TULIA AIPA TANO TASWA FC,M-BET WATOA NENO
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson ameipongeza timu ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini (Taswa SC) na Bunge SC kwa kupromoti michezo kwa kuonyesha mfano kwa vitendo kwa kucheza katika mechi mbalimbali. Spika Ackson amesema hayo wakati wa mechi maalum ya kirafiki kati ya Taswa SC na Bunge SC…