
ENG. HERSI SAID AENDELEA KUIBEBA SOKA LA AFRIKA KUPITIA ACA
Mwaka uliopita, Chama cha Umoja wa Vilabu Afrika (ACA) chini ya uongozi wa Eng. Hersi…
Mwaka uliopita, Chama cha Umoja wa Vilabu Afrika (ACA) chini ya uongozi wa Eng. Hersi Said, kilifanikiwa kushawishi CAF kutoa dola 50,000 kwa kila klabu iliyoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho (CAF CC) katika hatua ya awali. Kwa msimu huu mpya, ACA imeendelea kupigania maslahi ya vilabu barani Afrika kwa…
Mchezaji wa soka wa kimataifa kutoka Ghana, Bernard Morrison, ametoa andiko la kugusa moyo kupitia ukurasa wake rasmi, akieleza safari yake ya mateso kutokana na jeraha la goti ambalo lilimweka nje ya uwanja kwa karibu mwaka mmoja. Katika andiko hilo, Morrison amewashukuru watu mbalimbali waliomsaidia katika kipindi hicho kigumu cha maisha yake ya soka na…
Baba mzazi wa mchezaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, Mzee Ally Samatta, amefariki dunia asubuhi ya leo, Julai 6, 2025. Msiba upo Mbagala, jijini Dar es Salaam, ambapo familia, ndugu, jamaa na marafiki wamekusanyika kuomboleza msiba huo mzito. Timu ya Global TV ipo eneo la tukio na itaendelea kukuletea taarifa kamili kuhusu msiba…
Meridianbet, kampuni namba moja kwa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, inakualika kujiunga na promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi mzima wa Julai 2025. Kuanzia tarehe 1 Julai hadi 31 Julai 2025, wachezaji wote waliojisajili wana nafasi ya kujipatia spins 50 za bure kila siku kwa kukamilisha spins 100 kwenye mchezo wa kasino…
Klabu ya Azam FC leo Julai 5, 2025 imemtambulisha rasmi Florent Ibenge kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, kupitia ukurasa wao wa Instagram kwa ujumbe mfupi lakini mzito uliosema: “Karibu Azam FC, kocha bora Afrika – Florent Ibenge.” Utambulisho huo umethibitisha kile ambacho mashabiki wa soka walikuwa wanakisubiri kwa hamu: ujio wa kocha mwenye…
Ruben Neves Aungana na Waombolezaji Ureno Kuwapa Heshima za Mwisho Diogo Jota na André Silva Kiungo nyota wa kimataifa, Ruben Neves, ambaye usiku wa kuamkia leo alikuwa nchini Marekani akicheza mechi, amewasili kwa haraka nchini Ureno kushiriki mazishi ya wachezaji wenzake, Diogo Jota na André Silva, waliotangulia mbele ya haki. Nahodha huyo wa zamani wa…
Real Madrid vs Borussia Dortmund ni mechi kali leo hii ya kutazama lakini huku ukiwa unaitazama inakupa pesa. na GG&3+ mtanange huu ujiweke kwenye nafasi ya kupata bonasi hadi shilingi 60000 leo. Jinyakulia bonasi ya kibabe ya elfu 60000 endapo utasuka jamvi lako hapa na kubashiri mechi ya Real Madrid vs Dortmund . Meridianbet wameipa…
MASTAA wa Yanga SC, Simba SC, Kagera Sugar, JKT Tanzania na timu nyingine wapo kwenye mwendelezo wa kurejesha kwa jamii. Julai 6 2025 itakuwa ni Wape Tabasamu ya Team Dickson Job na Team Kibwana Shomari hawa wote wa Yanga SC. Kwenye mchezo huo ikiwa ni msimu wa 4 wapo wachezaji wa Simba SC ambao watakuwa…
MATAJIRI wa Dar Azam FC wanakuja na jambo kubwa jingine ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Azam FC imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2024/25 ikiwa na pointi 63 itashikriki Kombe la Shirikisho Afrika tayari imeanza kutambulisha wachezaji wake wapya. Julai 3 2025 ilimtambulisha beki mzawa kutoka Coastal Union,…
IKIWA upepo utakuwa mgumu kwa kiungo mshambuliaji wa Wydad, Aziz KI kwenye changamoto yake mpya huenda akarejea ndani ya kikosi cha Yanga SC ambacho kilitwaa ubingwa msimu wa 2024/25 kikiwa na pointi 82 kibindoni. Msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Klabu ya Yanga SC, Aziz Ki alikuwa ni chaguo la kwanza katika mechi za…
Cheza LOOT Legends kupitia Meridianbet na ujipatie nafasi ya kuwa mshindi wa zawadi kubwa zaidi nchini. Promosheni hii ya kipekee inaendeshwa kwa muda wa wiki 10 kuanzia tarehe 30 Juni hadi 7 Septemba 2025, ambapo wachezaji watachuana kwenye leaderboard kwa kushinda sehemu ya jumla ya zawadi zenye thamani ya TZS 1.5 bilioni. Ili kushiriki, unachotakiwa…
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza ongezeko la asilimia 45 ya pesa za zawadi kabla ya kuanza kwa kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON). Morocco itakuwa mwenyeji wa mashindano hayo kuanzia Julai 5-26 katika miji mitano tofauti. Bingwa ataondoka na kitita cha USD1,000,000, ongezeko la 100%, huku mshindi wa pili akiweka mfukoni…
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, sasa amesalia kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, wagombea wengine waliokuwa wamejitokeza kuwania nafasi hiyo wameshindwa kutimiza sifa kwa mujibu wa…
Michuano ya kombe la Dunia kwa vilabu inazidi kuendelea ambapo sasa ni hatua ya Robo Fainali na Meridianbet kila siku wao wanatafuta namna pekee ya wewe kuweza kuondoka na mpunga wa maana kabisa na mechi hizi. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Fluminense vs Al Hilal ushinde pesa mara 2 zaidi. Hii ni Robo Fainali kali…
Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha rasmi kumteua Miguel Ángel Gamondi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja, kuelekea msimu wa mashindano wa 2025/2026. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, imeelezwa kuwa uamuzi huo ni sehemu ya mpango wa kuimarisha kikosi na kuongeza ushindani katika ligi kuu na michuano…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwa kuwa tayari wameanza kushusha mashine za kazi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 kwa kumtambulisha beki wa kazi ambaye ni mzawa. Julai 3 2025 mabosi wa Azam FC wamemtambulisha rasmi Lamek Lawi kwa kandarasi ya miaka miwili beki huyo ambaye alikuwa chaguo la kwanza ndani ya Coastal Union…
MSHAMBULIAJI bora wa muda wote kwa sasa raia wa Ureno Cristiano Ronaldo ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha Diogo Jota na kaka yake Andre Silva. Ulimwengu wa mpira kwa sasa unaomboleza kufuatia kutangulia mbele za haki kwa kijana huyo mwenye miaka 28. Kijana huyo alikuwa kwenye safari kuelekea kambini kwa ajili ya maandalizi ya…