Saleh
SAUTI:VITA YA UFUNGAJI BORA PHIRI NA MAYELE YAKOLEZWA
VITA ya ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara yakolezwa kati ya Moses Phiri na Mayele Fiston
MASTAA WANNE YANGA KUIKOSA ZALAN FC, MORRISON, DJUMA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mastaa wake wanne wanatarajia kukosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zalan FC...
HAALAND ASEPA NA TUZO YA MCHEZAJI BORA
STAA wa Manchester City Erling Haaland ametajwa kuwa Mchezaji Bora Premier katika mwezi Agosti, (mwezi uliopita).
Mshambuliaji huyo Mnorway ametwaa tuzo hiyo baada ya kuanza...
HATMA YA JUMA MGUNDA SIMBA IMEKAA HIVI
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa umempa mkataba wa muda kocha Juma Mgunda na hatma yakeipo kwa kocha mpya ambaye atakuja kukinoa kikosi hicho hivi...
MWAMBA HUYU HAPA, NABI ACHEKELEA KISINDA KURUHUSIWA
MWAMBA huyu hapa, Nabi achekelea Kisinda kuruhusiwa, amuingiza kikosi cha kwanza, Simba:Tunawashushia Wamalawi full mziki, Inonga ashusha presha
MERIDIANBET WAUNGA MKONO KAMPENI YA BUKU YA HEDHI SALAMA
Meridianbet wameunga mkono jitihada za kampeni ya Buku ya Hedhi salama inayoratibiwa na Shufaa Hemed Nasoro.
Kampeni hii ilikuwa imelenga kuchangisha michango ya kiwango cha...
VIDEO:KOCHA NABI ABAINISHA UCHOVU UNAWASUMBUA WACHEZAJI
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanasumbuliwa na tatizo la uchovu kutokana na kucheza mechi mfululizo lakini apo tayari kwa...
VIDEO:YANGA WANAISHI KISHUA,CHEKI KAMBI YAO
TAZAMA mwanzo mwisho namna Yanga wanavyoishi kishua
VIDEO:MORRISON, LOMALISA ,DJUMA KUWAKOSA ZALAN FC
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika,kati ya Yanga v Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa mastaa wa Yanga wanatarajiwa kuukosa mchezo huo...
MKALI WA MIPIRA MIREFU AMEFUNGUA AKAUNTI YA MABAO
HASSAN Nassoro kiungo wa Mbeya City ni miongoni mwa wazawa wenye uwezo wa kupiga mipira mirefu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kiungo huyo mwenye...
EPL YARUDI NDANI YA DStv WIKIENDI HII
DStv wanaenedelea kuwa mstari wa mbele kuwaletea wapenzi wa soka mechi hizi na tiketi yako ni dikoda tu!
Kwa ofa yao kabambe ya TSH 69,000...
SIMBA YAOMBA SAPOTI YA MASHABIKI
MOHAMED Hussein,nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa mashabiki wa timu hiyo wanapaswa kuendelea kuwa pamoja nao kwenye mechi zote wanazocheza ili kuwapa nguvu ya...
LUSAJO MTU KAZI NDANI YA LIGI KUU BARA
MZAWA Reliats Lusajo ni mtu wa kazikazi kwenye kikosi cha timu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Bara ujue umeona pointi kutokana na nyota...
SAUTI:MOSES PHIRI AMTANGAZIA VITA MAYELE
MSHAMBULIAJI wa Simba Moses Phiri amemtangazia vita mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele na wote kwenye ligi wametupia mabao matatumatatu
MASTAA SIMBA WAPEWA ANGALIZO KIMATAIFA
CLATOUS Chama, kiungo wa Simba pamoja na wachezaji wengine ikiwa ni nahodha John Bocco, Moses Phiri na Aishi Manula wamepewa angalizo kuelekea mchezo wao...
CR 7, SANCHO WAWAPA FURAHA MASHABIKI UNITED
UWANJA wa Zimbru kwenye mchezo wa Europa kwa kundi E ni mabao mawili Sheriff walishuhudia yakizama nyavuni huku watupiaji wakiwa ni Jadon Sancho dakika...
VIDEO: CHEKI MASTAA SIMBA WALIVYOREJEA DAR
MASTAA wa Simba tayari wamereja Dar wakitokea Mbeya walipokuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons na ulikuwa mchezo wa kwanza...