SAIDO AWEKA REKODI 4 KALI BONGO, MAZITO YAIBUKA MABAO YA AZIZ KI
SAIDO aweka rekodi 4 kali Bongo. mazito yaibuka mabao ya Aziz KI ndani ya Championi Jumatatu
SAIDO aweka rekodi 4 kali Bongo. mazito yaibuka mabao ya Aziz KI ndani ya Championi Jumatatu
IMEELEZWA kuwa Barcelona imewasiliana na Mohamed Salah ili waweze kupata saini yake ndani ya kikosi hicho. Mshambuliaji huyo raia wa Misri amebakiza mwaka mmoja kumaliza mkataba wake ndani ya Liverpool inayotumia Uwanja wa Anfield. Taarifa ya Daily Mirror inasema kuwa Barcelona ni kama wamemteka akili baada ya kumwambia kwamba wanahitaji awe ndani ya familia yao….
IKIWA ugenini Klabu ya Yanga imeendeleza ubabe ndani ya dakika 45 za mwanzo. Ubao unasoma Marumo Gallants 0-1 Yanga mtupiaji ni Fiston Mayele. Mayele kapachika bao hilo dakika ya 44 baada ya kuwazidi ujanja mabeki wa Gallants ambao walikuwa wanakwenda kufanya shambulizi. Mlima mzito kwa Gallants kupindua meza wakiwa nyumbani wanadaiwa mabao matatu kuweka usawa…
CLEMENT Mzize, mchezaji bora Desemba amewakimbiza wachezaji wenye rekodi kutokana na kusepa na tuzo hiyo mbele ya mastaa wenye rekodi zao ndani ya NBC. Kwenye mechi nne ambazo alicheza, Mzize alifunga mabao manne na kutoa pasi tatu za mabao akikomba dakika 288 na Yanga ilikuwa nafasi ya tatu ndani ya Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na…
KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…
FAINALI ya kisasi Yanga v Simba, Tanga Uwanja wa Mkwakwani, Agosti 13
YANGA SC mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika wakiwa na mataji 31 kabatini wametambulisha nyota watatu ndani ya Agosti 2025. Katika wachezaji hao usajili ambao ulitikisa ni ule wa beki Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyetambulishwa hapo akitokea kikosi cha Simba SC baada ya mkataba wake kugota mwisho msimu…
NICKSON Kibabage nyota wa Singida Big Stars anatajwa kuwa katika rada za Simba. Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Hans Pluijm ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Ni mabao manne ametupia ndani ya ligi Kati ya 32 yaliyofungwa na timu hiyo iliyo nafasi ya nne na pointi 51. Akiwa ndani…
UONGOZI wa Simba umeibuka baada ya kukamilisha suala la kiungo wake Mzambia, Clatous Chama aliyegomea kambi ya nchini Uturuki kwa kutamka kuwa hawakuwa na hofu ya nyota huyo kutimka kikosini mwao. Hiyo ikiwa ni saa chache tangu kiungo huyo afikie makubaliano na klabu na kukubali kujiunga na kambi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao iliyopo…
Uefa Champions League itaendelea leo Jumatano na viwanja mbalimbali barani ulaya vitawaka moto kutoka na michezo mikali itakayopigwa, Huku wewe ukiwa na nafasi ya kunyakua kitita cha kutosha. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ni michezo mikali ambayo itakutanisha miamba ya soka barani ulaya ambayo inakwenda kucheza michezo yao ya raundi ya…
Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet leo hii iliamua kufunga safari moja kwa moja mpaka mtaa wa Mpakni Kinondoni B na kugawa mapipa ya taka kwa lengo la kuwezesha ukusanyaji mzuri wa taka na kudumisha mazingira safi. Katika tukio hilo la kutoa mapipa hayo ya taka, Meridianbet ilisema kuwa vifaa hivyo vina lengo la…
LICHA ya kuanza kufunga kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya Tanzania Prisons waliweza kugawana pointi mojamoja na Geita Gold. Bao la dakika ya 30 lililofungwa na jeremia Juma lilidumu ndani ya kipindi cha kwanza kwa kuwa alifunga dk ya 38 kwa kuwa kuwa kipindi cha pili vijana wa Geita…
OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ameweka wazi kwamba wapo kwenye nafasi mbaya katika ligi jambo ambalo haliwaridhishi kuwa hapo walipo kwa sasa. Kwenye msimamo Ruvu Shooting ipo nafasi ya 13 ikiwa na pointi 28 baada ya kucheza mechi 26 msimu huu huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imefunga mabao 24. Bwire amesema kuwa…
BAO pekee la ushindi kwa Real Sociedad dhidi ya Manchester United lilipachikwa dakika ya 59 kwa mkwaju wa penalti na mtupiaji alikuwa ni Brains Mendez kwenye mchezo wa Europa, Uwanja wa Old Trafford. Kwenye mchezo huo ni mashuti 15 yalipigwa kuelekea lango la Real Sociedad huku matatu pekee yakilenga lango. Real Sociedad wao walipiga jumla…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa msimu ujao kikosi hicho kitakuwa ni balaa kutokana na maboresho ambayo yatafanyika kwenye kila idara. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30 huku mfungaji bora akiwa ni Aziz KI mwenye mabao 21 akifuatiwa na Feisal Salum mwenye mabao 19…
DICKOSN Ambundo,beki wa Yanga ni miongoni mwa nyota ambao wataukosa mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya Kagera Sugar. Job ambaye ni beki wa kati anaukosa mchezo wa leo kutokana na kuwa kwenye mwendelezo wa kutumikia adhabu ya kifungo cha mechi tatu ambacho alipata kutokana na kucheza mchezo usio wa kiungwana mbele ya Richardson Ng’odya…
Mpenzi mteja wa meridianbet hivi unajua kuwa leo hii ndio siku yako ya kupiga mapene ukibashiri na meridianbet kwani kila kitu kipo tayari kazi inabaki kwako tuu. Machaguo zaidi ya 1000, Turbo Cash. Beti sasa. Nyasi zitawaka hapa katika mechi ya Bayer Leverkusen ambao watakuwa ugenini dhidi ya Qarabag FK ambaye kushinda mechi hii amepewa…