GAMONDI AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NAMUNGO

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Machi 8 2024. Yanga itamkosa Pacome, Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja kwenye mchezo wa leo  kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa kikosi hicho kilichopo Lindi. Baaada ya…

Read More

SIMBA YATINGA FAINALI, NGOMA NI BALAA

MWAMBA Fabrice Ngoma na Zanzibar ni damudamu kutokana na kuwa katika kiwango bora kama ambavyo ilikuwa kwenye Mapinduzi 2024 alipoibuka mchezaji bora katika Michuano hiyo. Hivyo nyota huyo kwenye uwanja eneo la kiungo amekuwa na balaa zito wakiwa visiwani jambo linalofanya akombe tuzo hizo mara kwa mara. Kwa mara nyingine tena Simba wamerejea Zanzibar, Uwanja…

Read More

TANZANITE WAREJEA DAR SALAMA WAKITOKEA ETHIOPIA

TIMU ya taifa ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens leo Februari 5 imerejea salama Tanzania ikitokea nchini Ethiopia ambapo ilikuwa na kazi ya kuipeperusha bendera  kwenye mashindano ya kimataifa. Jana ilikuwa kwenye mchezo wa pili dhidi ya Ethiopia baada ya ule wa awali uliochezwa Uwanja wa Amaan ubao kusoma Tanzanite 1-0 Ethiopia na…

Read More

LEO KITAWAKA AFRIKA MPAKA KULE ULAYA, PIGA PESA HAPA, TANZANIA USO KWA USO DHIDI YA ZAMBIA

Meridianbet wanakuuliza kuwa kama sio kupiga pesa leo utapiga lini?. Leo hii kuna mechi nyingi hapa Afrika mpaka kule Ulaya. Unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye akaunti yako utengeneze jamvi lako na ubashiri kijanja hapa. Rwanda atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Lesotho huku timu hizi zikiwa zimefatana kwenye msimamo. Mwenyeji anashika nafasi ya 2…

Read More

KOCHA YANGA KWENYE HESABU NDEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba ndani ya Februari kocha huyo ametwaa tuzo ya kocha bora baada ya kuwashinda wawili aliongia nao kwenye fainali ya kumtafuta kocha bora. Katika mechi…

Read More

BIASHARA UNITED MARA WAMEFIKA MKOANI TABORA WADAI KUPOKELEWA KWA KIPIGO

Biashara United Mara wamefika mkoani Tabora na kupokelewa kwa kipigo asubuhi hii wakati wanaenda kwenye pre match Meeting. Technical director Omary Madenge imeshambuliwa sana hali yake ni mbaya lakini pia amenyang’anywa baadhi vitu alivyokuwa navyo. Lakini pia viongozi wawili wa Biashara United Mara hawajulikani walipo, wamechukuliwa na kupelekwa kusikojulikana. Kwasasa gari iliyovamiwa na kushambuliwa ipo…

Read More

YANGA YATEMBEZA MKWARA HUU KIMATAIFA

KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh Waarabu wa Sudan, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi katika mchezo huo. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inatarajiwa kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh unaotarajiwa kuchezwa Septemba 16….

Read More

KIUNGO WA YANGA AIBUKIA GEITA GOLD

 RASMI Geita Gold FC imemtambulisha nyota wao mpya Said Ntibanzokiza kuwa ni mali yao kwa msimu wa 2022/23. Anaibuka ndani ya Geita Gold akiwa ni mchezaji huru baada ya dili lake na Yanga kugota ukingoni mwishoni mwa msimu wa 2021/22.  Taarifa rasmi iliyotolewa na Geita Gold imeeleza kuwa ni dili la mwaka mmoja amesaini nyota…

Read More

UWANJA WA MKAPA YANGA V KAGERA SUGAR VITA YA KISASI

LEO Uwanja wa Mkapa itakuwa ni vita ya kisasi kwa Kagera Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu Francis Baraza v Yanga inayonilewa na Nasreddine Nabi katika mchezo wa mzunguko wa pili. Yanga ni vinara katika mchezo wa kwanza walishinda bao 1-0 Uwanja wa Kaitaba na mtupiaji alikuwa ni Feisal Salum ambaye leo ataukosa mchezo kutokana na…

Read More

KUSHINDWA LEO MWANZO WA KUPAMBANA KESHO

MAISHA ya mpira yanahitaji umakini mkubwa kwa kila mmoja kupambana kutimiza malengo ambayo yapo kwenye timu husika na inawezekana licha ya kwamba msimu unakaribia kufika ukingoni. Tumeona kwamba kila timu imefanya kazi yake kwa kupambana kufikia malengo na wapo ambao walikwama na wengine wanasubiri mpaka mechi mbili za mwisho kukamilisha hesabu huku Yanga wakiwa wametwaa…

Read More

MAJINA 14 YAPITISHWA NDANI YA SIMBA

KUELEKEA kwenye uchaguzi mkuu wa Simba unaotarajiwa kufanyika Januari 29,2023 kamati ya uchaguzi jana Desemba 25,2022 imetoa orodha ya wagombea 14 waliopitishwa kuwania nafasi mbalimbali. Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti Boniface Lihamwike imebainisha kuwa majina ya waliopitishwa ni wale ambao wamekidhi vigezo huku idadi ya wanaowania nafasi ya mwenyekiti ikiwa na wagombea wawili, 12 kwa…

Read More

KAZE AFICHUA WALIVYOIBANA AZAM FC KWA MKAPA

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa walikuwa wanatambua ubora wa Azam ulipo jambo lililowafanya kuwakabili kwa mpango tofauti. Ubao wa Uwanja wa Mkapa Desemba 25,2022 baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 2-3 Yanga ambapo katika mabao ya Yanga ni pasi moja ilitoka kwa kiungo mchetuaji Bernard Morrison. Morrison alitoa pasi kwa mshikaji…

Read More