MAJOGORO AFUNGUKIA KICHAPO YANGA

BARAKA Majogoro kiungo wa KMC amesema kuwa sababu ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga ni kushindwa utumia nafasi ambazo walizipata pamoja na wapinzani wao kutumia zile ambazo walipata. Februari 22 KMC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mwamba huyo mwenye rasta kichwani alianza kikosi…

Read More

BEKI YANGA AMEPANIA JAMBO HILI

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Ibrahim Bacca ametangaza vita yake dhidi ya kinara wa utupiaji Bongo, Suleman Mwalimu wa Fountain Gate. Mwalimu katupia jumla ya mabao sita ndani ya ligi akiwa kinara kwenye eneo hilo anafuatiwa na Edger William mwenye mabao manne naye yupo ndani ya kikosi cha Fountain Gate. Bacca ndani…

Read More

MAJALIWA AHITIMISHA JIMBO CUP RUANGWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo maarufu Jimbo cup kati ya Stand fc na Kiwengwa FC uliofanyika katika uwanja wa mpira wa miguu wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi. Katika mchezo huo uliopigwa Novemba 25, 2024, timu ya kiwengwa Fc iliibuka bingwa baada ya…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA JKT TANZANIA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa ligi dhidi ya JKT Tanzania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex,. Hiki hapa kikosi cha Yanga kitakachoanza kipo namna hii:-Clement Mzize, Duke Abuya, Maxi, Sure Boy, Bakari Nondo ambaye ni nahodha, Job, Andambwile, Kibabage langoni yupo Diarra. Viungo Clatous Chama…

Read More

MAKOCHA 100 WAOMBA KAZI SIMBA

INATAJWA kwamba makocha zaidi ya 100 wametuma CV zao kwa ajili ya kuoma dili la kuifundisha Klabu ya Simba. Simba kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha, Seleman Matola ambaye anafanya kazi ya kusimamia mipango ya timu hiyo. Alikuwa ni Pablo Franco ambaye amefutwa kazi Mei 31 kutokana na kushindwa kutimiza malengo ya Simba. Habari…

Read More

MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA

MASTAA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Romain Folz Agosti 19 2025 walikuwa kwenye mazoezi maalumu katika fukwe za Coco Beach Dar kwa lengo la kusaka pumzi na kuwa imara zaidi. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika. Msimu wa 2024/25…

Read More

SALEH JEMBE AMSHUSHA VYEO CHAMA – ”HAKUNA FREE KICK KALI PALE – MPIRA ULIKUWA UNATOKA”…

Mchambuzi mkongwe wa soka nchini Saleh Jembe, amefunguka kupitia Global TV, ameonyeshwa kutopendezwa na maamuzi mabovu yaliyofanywa na mwamuzi Ramadhani Kayoko, katika mchezo kati ya Simba na Yanga jumamosi iliyopita, akikiri kuwa Kwa mwamuzi wa viwango vya FIFA kama Kayoko haipendezi kufanya Maamuzi kama aliyoyafanya. Jembe amezungumza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Global TV, ambapo…

Read More

AZAM FC WATAMBA KUENDELEA NA KASI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utaendelea na kasi yao kwenye mechi zijazo za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 kutokana na ubora walionao. Ipo wazi kwamba Azam FC ni timu ya kwanza kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi walipokutana mzunguko wa kwanza Uwanja wa Azam Complex Novemba 2…

Read More