SIMBA YAANZA KWA USHINDI DHIDI YA POWER DYNAMO

KATIKA kilele cha Simba Day Agosti 6 2023 maelfu ya mashabiki waliojitokeza Uwanja wa Mkapa wameshuhudia burudani kutoka kwa mastaa wao waliotambulishwa. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 2-0 Power Dynamo ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mabao ya Simba yamefungwa na Willy Onana dakika ya nne na Fabrince Ngoma dakika ya 75…

Read More

EPL, SERIE A, BUNDESLIGA NA LA LIGA KUENDELEA WIKIENDI HII

Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…

Read More

Bashiri na Meridianbet Mechi za Leo

Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja sasa tengenzeza jamvi lako na upige pesa hapa. Kivumbi kitakuwa pale BUNDSLIGA kwenye mechi hii inayowakutanisha FC Cologne dhidi ya Werder Bremen. Timu hizi zimepishana pointi 10 pekee huku ushindi akipewa mwenyeji ndani…

Read More

SIMBA YAMALIZANA NA WINGA WA MABAO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umemalizana na winga wa mabao ndani ya Mtibwa Sugar, Ladack Chasambi. Nyota huyo jina lake lipo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi za kimataifa hivi karibuni. Ilikuwa ni kwenye kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia…

Read More

YANGA HAO MALAWI KWA KAZIKAZI

MSAFARA wa Yanga leo Julai 5 umeanza safari kwa ajili ya kuelekea nchini Malawi. Timu hiyo imealikwa katika mchezo maalumu wa siku ya Uhuru ikiwa ni miaka 59 ya Uhuu wa Malawi. Julai 6 kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mchezo maalumu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa nyota waliopo katika kikosi ni…

Read More

MASTAA HAWA WAMPA JEURI GAMONDI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina anatajwa kuwa kwenye furaha kuwaona makipa watatu wakiwa kwenye uimara mazoezini. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara kwenye upande wa makipa wapo watatu ikiwa ni Djigui Diarra raia wa Mali huyu ni kipa namba moja. Djigui ana tuzo ya kipa bora na yupo…

Read More

KOCHA YANGA AITAMANI REKODI YA SIMBA CAF

KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…

Read More

IHEFU KIBARUANI TENA LIGI KUU BARA

JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi zao zilizopita watafanyia kazi ili kupata matokeo mazuri. Ihefu haijaanza kwa kufanya vizuri kwenye mechi za mwanzo ndani ya msimu wa 2022/23. Ikiwa imecheza mechi 4 haijakusanya pointi zaidi ya kuishia kupoteza mechi zote nne ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa…

Read More

AMEWEKA REKODI HII MWAMBA WA YANGA

MWAMBA Mudathir Yahya ameweka rekodi ya kuwa ni mkali wa kutibua mipango hiyo na kuipa timu hiyo pointi tatu mazima Uwanja wa Azam Complex. Ikumbukwe kwamba Yanga ilipata sare yake ya kwanza msimu wa 2023/23 Februari 2 ubao wa Uwanja wa Kaitaba uliposoma Kagera Sugar 0-0 Yanga ambapo wapinzani wao walitumia mbinu ya kujilinda zaidi….

Read More