Atalanta, Real Madrid, Chelsea na Liverpool Viwanjani Leo – Champions League Yazidi Kunoga
Leo usiku, viwanja vya soka barani Ulaya vitageuka majukwaa ya ufundi, kasi, na ushindi wa kihistoria. Raundi ya pili ya UEFA Champions League inatua kwa kishindo, na Meridianbet inawasha moto wa bashiri, ni wakati wa kuchagua, kubashiri, na kushinda. Baada ya kuchakazwa na PSG, Atalanta wanarudi nyumbani wakitafuta ukombozi. Lakini mbele yao ni Club Brugge…