biashara United ikizidi kupunguzwa kwenye spidi ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23 mmoja ya watupiaji alikuwa ni George Mpole. Kwenye mchezo uliochezwa jana, Uwanja wa Nyankumbu, ubao ulisoma Geita Gold 2-0 Biashara United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Mabao ya Geita Gold yalipachikwa na Mpole…

Read More

TEAM KIBA WAWANYOOSHA TEAM SAMATTA

KWENYE mchezo wa leo wa NIFUATE wa SAMAKIBA Foundation,Team Kiba wameibuka mabingwa kwa ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Team Samatta baada ya dk 90 kutoshana nguvu kwa kufungana mabao 3-3. Mabao ya Team Kiba yalifungwa na Simon Msuva ambaye alitupia mawili dk ya 23 na 67 huku moja likifungwa na Alikiba kwa penalti dk…

Read More

SOPU APIGIWA HESABU NA VIGOGO VITATU

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuiwania saini ya kiungo mshambuliaji wa Coastal Union,Abdul Suleiman,’Sopu’. Sopu amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ambapo anaongoza kwa utupiaji wa mabao akiwa nayo 7 kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba kiungo huyo amecheza Simba kisha akaibukia Ndanda kwa mkopo na akaibuka ndani ya Coastal Union inayonolewa na…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KMC

SELAMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba imetoka kushinda mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Matola amesema:”Mchezo wetu tunajua kwamba utakuwa mgumu lakini tupo tayari kwa ajili ya kuweza kuona tunapata…

Read More

MCHEZO MZIMA WA AZIZ KI KUSAINI YANGA UPO HIVI

SAKATA la usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephanie Aziz Ki, limeingia katika sura mpya na kumuibua Msemaji wa Yanga, Haji Manara ambaye amefunguka kila kitu kuhusu ishu ya staa huyo kutua Jangwani. Aziz Ki amekuwa gumzo kubwa kwa siku za karibuni kufuatia kuziingiza kwenye vita kali klabu za Simba na…

Read More

TUCHEL ANAMTAKA LEWANDOWSKI

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha inapata saini ya mshambuliaji hatari wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Poland Robert Lewandowski. Tuchel anatamani Lewandowski achukue mikoba ya Romelu Lukaku ambaye anatazamiwa kujiunga na klabu yake ya zamani ya Inter Milan…

Read More

ARSENAL WAINASA SAINI YA KIUNGO MSHAMBULIAJI

KLABU ya Arsenal ya nchini Uingereza imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya FC Porto ya nchini Ureno Fabio Vieira (22). Arsenal imekamilisha dili la kumsajili kiungo uyo kwa ada ya Paundi milioni 34 ambayo ni sawa na Shilingi Bilioni 96.9 za kitanzania ambapo itatoa Paundi milioni 30 kwanza halafu Paundi milioni 4…

Read More

ISHU YA UFUNGAJI BORA MAYELE AFUNGUKIA

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu Bara, Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kumwambia mpinzani wake wa Geita Gold, George Mpole hatakubali akiache kiatu cha ufungaji bora msimu huu. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kufunga mabao mawili na kufikisha mabao 16 katika ufungaji huku mpinzani wake akifunga 15. Mkongomani huyo alifunga mabao hayo katika mchezo…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Juni 18, ambapo timu mbili zitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu. Ni Geita Gold itawakaribisha Biashara United katika Uwanja wa Nyankumbu. Geita Gold ipo nafasi ya 4 ikiwa na pointi 39 inakutana na Biashara United iliyo nafasi ya 15 na pointi 25. Pia mchezo mwingine ni…

Read More

MSUVA ATAJWA SIMBA,YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Wydad Casablanca, Mtanzania Simon Msuva amekiri kufuatwa na kufanya mazungumzo na timu kongwe za Simba na Yanga kwa ajili ya kumsajili kuelekea msimu ujao. Kiungo huyo hivi sasa yupo nchini akisubiria hatima ya kesi yake inayoendelea Fifa dhidi ya klabu yake hiyo anayoichezea ya Casablanca. Msuva amesema kuwa hivi karibuni ataweka wazi…

Read More