Atalanta, Real Madrid, Chelsea na Liverpool Viwanjani Leo – Champions League Yazidi Kunoga

Leo usiku, viwanja vya soka barani Ulaya vitageuka majukwaa ya ufundi, kasi, na ushindi wa kihistoria. Raundi ya pili ya UEFA Champions League inatua kwa kishindo, na Meridianbet inawasha moto wa bashiri, ni wakati wa kuchagua, kubashiri, na kushinda. Baada ya kuchakazwa na PSG, Atalanta wanarudi nyumbani wakitafuta ukombozi. Lakini mbele yao ni Club Brugge…

Read More

SIMBA HAWAJAKATA TAMAA KIMATAIFA, KAZI INAENDELEA

SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba SC na beki wa kikosi hicho ameweka wazi kuwa wanatambua wamepoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane lakini watapambana kupata matokeo mchezo wa pili. Ikumbukwe kwamba Mei 17 2025 kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya kwanza uliochezwa nchini Morocco…

Read More

MAYELE: KAZI MOJA NIMEMALIZA, BADO NYINGINE

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele, amesema kuwa baada ya kumaliza zoezi lake la kwanza la kuipa ubingwa timu hiyo, kwa sasa anatafuta zoezi lake la pili la kuhakikisha kuwa anakuwa mfungaji bora mbele ya George Mpole wa Geita Gold ambaye wanafukuzana naye. Mayele na Mpole wote kwa sasa wamelingana katika kugombea tuzo ya ufungaji…

Read More

BREAKING:MRITHI WA MIKOBA YA HAJI MANARA HUYU HAPA

RASMI leo Januari 3,2022 uongozi wa Simba umemtangaza Ahmed Ally kuwa Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ally anakuja kuchukua mikoba ya Haji Manara ambaye alibwaga manyanga mwaka 2021 na sasa ni Ofisa Habari ndani ya kikosi cha Yanga. Aliposepa Manara nafasi hiyo alikaimu Ezekiel Kamwaga ambaye kwa sasa yupo…

Read More

AZIZ KI UJANJA WAKE UPO HAPA BONGO

AZIZ Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga ujanja wake ndani ya uwanja ni mguu wa kushoto ambao ametumia kufunga mabao mengi zaidi. Ipo wazi kuwa msimu wa 2023/24 nyota huyo ni namba moja kwa utupiaji akiwa katupia mabao 21 baada ya msimu kugota mwisho akiwa ni mfungaji bora. Ujanja wake akiwa uwanjani ni kwenye mguu wa…

Read More

ALIYEMTUNGUA DIARRA AFICHUA JAMBO, MBUZI AICHAMBUA

NYOTA wa Stand United, Msenda Senda aliyepachika bao pekee kwa timu hiyo dakika ya 50 ameweka wazi kuwa walikuwa kwenye mchezo mgumu Aprili 15 2025 dhidi ya Yanga na walipambana kutafuta matokeo jambo ambalo halikuwa upande wake na mwisho wakapoteza. Mbali na mchezaji huyo, Issa Mbuzi ameweka wazi kuwa ni madaraja tofauti yamekutana.

Read More

YANGA KUWAKABILI VITAL’O UWANJA WA MKAPA KWA TAHADHARI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utawakabili wapinzani wao Vital’O Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa tahadhari kubwa kwa kuwa bado hawajatimiza malengo licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Agosti 17 2024 baada ya dakika 90 ubao…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

MAPINDUZI CUP FAINALI LEO NI LEO

JANUARI 13 leo ni leo ambapo Michuano ya Mapinduzi Cup inafikia tamati kwa mechi ya fainali kupigwa Mabingwa watetezi ambao ni Mlandege kucheza na Simba SC ambao wametinga hatua ya fainali 2024. Ni bao la Fabrince Ngoma lilileta nongwa dakika za lala salama na kupelekea mikwaju ya penalti. Singida Fountain Gate 2-3 Simba kwenye penalti…

Read More