Prestianni Asimamishwa kwa muda na UEFA baada ya tuhuma za ubaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
Kiungo mshambuliaji wa Sport Lisboa e Benfica, Gianluca Prestianni (20), amepewa adhabu ya kusimamishwa kwa muda mechi moja na UEFA kufuatia tuhuma za kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior wa Real Madrid CF. Tukio hilo lilitokea katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa play-off ya UEFA Champions League uliochezwa Lisbon wiki iliyopita. Vinícius…