SIMBA YATUMIA MBINU YA KIPEKEE KUIMALIZA RS BERKANE

KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili dhidi ya RS Berkane, uongozi wa Simba umeamua kutumia njia ya kipekee kupitia uhusiano wao na maofisa wa Raja Casablanca ya Morocco kuhakikisha wanapata mbinu za kuwamaliza Berkane. Simba inanufaika kutokana na kuwa na makubaliano ya ushirika na Klabu ya Raja Casablanca yaliyotokana na…

Read More

SIMBA YASHINDA 3-0 GEITA GOLD

ZORAN Maki,Kocha Mkuu wa Simba amesema ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Geita Gold walistahili kwa kuwa wachezaji walicheza kwa kujituma. Mabao ya Simba kwenye mchezo wa leo Agosti 17 yamefungwa na Agustino Okra,Moses Phiri na Clatous Chama ambaye amefunga kwa mkwaju wa penalti. Ushindi huo unaifanya iweze kufikisha pointi tatu na kuongoza ligi ikiwa…

Read More

SIMBA YAPITA NA SAWADOGO MAZIMA

ISMAILI Sawadogo hatakuwa miongoni mwa nyota watakaokuwa katika kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili kuachana. Nyota huyo ni shuhuda watani zao wa jadi Yanga wakitwaa ubingwa huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Kiungo huyo hakuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kutokana na kutokuwa fiti…

Read More

HUKUMU YA MORRISON NA CAS KUTOLEWA

TAREHE ambayo hukumu ya kesi kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Bernard Morrison ilikuwa imepangwa, imesogezwa tena mbele hivyo inatarajiwa kutolewa Novemba 23, mwaka huu. Wakili wa Yanga, Alex Mgongolwa ametoa ufafanuzi kuwa hukumu hiyo itatolewa siku yoyote kuanzia sasa mpaka Novemba 23, kwa mujibu wa taarifa waliyopewa na CAS.   Mahakama hiyo ya…

Read More

FAINALI AFCON YA WABABE, DR CONGO MWENDO WAMEUMALIZA

MWENDO wameumaliza DR Congo kwa kupoteza dhidi ya Ivory Coast ambao ni wenyeji wa AFCON 2023 kwa ushindi wa bao 1-0. Bao pekee la ushindi kwa Ivory Coast lilipachikwa kimiani na Sebastien Haller dakika ya 65 likadumu mpaka mwisho wa mchezo huo. Katika nusu fainali ya kwanza Nigeria walitangulia kutinga hatua ya fainali Kwa ushindi…

Read More

TAIFA STARS KUSUKWA UPYA KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,Honour Janza, amesema kuwa mechi za kirafiki za kimataifa zilzio kwenye Kalenda ya FIFA zitampa mwanga wa kusuka kikosi imara kwa ajili ya ushindani.  Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya na zitachezwa nchini Libya na tayari kikosi hicho kimeshatua nchini…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA NAMNA HII

WACHEZAJI wa Simba kesho Mei 24 wanatarajiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Juma Mgunda wana kazi ya kuongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili. Kutinga fainali kwa Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika kumefanya mabadiliko hayo ndani ya ligi. Ikumbukwe…

Read More

SAIDO AJISIKITIKIA MWENYEWE YANGA

SAID Ntibanzokiza, ‘Saido’mambo yake yalikuwa magumu mbele ya Biashara United kwa kushindwa kumtungua kipa namba moja wa Biashara United, James Ssetuba jambo lililofanya kila muda awe anajisikitia anapokosa nafasi. Juzi wakati Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United na mabao ya Yanga yalifungwa na…

Read More

GAMONDI AZIPIGIA HESABU KALI POINTI ZA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina, amefichua kwamba, ana kazi kubwa mbele ya kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika michezo yake mitatu ijayo ikiwemo dhidi ya Simba kabla ya kugeukia michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa lengo la kupunguza presha ya kupambania ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Gamondi ametoa kauli ikiwa Yanga…

Read More