TATIZO LA BOCCO LIMEPATA DAWA

IWAFIKIE mashabiki wa Simba kwamba tatizo la nahodha wa Simba kuwa kwenye kipindi kigumu cha kushindwa kufunga wala kutoa pasi ya bao kwenye ligi kwa msimu wa 2021/22 limepata dawa baada ya mshikaji wake Clatous Chama kurejea. Chama alikuwa na maelewano mazuri na Bocco kabla ya kusepa msimu wa 2021/22 ambapo kwenye pasi mbili ambazo…

Read More

KOCHA ARSENAL ANA MAUMIVU KWELI

MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa bado wana maumivu ndani yake kwa kuwa walifanya makosa mbele ya Newcastel United ndiyo maana licha ya ushindi mbele ya Everton haukuweza kuwasaidia. Arsenal imemaliza nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kama wangeweza kuchanga karata yao vema wangemaliza nafasi ya nne na kupata fursa…

Read More

SIMBA YAANDIKA REKODI HII TATU BORA

KLABU ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha imeandika rekodi yake ndani ya tatu bora kwa kuwa timu iliyoruhusu mabao mengi yakufungwa. Ipo wazi kuwa Simba inatarajiwa kutupa kete yake nyingine leo Aprili 13 dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti, Singida. Wachezaji wa Simba wanaonekana kutokuwa imara…

Read More

CHEZA MERIDIANBET BONANZA, VUNA MIZUNGUKO YA BURE

Kuna wakati unakaa kimya, ukitazama na kutafakari ndoto zako za siku moja kuingia kasino, kushinda kwa kishindo, kufurahia kila mzunguko. Lakini muda, umbali, au hali vinakuzuia. Sasa, Meridianbet imefuta vizingiti vyote. Imeleta kwako Meridianbet Bonanza, mchezo unaokukaribisha kwenye ulimwengu wa ushindi, bila kusubiri kesho. Meridianbet Bonanza si mchezo wa kawaida. Ni mchanganyiko wa teknolojia ya…

Read More

YANGA, WINGA BAMAKO MAMBO SAFI

KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye kikao cha siri. Jana baada ya mchezo huo, kigogo wa Yanga alimwambia mwandishi wa gazeti hili kuwa, Diakite ni mchezaji mzuri ambaye amekuwa akimfuatilia tangu zamani kwa lengo la kumsajili kikosini…

Read More

AIR MANULA KATIKA ANGA ZA KIMATAIA KAKIWASHA

HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…

Read More

SIMBA YAICHAPA MABAO 3-1 RUVU SHOOTING

KIKOSI cha Simba leo Novemba 19 kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa umegawanywa kwa vipindi viwili ofauti Simba ilikuwa bora kipindi cha kwanza na iliweza kufunga mabao yote matatu kupitia kwa Meddie Kagere dakika…

Read More

EX-WIFE wa Q CHIEF ASIMULIA ALIVYOTOA MIL 100 KUMSAIDIA ASITUMIE ‘UNGA’ – WALIVYOACHANA…

Mwanamama ambaye huko nyuma alikuwa akifanya kazi mbalimbali za kiburudani za kuwapeleka wasanii mbalimbali wa hapa nchini kufanya show nje ya nchi @ukhtydidas na aliyekuwa mke wa msanii wa Bongo Fleva, Q Chief amefunguka mambo mbalimbali aliyoyapitia kwenye maisha yake ikiwemo ishu ya kunyan’ganywa watoto wake na wazungu na kukaa nao mbali zaidi ya miaka…

Read More

COASTAL UNION INAJITAFUTA KIMATAIFA

UONGOZI wa Coastal Union umesema  utahakikisha kuwa unafanya vizuri kwenye ligi kuu msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Mpaka  sasa kwenye ligi Coastal Union ipo nafasi ya 10 ina pointi moja baada ya kucheza michezo miwili baada ya kupoteza  mchezo mmoja na kutoa sare mchezo mmoja. Timu hiyo iliwahi…

Read More

SIMBA YASONGA MBELE KIMATAIFA, PHIRI KAWA MCHARO

KATIKA mabao manne ambayo Simba imefunga kimataifa matatu yamefungwa na Moses Phiri ambaye kafunga mechi zote mbili hatua ya awali mfululizo. Mchezo wa awali uliochezwa nchini Malawi dhidi ya Big Bullets Phiri alitupia bao moja na lingine ni mali ya mzawa John Bocco. Leo Septemba 18,2022 wakati Simba ikishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Big…

Read More

TAIFA STARS KUSUKWA UPYA KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,Honour Janza, amesema kuwa mechi za kirafiki za kimataifa zilzio kwenye Kalenda ya FIFA zitampa mwanga wa kusuka kikosi imara kwa ajili ya ushindani.  Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya na zitachezwa nchini Libya na tayari kikosi hicho kimeshatua nchini…

Read More

CLATOUS CHAMA MAMBO BADO YANGA

WAKATI mwamba Maxi Nzengeli akiwa chini ya uangalizi maalumu ndani ya Yanga bado kiungo Clatous Chama atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate. Chama hakuwa kwenye mechi iliyopita dhidi ya Dodoma Jiji wakati ubao wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga mabao mawili ya Clement Mzize, Prince Dube alitupia bao…

Read More

YANGA MGUU MMOJA FAINALI KIMATAIFA

YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…

Read More