Saleh

YANGA:TUNAANZA NA SIMBA NGAO YA JAMII

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kukusanya mataji yote matatu iliyotwaa kwa msimu wa 2021/22. Ni Ngao ya Jamii Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho ambayo waliyatwaa msimu uliopita yote yalikuwa mikononi mwa Simba hivyo wanakazi ya kuweza kuyatetea kwa mara nyingine tena. Kaimu Mtendaji wa Simba,Senzo Mbatha amesema kuwa wanatambua…

Read More

USHAURI WA JEMBE KWA HAJI MANARA HUU HAPA

MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally ‘Jembe’ amesema Haji Manara anapaswa kujiweka mbali na marafiki wanafiki ambao wanamjaza upepo (Kumdanganya) kwamba hana makosa kutokana na hukumu aliyoipata ya kufungiwa miaka miwili kutojihusisha na soka pamoja na faini ya shilingi milioni 20. Akifanya mahojiano maalum na Mwandishi wa Habari wa Global TV, Jembe amenukuliwa akisema:“Mimi natakuwa…

Read More

SIMBA YASHUSHA DOZI KUBWA MISRI,YAPIGA MKWARA

MCHEZO wa pili wa kirafiki kwa washindi namba mbili wa Ligi Kuu Bara Simba uliochezwa usiku wa kuamkia leo nchni Misri ilikuwa dhidi ya Al Akkhood Club ya Misri na Simba kuibuka na ushindi mkubwa. Ilikuwa ni ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Al Akhdood Club ya Misri ambapo Kocha Mkuu Zoran Maki aliweza kuongoza…

Read More

TANZANIA YASHINDA MBELE YA SOMALIA

 UWANJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuu CHAN, timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars imeweza kuibuka na ushindi mbele ya Somalia. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Somalia 0-1 Tanzania na kuwafanya Watanzania kuweza kuanza kwa ushindi kwenye mchezo wa leo. Mtupiaji wa bao la Tanzania ni kiungo Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ambaye alipachika bao hilo…

Read More

BEKI KMC KUIBUKIA RUVU SHOOTING

 HASSAN Kessy beki wa zamani wa Yanga na Simba ambaye msimu wa 2021/22 alikuwa ni mali ya KMC anatajwa kumalizana na mabosi wa Ruvu Shooting. Kessy atajiunga na Ruvu Shooting akiwa ni mchezaji huru baada ya KMC kuweza kumshukuru kwa mchango wake ambao aliweza kuutoa kwa msimu uliopita. Ofisa Habari wa KMC,Christina Mwagala amesema kuwa…

Read More

STARS KAMILI KUIVAA SOMALIA LEO

 KIM Poulsen Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kuwania kufuzu kuwania fainali za CHAN unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Somalia watakuwa wenyeji kwenye mchezo wa leo na mchezo wa pili unatarajiwa kuchezwa Julai 30 ambapo Tanzania watakuwa wenyeji. Mshindi wa…

Read More

RASTA WA MTIBWA SUGAR ATUA DODOMA JIJI

KAZI bado inaendelea kwa walima Zabibu, Dodoma Jiji baada ya leo Julai 23,2022 kumtambulisha winga mshambuliaji, Salum Kihimbwa rasta kutoka Mtibwa Sugar. Nyota huyo anatajwa kupewa dili la mwaka mmoja ni miongoni mwa mastaa ambao walikuwa ndani ya Mtibwa Sugar msimu wa 2021/22 na wakatimiza lengo la timu hiyo kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara…

Read More

MSUVA APATA TIMU MPYA

NYOTA mzawa Simon Msuva ameweka wazi kuwa ni furaha kwake kuweza kuanza changamoto mpya katika Klabu ya Alqadsiah ya Saudi Arabia. Winga huyo hakuwa na timu kwa muda kutokana na kushughulikia kesi yake FIFA kuhusu mkataba wake na malipo na mwisho wa siku aliweza kushinda. Alikuwa anatajwa kuweza kurejea ndani ya klabu yake ya zamani…

Read More

USHINDI MEZANI NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Mchezo wa Titan Roulette    Kama iliivyo ada, Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa,Odds kubwa na Bonasi kedekede. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino maarufu kama Expanse Studios utakaoupata kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet. Titan Roulette ni mchezo wenye…

Read More

BEKI WA SIMBA ATAJA KILICHOMVUTA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba, Mohamed Ouattara amebainisha kuwa alifuatilia malengo ya timu hiyo na kuweza kukubali kusaini katika timu hiyo. Kapewa dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya Simba ambayo inanolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki raia wa Serbia. Beki huyo amebainisha kwamba anamatumaini makubwa ya kuweza kufanya vizuri ndani ya timu…

Read More

KIBAYA NI MALI YA IHEFU FC

JAFARY Kibaya nyota aliyekuwa anakipiga ndani ya Mtibwa Sugar sasa ni mali ya Ihefu FC ya Mbeya baada ya kutambulishwa jana Julai 22,2022. Nyota huyo anakuwa miongoni mwa nyota wa mwanzo kutangazwa kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zuber Katwila. Kibaya amesema:”Ni muda wa kutoa shukran zangu za dhati kwenu hakika mlinilea na kunikuza vizuri…

Read More

RAIS SENEGAL AWAPONGEZA SAKHO,MANE

 RAIS wa Senegal Macky Sall amempongeza mshambuliaji wa Simba raia wa Senegal Pape Ousmane Sakho kwa kutwaa tuzo ya bao bora la mashindano ya CAF.  Rais Sall amempongeza Sakho sambamba na wachezaji wengine wa Taifa hilo akiwemo mshambuliaji wa Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane, Golikipa wa Chelsea Edouard Mendy na mchezaji…

Read More