MERIDIANBET CHIMBO PEKEE LA KUPIGA MKWANJA WIKIENDI HII

Ni hivi hakuna kukaa kinyonge wikiendi hii kwani ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea na una nafasi ya kupiga mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet kupitia michezo hiyo. Kukosa maokoto ni wewe tu utakua umetaka kwani mabingwa wa michezo ya kubahatisha kampuni ya Meridianbet wamekuwekea ODDS KUBWA na bomba katika michezo inayopigwa wikiendi hii katika ligi mbalimbali barani ulaya. Pia kumbuka…

Read More

CHEKI NYOTA WALIOKOSA PENALTI BONGO

LIKIWEKWA tuta,asilimia 98 wengi wanahesabu ngoma lazima ijae wavuni lakini kuna mastaa wengi ambao wamekwama kufanya hivyo kwenye uwanja. Kitete cha kutetema hakikuwa kwa Fiston Mayele tu msimu huu hata Meddie Kagere wa Simba alipata kitete cha kufunga. Rekodi zinaonyesha kwamba kitete cha penalti kipo kwa mastaa wa Simba ambao wamekosa penalti nyingi,hapa tunakuletea baadhi…

Read More

MAYELE ALIWEKWA MTU KATI UWANJA WA MKAPA NA NYOSSO

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga aliwekwa mtu kati juzi mbele ya Geita Gold baada ya kukabidhiwa kwenye mikono salama ya Kelvin Yondan na Juma Nyosso ambao walikula naye sahani moja. Mzee huyo wa kutetema aliyeyusha dk 90 mazima bila kutetema huku kila hatua ambayo anakwenda nyuma alikuwa yupo Nyosso ama Yondani kwa ajili ya kwenda…

Read More

LEGEND MKUDE ASEPA NA TUZO

LEGEND Jonas Mkude alipewa kitambaa cha unahodha katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2024 dhidi ya KVZ. Baada ya dakika 90 Januari 4 ubao ulisoma Yanga 0-0 KVZ wakigawana poiñti mojamoja ambapo Yanga inafikisha pointi 7 kibindoni. Mkude alipewa tuzo ya mchezaji aliyeonesha mchezo wa kiungwana ambapo ni zawadi ya laki mbili alipata kutoka kwa…

Read More

HUKU NDIKO AMEIBUKIA FEI TOTO

2023 kiungo wa mpira mwenye mkataba na Yanga mpaka 2024 umemkutia akiwa ndani ya Dubai ambapo amekwenda kwa ajili ya majukumu yake. Nyota huyo mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa kwenye mvutano na mabosi wa timu yake kuhusu mkataba wake. Fei mwenyewe amewaaga mashabiki na kuwashukuru viongozi kwa muda ambao ametumika ndani…

Read More

MUZIKI HUU WA SIMBA KUWAVAA AZAM FC

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Azam FC watacheza wachezaji wote wa timu hiyo kwa kuwa wanatambua wajibu ni lazima utimizwe. Ni Yanga wenye taji hilo mkononi ambapo watacheza na Singida Big Stars hatua ya nusu fainali ya pili na mshindi atavaana na atakayepenya leo. Leo Simba…

Read More

CHAMPIONSHIP KINAPIGIKA LEO NA MKWANJA NI WAKUTOSHA

Ligi daraja la pili nchini Uingereza maarufu kama Championship itaendelea ijumaa ya leo na michezo mbalimbali itakwenda kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, Huku mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kujipigia mkwanja wako wa kutosha. Kuhakikisha kua kipindi hichi cha sikukuu wateja wa Meridianbet hawakai kinyonge mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakimwaga Odds…

Read More

YANGA YAITUNGUA MBEYA CITY KWA MKAPA

FISTON Mayele amefikisha mabao 10 kwenye Ligi baada ya leo kutupia mabao mawili mbele ya Mbeya City. yanga imesepa na pointi tatu jumlajumla za Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambapo alifunga bao la kwanza dakika ya 24 na lile la pili dakika ya 70. Ushindi huo unaifanya Yanga kufikisha jumla ya mechi…

Read More

DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU RUVU SHOOTING

UONGOZI wa Dodoma Jiji  FC umeweka wazi kuwa  mchezo wao wa mwisho dhidi ya Ruvu Shooting  unaotarajiwa kupigwa Juni  9 Uwanja wa Jamuhuri, Morogoro wataingia kwa tahadhari kuwakabili. Timu hiyo imekusanya pointi 34 baada ya kucheza mechi 29 nafasi ya 10 vinara ni Yanga wenye pointi 74 kibindoni. Yanga wao kete yao ya mwisho itakuwa…

Read More

AZAM MATIZI KAMA YOTE TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kinaendelea na mazoezi Tunisia ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Timu hiyo ipo na wachezaji wake wapya ikiwa ni pamoja na Feisal Salum ambaye alikuwa ndani ya Yanga, Gubril Sillah ambaye ni kiungo. Sillah amesema kuwa ni furaha kuwa na timu hiyo na anaamini watafanya kazi kubwa msimu ujao….

Read More

SIMBA WAFUNGUKIA AUSSEMS KUREJEA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini. Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za…

Read More