KOCHA YANGA KWENYE HESABU NDEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba ndani ya Februari kocha huyo ametwaa tuzo ya kocha bora baada ya kuwashinda wawili aliongia nao kwenye fainali ya kumtafuta kocha bora. Katika mechi…

Read More

YANGA V AZAM FC FAINALI

YANGA imetinga hatua ya fainali ya CRDB Federation Cup kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Ni dakika ya 104 bao la ushindi kwa Yanga limefungwa na Aziz KI katika mchezo wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ni fainali ya nne kwa Yanga katika CRDB Federation Cup wanakwenda…

Read More

YANGA KESHO KUIVAA COASTAL UNION

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa kesho wa hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union utakuwa mgumu lakini wapo tayari. Yanga inakwenda kumenyana na Coastal Union ikiwa imetwaa taji la Ligi Kuu Bara na pointi zake 74. Imeweza kutwaa taji hilo ikiwa haijapoteza na kesho inakwenda kupambana kusaka taji lingine la…

Read More

CHEZA MICHEZO YA KASINO MTANDAONI NA MERIDIANBET UJIPIGIE MKWANJA WA KUTOSHA

Kampuni ya Meridianbet inaumiza kichwa kila wakati kuhakikisha wateja wake wanapiga mkwanja na sasa wamekuja na promosheni ambayo itawawezesha wateja wake kupiga mkwanja wa kutosha na kampuni hiyo huku sharti likiwa kucheza michezo ya kasino mtandaoni na kampuni hiyo. Promosheni hii itahusisha mashindano na washindi ndio wataweza kujipigia mkwanja wa kutosha kupitia michezo ya Kasino…

Read More

KIUNGO WA KAZI YANGA KUIWAHI MBEYA CITY

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Aziz KI anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakaoivaa Mbeya City kwenye mchezo ujao wa ligi. Aziz KI alikosekana kwenye mechi tatu baada ya kufungiwa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) kwa kosa la kukwepa kusalimiana na wachezaji wa timu…

Read More

WENGINE KUUZWA SIMBA BAADA YA SAKHO

BAADA ya kumuuza Pape Sakho Simba wamesema kuwa mchezaji yoyote yule watamuuza ikiwa watapata ofa nzuri. Julai 24 timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki ilicheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Zira. Katika mchezo huo walitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24. Miongoni mwa wachezaji waliopo Uturuki ni…

Read More

MBEYA KWANZA SIYO YA KWANZA KWA SASA

MBEYA Kwanza yenye maskani yake Mbeya kwa sasa sio ya kwanza kwa timu ambazo zina maskani yake kwenye mkoa huo wenye madhari ya kijani. Kwa sasa kwenye msimamo inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 19. Safu ya ushambuliaji ya Mbeya Kwanza imetupia mabao 14 ikiwa imeshinda mechi 2 pekee za ligi….

Read More

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni ushindi kwa mabingwa watetezi kwenye mchezo wa NBC Premier League Januari 27,2026. Kwenye mchezo wa leo Dodoma Jiji walianza kupata goli la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 42 kupitia kwa William Edger ambalo lilidumu kwa muda wa dakika 3. Magoli ya Klabu ya Yanga yamefungwa na Depu…

Read More

MABOSI SIMBA WAMUWEKEA MTEGO PABLO

WAKATI kesho Pablo Franco akiwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Red Arrows katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho, mabosi wa Simba wamempa mtego kocha wao kwa kumpa malengo makubwa ambayo anapaswa kuyafikia. Pablo amerithi mikoba ya Didier Gomes ambaye aliomba kuondoka baada ya timu hiyo kuboronga katika Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More