MKALI WA NYAVU AZAM FC HUYU HAPA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC mkali wao wa kucheka na nyavu ni Feisal Salum akiwa kafunga jumla ya mabao 12 kati 45 yaliyofungwa na timu hiyo iliyo nafasi ya tatu na pointi 44 baada ya kucheza mechi 20. Yusuph Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa maandalizi yamekamilika kuelekea mchezo wao dhidi ya…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA AANZA KAZI RASMI LEO

LEO Novemba 16, Kocha Mpya wa Viungo wa Klabu ya Simba, Don Daniel De Castro ameanza kazi ya kuwanoa wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Kocha huyo wa viungo amechukua mikoba ya Adel Zraine raia wa Tunisia ambaye alisitishiwa mkataba wake Desemba 26. Jana, Novemba 15 alitambulishwa rasmi kwa mashabiki na…

Read More

MWAMBA AYOUB KWENYE RADA ZA YANGA

MKALI kutoka kwa matajiri wa Dar, Ayoub Lyanga anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa mitaa ya Jangwani, Yanga kwa ajili ya kupata changamoto mpya. Ipo wazi kuwa nyota huyo ambaye ameibukandani ya Azam FC akitokea Coastal Union alikuwa anapigiwa hesabu na mabosi hao kitambo. Ni Yanga na Simba walikuwa wanahitaji saini yake lakini Azam…

Read More

HUYU HAPA CEO MPYA SIMBA

RASMI uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 mara mkataba wa Imani Kajula ambaye yupo kwenye nafasi hiyo kwa sasa kugota mwisho. Taarifa iliyotolewa na Simba mapema Julai 26 kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohamed Dewji, (Mo) imeeleza…

Read More

YANGA YAJA NA HESABU NYINGINE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa mchezo wa mpira unahitaji mabao jambo ambalo wamelifanyia kazi. Kesho Agosti 20, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya ASAS Djibouti katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo hata ule wa pili utachezwa pia Jumapili…

Read More

MAYELE ACHEKELEA KUTUPIA CAF

MSHAMBULIAJI namba moja wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anafuraha ya kuwa miongoni mwa nyota walioweka historia kwa kufunga mabao mengi Ligi ya Mabingwa Afrika. Mayele katupia mabao sita msimu huu alifunga hat trick mbili ilikuwa mbele ya Zalan FC kwenye mechi mbili za hatua ya awali. Nyota huyo amesema:”Ilikuwa ni mechi ngumu kwetu mbele…

Read More

MR BLUE NI KABISA MKALI

UKIZUNGUMZIA Bongo Fleva kuna majina mengi yanapita yamefanya mapinduzi makubwa ikiwa ni pamoja na Sugu ambaye huyu ni muziki wa Hip Hop kiujumla alileta mageuzi makubwa ukiigusa ile ngoma ya Miaka 18 anasema ilikuwa ni stori ya kweli akaituma kwa jamii kupitia nyimbo. Legend Dully Sykes huyu alileta mtindo wa Mwanasesere kisha Bongo Fleva ikaanza…

Read More

Unataka Kuwa Milionea? Cheza Kasino Sasa

Winning Clover 5 Extreme ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari mitatu, mistari mitano ya ushindi. Ili kupata ushindi wowote, ni lazima upate alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Jisajili na Meridianbet ushinde Mamilioni.   Unapocheza kasino ya mtandaoni hii ukipata bahati ya kupata alama nyekundu ya…

Read More

AZAM FC WAIFUATA COASTAL UNION ARUSHA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa wachezaji wao wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union. Leo Mei 26 kikosi hicho kimeanza safari kuelekea Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mchezo wa mwisho uliopita Azam FC…

Read More

KIUNGO WA KAZI SIMBA AINGIA KWENYE VITA

SADIO Kanoute raia wa Mali, kiungo wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba ameingia kwenye vita nyingine na mastaa wengine wawili wa kikosi cha timu hiyo kuwania tuzo. Ni tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki ndani ya Simba inayopatikana kutokana na mashabiki wa timu hiyo ambayo imeweka kambi nchini Sudan kupiga kura. Kanoute…

Read More

AIR MANULA:TUMEJISKIA VIBAYA KUTOLEWA KIMATAIFA

KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula ambaye alikaa langoni kwenye mechi zote za kimataifa msimu huu wa 2021/22 ambazo Simba imecheza amesema kuwa wamejiskia vibaya kutolewa hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho. Mbele ya Orlando Pirates dk 90 za Uwanja wa Mkapa, Manula aliweza kushuhudia timu yake ikishinda bao 1-0 na walipowafuata…

Read More