VIDEO:JEMBE:KIPA WA NAMUNGO KAWAFUNGISHA,MAKIPA WAGENI SIO WA AFYA
SALEH Jemba amvaa kipa Namungo,amewafungisha, aichambua Yanga
SALEH Jemba amvaa kipa Namungo,amewafungisha, aichambua Yanga
JEMBE aichambua Rivers United v Yanga kimataifa
MABOSI wa Simba wameshtukia jambo zito baada tu ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuamua kumkabidhi timu kocha msaidizi ya timu hiyo, Juma Mgunda kuelekea katika mchezo dhidi ya Yanga inayoonolewa Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Simba imefanya mabadiliko hayo ya ndani baada ya…
CRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kesho watakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu dhidi ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi ambao ni wa mzunguko wa pili
Hauko peke yako – Meridianbet ina ujumbe mzito kwa wanawake wahanga wa matukio ya ukatili wa kijinsia. Popote ulipo, mtaani, maeneo ya kazi, maeneo binafsi… Wanawake wanne kati ya watano hupitia ukatili mitaani. Mmoja kati ya wanawake watatu huathiriwa na ukatili wa kijinsia na kimwili. Mmoja kati ya wanawake watano amepitia unyanyasaji mtandaoni, lakini pia…
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
ANAANDIKA Saleh Jembe Ukimsikiliza kocha huyu wa Orlando Pirates, unaweza kusikitika sana na leo unaona ndiye amekuwa gumzo kwa kuwa sisi Watanzania ni wepesi kuamini ya kuambiwa kuliko tunayoona. Kawaida ya watu wa Afrika Kusini ni kulalamika kila jambo hata kama hawana uthibitisho. mfano, kocha huyu analalamikia VAR haikufanya kazi, tena anawalalamikia Simba na sisi…
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…
MASTAA watatu wa Simba kesho wanatarajia kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo licha ya hao wachezaji kukosekana
TIMU ya taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 leo Oktoba 12,2022 imepoteza mchezo wa kwanza kwenye Kombe la Dunia dhidi ya Japan. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Pandit Jawaharlal Nehru umesoma Japan 4-0 Tanzania. Shiragaki alifunga bao la ufunguzi kipindi cha kwanza na kufanya dakika 45 kukamilika Japan…
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Dickson Job amesema kuwa ameandika rekodi yake nyingine mpya msimu wa 2024/25 kwa kutoa pasi ya kwanza katika Ligi Kuu Bara kwa kusema hivyo ni kama anajipakulia minyama hivi kwa kuwa rekod zinaonyesha aliyefanya hivyo ni Pacome. Ipo wazi kuwa Agosti 29 2024 mabingwa mara 30 Yanga…
Wabobezi wa mambo wanasema unaweza kuifanya ndoto yako kuwa kweli. Kama umeota ndoto nyingi ambazo haijawa kweli, bila shaka unafaa kuanza kupanga vyema mipango yako ya ndoto, na kubadilisha vipaumbele – ndoto za ushindi ni mipango. Twende na hii; Umewahi kuota ndoto ukifurahia kuona wanyama mbugani? Au ukipiga mbizi kwenye fukwe bora duniani, au…
LICHA ya kwamba ameshabwanga manyanga ndani ya kikosi cha Simba, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuna mechi nyingi ambazo alizishuhudia kwake zilikuwa ni za moto na pasua kichwa kwa namna wachezaji wake walivyopambana na mwisho kupata matokeo ama kuangukia pua. Hizi ni Mechi 5 ambazo ni dakika 450 zilizokuwa ni za moto kwa Gomes alipokuwa…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
WATOTO wa Kinondoni, KMC wameanza mazoezi kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2022/23. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kituo chake kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 11 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 17ambapo KMC itakuwa nyumbani. Miongoni mwa nyota wa KMC…
MANCHESTER City imetinga hatua ya Fainali ya UEFA Champions League 2022/23 itamenyana na Inter Milan hatua ya fainali. Real Madrid ambao walikuwa ni mabingwa watetezi wamevuliwa taji hilo rasmi ugenini. Chini ya Pep Guardiola katika mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili uliochezwa Uwanja wa Etihad iliibuka na ushindi wa mabao 4-0. Ni Bernardo…
KOCHA Yanga Princess awavaa viongozi Yanga ataja yeye ni kocha mkubwa, zungumzia kocha Simba kuifundisha Yanga