RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

BAADA ya Oktoba 2 2024 nyuki wa Tabora, Tabora United kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya wakulima wa zabibu Dodoma Jiji kuna dakika 90 nyingine za kazi leo Oktoba 3 2024. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ulisoma Dodoma Jiji 2-0 Tabora United na mabao yalifungwa na Paul…

Read More

BANGALA, DJUMA KUPEWA MIKATABA MIPYA YANGA

MENEJA wa wachezaji wa Yanga, Djuma Shabani na Yanick Bangala, anayefahamika kwa jina la Faustino Mukandila, tayari ameshatua jijini Dar kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa timu hiyo ili kuongezewa mikataba kwa nyota wake hao wawili. Djuma Shabani na Bangala wote wamekuwa tegemeo ndani ya Yanga msimu huu ambapo wamefanikiwa kuwa sehemu ya…

Read More

TVBET Kupitia Meridianbet Kutoa Burudani Inayobadilisha Maana ya Kasino

Kwa muda mrefu, michezo ya kasino imejengwa juu ya kusubiri muda, kusubiri droo, kusubiri matokeo. TVBET ndani ya Meridianbet inavunja mfumo huo na kuanzisha aina mpya ya burudani inayotembea kwa kasi ya mchezaji. Hapa, mchezo unaufikia unapohitaji, ukiwa tayari kujaribu bahati yako papo hapo. TVBET imejikita katika uwazi kwa kuendesha michezo mubashara mbele ya kamera….

Read More

NGOMA SITA BORA KAZIKAZI, RATIBA YAO HII HAPA

KILE ambacho wanazidi kukionyesha Arsenal kwenye Premier League pengine wengi hawakutarajia kwamba hadi sasa wangekuwa wanakalia kileleni mwa msimamo tena dhidi ya klabu ambazo zinaonekana zilizoeleka kwenye nafasi hiyo Manchester City na Liverpool. Arsenal kwa sasa ndio wako kileleni kwa tofuti ya alama tano dhidi ya wanaowafuatia ambao ni Man City na 11 dhidi ya…

Read More

SIMBA QUEENS YAIPIGA YANGA 4G

SIMBA Queens imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi ya Wanawake. Mchezo huo umechezwa leo Januari 8, Uwanja wa Mkapa na Simba Queens imesepa na pointi zote tatu. Mchezo ujao utakuwa ni wa mzunguko wa pili na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mo Simba Arena.

Read More

AZAM FC WALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA

CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…

Read More

KILA LA KHERI TANZANITE, MSITUANGUSHE

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens kimewasili salama Adis Ababa nchini Ethiopia. Na lengo kubwa la kiweza kufika huko ni kwa ajili ya mchezo wa kuwania kusaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Utakuwa ni mchezo wa marudio dhidi ya timu ya Wanawake ya Ethiopia kesho…

Read More

Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex

Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex saa 1:00 jioni ukiwa ni mchezo wa NBC Premier League. Tayari viingilio vimetajwa ambapo mzunguko ni 10,000 na VIP 20,000 kushuhudia burudani ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye msimamo Simba SC ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 46 inakutana…

Read More

MAKI:TUTAJITAHIDI KUSHINDA,MO AFANYA KIKAO

ZORAN Maki,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa watajitahidi kushinda kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Leo Agosti 13, Simba inatarajia kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Maki amesema kuwa anawaheshimu wapinzani wao Yanga lakini watafanya kila namna kwenye kusaka ushindi watakapokutana. “Tunakutana na timu…

Read More

YANGA WAMEPANIA, GSM WAMUITA MAYELE

YANGA kweli safari hii imepania kuhakikisha kuwa inawalinda mastaa wake hiyo ni baada ya uongozi wa klabu hiyo chini ya wadhamini wao, GSM kumuita fasta mshambuliaji hatari wa timu hiyo, Fiston Mayele kwa ajili ya mazungumzo. Fiston Mayele ndani ya Yanga kwa sasa ndiye kinara wa upachikaji mabao akiwa na jumla ya mabao 6 huku…

Read More

MASTAA HAWA SIMBA WAPENYA KUWANIA TUZO

KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim ameingia kwenye mchakato wa kuwania tuzo ya mchezàji Bora wa mashabiki Kwa mwezi Aprili. Hiyo ni tuzo maalumu inayotolewa ndani ya Simba kwa udhamini wa Emirate Aluminium Profile. Ni mechi nne kakaa langoni Salim ambapo upepo unaoyesha kuwa anaweza kusepa nayo. Ni Jean Baleke na Kibu Dennis hawa…

Read More