Saleh

YANGA BINGWA TENA

BAADA ya kupata ushindi leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara rasmi Yanga wanakuwa ni mabingwa wa NBC Premier League. Unakuwa ni ubingwa wa 29 tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni historia kubwa na nzuri kwa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, Yanga wamefikisha pointi 74 ambazo hamna timu yeyote inaweza kufikisha ni baada…

Read More

KOCHA JULIO KAANZA MIKWARA

KOCHA Mkuu wa KMC, Jamhuri Kihwelo, ‘Julio’ ameanza mikwara kwa kubainisha kuwa kinachotazamwa kwenye ligi ni namna ya kumaliza. Mbele ya Singida Big Stars inayonolewa na Hans Pluijm ilisepa na pointi tatu mazima. Ikumbukwe kwamba mchezo wake wa pili kukaa benchi akiwa na KMC baada ya kubeba mikoba ya Thiery Hitimana  amesepa na pointi tatu….

Read More

ISHU YA CHAMA KUONDOKA SIMBA IPO HIVI

WAKATI taarifa zikizagaa kuwa mwamba wa Lusaka, kiungo wa Simba Clatous Chama ameomba kuondoka hofu imeondolewa na uongozi wa timu hiyo. Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya pili na pointi zao ni 67 na vinara ni Yanga wenye pointi 71. Yanga imecheza mechi 27 na Simba imecheza mechi 28 msimu wa 2022/23. Taarifa zilikuwa zinaeleza…

Read More

HAPA NDIPO ANGUKO LA SIMBA LILIPOANZIA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa makosa makubwa ambayo yamefanya anguko kwenye timu hiyo hajaanza leo bali miaka miwili nyuma. Msimu huu Simba imepoteza matumaini ya kutwaa taji la ligi linalotetewa na Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 71. Leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

RUVU SHOOTING YAMUOMBA MUNGU KWENYE MAPITO YAO

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwenye mapito magumu wanayopitia njia itaonekana. Timu hiyo leo inatarajiwa kucheza mchezo wa ligi dhidi ya Simba Uwanja wa Azam Complex kusaka pointi tatu. Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 71 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2022/23.  Ofisa Habari wa Ruvu Shooting,…

Read More

LIGI KUU BARA KINAWAKA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo Mei 12 ikiwa ni mzunguko wa pili. KMC chini ya Jamhuri Kihwelo ‘Julio” itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Singida Big Stars. Ni Uwanja wa Uhuru ngoma inatarajiwa kupigwa ambapo KMC itawakaribisha Singida Big Stars saa 10:00 jioni. KMC inapambana kubaki ndani ya ligi ikiwa imecheza…

Read More

KIPA SIMBA ASEPA NA MKWANJA

KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Aprili, 2023. Kipa huyo amekuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba kwenye mechi za hivi karibuni baada ya kipa namba moja Aishi Manula kupata maumivu. Salim alikaa langoni kwenye…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kuwa mechi tatu zilizobaki watacheza kwa umakini kupata pointi tatu. Timu hiyo ipo nafasi ya 8 ikiwa imekusanya pointi 33 huku vinara wa ligi wakiwa ni Yanga wenye pointi 71. Zote zimebakiza mechi tatu mechi ijayo kwa Yanga ni dhidi ya Dodoma Jiji na kwa Ihefu ni dhidi ya Coastal…

Read More

SIMBA KUWAPA FURAHA MASHABIKI

NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa watautumia mchezo wao wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting kuwapa furaha mashabaki. Timu hiyo ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya pointi 64 vinara ni Yanga wenye pointi 71. Yanga na Simba zote zimecheza mechi 27 na ni mechi tatu zipo kwenye mikono yao kukamilisha…

Read More

YANGA MGUU MMOJA FAINALI KIMATAIFA

YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…

Read More

IHEFU WAIVUTIA KASI COASTAL UNION

KLABU ya Ihefu imeanza hesabu kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union. Ikumbukwe kwamba Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga kwa msimu wa 2022/23. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na mechi tatu mkononi ambapo mchezo ujao ni dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa jumapili,…

Read More