STARS WAPENI TABASAMU WATANZANIA

 HAIKUWA bahati kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kupata ushindi kwenye mechi za kuwania kufuzu CHAN baada ya kupoteza kwenye mchezo dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa nyumbani na ugenini. Kwa sasa wachezaji 23 wameitwa kikosi cha timu ya Taifa kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Libya…

Read More

MTAMBO WA KUVUNJA REKODI BONGO AZIZ KI

MWAMBA Aziz Ki ni mtambo wa kuvunja rekodi ndani ya kikosi cha Yanga kutokana na kasi yake kuwa kwenye mwendelezo bora wakati wote kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba aliibuka Yanga akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa akitajwa pia kuwaniwa na Simba inayonolewa na Juma Mgunda. Ki aliyetambulishwa…

Read More

MUDA ASEPA NA TUZO YAKE FEBRUARI

KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…

Read More

KIPA SIMBA SAFARI YAKE SINGIDA FOUNTAIN GATE

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida Big Stars ambayo kwa sasa inaitwa Singida Fountain Gate. Ni Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida hii inapewa nafasi kubwa kumnasa. Kipa huyo alikuwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kilichopata ushindi…

Read More

SAKHO ACHEKELEA KUTINGA FAINALI

PAPE Sakho, kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba amesema kuwa kwake ni furaha kuona timu hiyo inatinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi. Jana Januari 10, Sakho alikuwa ni miongoni mwa nyota walioanza kikosi cha kwanza mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili. Simba ilishinda mabao 2-0…

Read More

SIMBA KUIKABILI BIG BULLETS

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema wananafasi kubwa ya kushinda kwenye mchezo dhidi ya Big Bullets ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa nchini Malawi. Mchezo wa leo unakuwa ni wa kwanza kwa Mgunda kukaa benchi baada ya kuibuka ndani ya Simba akitokea Klau ya Coastal Union. “Tunajua kwamba mchezo wetu utakuwa…

Read More

KIKOSI CHA ‘STARS’ KINACHOANZA DHIDI YA GUINEA

Kikosi cha ‘Stars’ kinachoanza dhidi ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi H wa kuwania kufuzu kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 katika dimba la Benjamin Mkapa. Kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ amefanya badiliko moja kutoka kikosi kilichowanyoa Ethiopia huku kiungo Adolf Mtasingwa Bitegeko akichukua nafasi ya Novatus Dismans Miroshi ambaye anakosekana kwenye mchezo huo…

Read More