MASTAA YANGA WAPEWA KAZI NA KOCHA WAO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Miloud kibindoni ana tuzo ya kocha bora ndani ya Februari baada ya kukiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi 5 ambazo ni dakika 450 ushindi ilikuwa kwenye mechi…

Read More

MTIBWA SUGAR HESABU KWA KAGERA SUGAR

IKIWA imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Polisi Tanzania tayari Mtibwa Sugar wameanza hesabu kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Vinara wa ligi ni Yanga wakiwa wameshatwaa ubingwa walipokutana na Mtibwa Sugar, ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Mei 15,2023 ubao wa Uwanja wa Ushirika Moshi ulisoma Polisi Tanzania 3-1…

Read More

HILI HAPA JEMBE JIPYA YANGA

MIAKA miwili kasaini mwamba Yao Kouas Attouhula akitokea Klabu ya ASEC Mimosa kuwa ndani ya Klabu ya Yanga. Ikumbukwe kwamba timu hiyo aliwahi kucheza Aziz Ki ambaye ni kiungo wa Yanga anayevaa jezi namba 10. Huyu anakuwa nyota watano kusajiliwa ndani ya Yanga baada ya Nickson Kibabage, Gift Fred,Jonas Mkude na Maxi Mpia Yeye ni…

Read More

SIMBA KUINASA SAINI YA NYOTA HUYU

INAELEZWA kuwa Edwin Balua ambaye ni winga yupo kwenye hesabu za kusjiliwa na mabosi wa Simba. Kwa sasa kikosi cha Simba kimeweka kambi Zanzibar ambapo kinashiriki Mapinduzi Cup 2024 na leo Ijumaa kinatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka ushindi dhidi ya APR. Nyota huyo anatajwa kufikia kwenye hatua nzuri ya kusaini dili la miaka miwili…

Read More

MERIDIANBET WAMKARIBISHA IMOON, MTOA HUDUMA MPYA MICHEZO YA KASINO MTANDAONI

Meridianbet wamewaletea wateja wao habari njema baada ya kumtambulisha rasmi mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, iMoon Gaming, ambaye anachagiza mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya kasino mtandaoni. iMoon ni jukwaa la michezo lililojengwa kwa teknolojia ya kisasa likiwa limejikita kwenye utoaji wa michezo mirahisi na ya haraka huku ikiwa na burudani ya kutosha. Kipaumbele…

Read More

SIO FEI TOTO ALIYEFUATWA BAHARI YA HINDI ISHU IPO HIVI

WAKATI jina la kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum likitajwa kuwa miongoni mwa wale ambao wamefuatwa kwenye sanduku la usajili la Simba SC katika kina cha Bahari ya Hindi inaelezwa kuwa jina hilo halipo. Taarifa zinaeleza kuwa jina la Fei limekutana na ugumu mzito kuwa ndani ya Simba SC hivyo jitihada zinaendelea kufanyika mpango…

Read More

KMC YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA GEITA GOLD

CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kwa sasa wanafanya maandalizi kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Aprili 23,Uwanja wa Nyankumbu.  Mwagala amesema kuwa mchezo wao uliopita walipata pointi hivyo hesabu zao ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Geita Gold. “Tulicheza usiku mbele ya Kagera Sugar na tulipata…

Read More

MBINU ZA KOCHA HUYU KUANZA KUTUMIKA SINGIDA

NI Ricardo Ferreira kutoka nchini Brazil mbinu zake zitaanza kutumika ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate kwenye kusaka ushindi. Mkataba wake ni wa mwaka mmoja kuwanoa mastaa wa Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Meddie Kagere, Beno Kakolanya, Bruno Gomes. Yupo na msaidizi wake ambaye ni Andrew Barbosa hawa…

Read More

AZAM FC KIMATAIFA KAZINI LEO

MATAJIRI wa Dar Azam FC Agosti 3 2024 wanatarajiwa kuwa kazini kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda. Mchezo huu ni maalumu baada ya Azam FC itakayopeperusha bendera ya Tanzania Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kupewa mualiko kwenye kilele cha siku ya Rayon Sports Day. Ni Agosti 2 kikosi cha…

Read More

YANGA: SIMBA WAKIJICHANGANYA KUKUTANA NACHO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa watani zao wa jadi Simba wakijichanganya watawatuliza kimya kwa kuwa hesabu zao ni kupata matokeo kwenye mechi zote na sio dhidi ya Simba pekee. Yanga watawakaribisha Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 20 2024 wao wakiwa ni wenyeji wa mchezo huo. Ipo wazi…

Read More