NYOTA WATATU NDO IMEISHA HIVYO AZAM FC

IMEFAHAMIKA kuwa Azam FC huenda ikaachana na wachezaji wake watatu Suire Boy, Aggrey Morris na Mudathiri Yahaya katika usajili wa dirisha dogo msimu huu.   Taarifa ya Azam iliyotolewa hivi karibuni ilisema kuwa wachezaji hao wameonesha utovu wa nidhamu kwa Meneja wa timu, Jackson Kakolaki, wachezaji wenzao, benchi la ufundi na viongozi kwenye vyumba vya…

Read More

KAPOMBE AWEKWA KANDO TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

 BEKI wa Simba, Shomari Kapombe ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinachojiandaa kucheza na Niger na nafasi yake imechukuliwa na Lusajo Mwaikenda wa Azam FC. Kapombe ameondolewa kwenye kikosi cha Stars kutokana na kusumbuliwa na majeraha aliyopata wakati akiwa ndani ya kikosi cha Simba. Nyota huyo aliumia kwenye mchezo wa…

Read More

MCHEZO MZIMA WA AZAM FC V YANGA ULIKUWA NAMNA HII

ZAWADI ya Chritmas imetolewa kwa mashabiki wa Yanga baada ya timu hiyo kutoka nyuma ilipoanza kufungwa na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa na mwisho ukasoma Azam FC 2-3 Yanga. Ni Abdul Seleman, ‘Sopu’ alianza kumtungua kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra dakika ya 27 akitumia pasi ya Prince…

Read More

NI SUPER WEEKEND KUNAKO SOKA BARANI ULAYA… BUNDESLIGA, SERIE A NA EPL KIMEUMANA

Baadhi ya mitanange ya kibabe kuchezwa kwenye ulimwengu wa kandanda wikiendi hii. Ni Super Weekend ya kibabe sana viwanjani. Mchongo upo Meridianbet, mambo yapo hivi;   Kwenye Bundesliga wikiendi hii, Borussia Dortmund kuchuana na Bayern Munich pale Signal Iduna Park. Uwanja ungependezeshwa kwa rangi za njano na nyekundu lakini, mlipuko wa Covid 19, unasababisha mchezo…

Read More

KIMATAIFA KAZI IFANYIKE KWELI NGOMA NI NZITO

IKIPIGWA sana ngoma mwisho inashindwa kuhimili mikikimikiki hiyo inagotea kwenye kupasuka jambo litakaloifanya iepukane na suala la kupigwa kwa mara nyingine. Uzuri ni kwamba kwenye suala la upigaji na yule anayepiga lazima atambue kwamba itafika muda na yeye atapigwa tu kwani kuimba ni kupokezana. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika tunaona kwamba wawakilishi wetu kimataifa wanatamba…

Read More

MWAMBA HUYU ATAMBULISHWA SIMBA

KIUNGO mkabaji Augustine Okejapha ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba kwa ajili ya kupata changamoto mpya kwa msimu ujao unaotarajiwa kuanza Agosti. Nyota huyo ni raia wa Nigeria anatarajiwa kuwa kwenye changamoto mpya kwa msimu wa 2024/25 ndani ya Simba. Julai 5 2024 Simba ilimtambulisha kocha mpya ambaye ni Fadlu Davis ambaye atafanya kazi na…

Read More

HAKUNA MBABE, UFUNGUZI WA AMAAN COMPLEX WAFANA

RASMI Uwanja wa Amaan Complex umefanyika baada ya maboresho makubwa yaliyofanywa katika kuboresha uwanja huo ambao kwa sasa unaingia kwenye hadhi nyingine. Kwenye uzinduzi huo ambao ulikuwa ni wa kihistoria wengi walihudhuria kushuhudia na wengine kutazama mubashara kupitia Azam TV. Burudani mbalimbali zilifanyika ikiwa ni pamoja na mchezo maalumu wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan…

Read More

BEKI MATATA AREJEA BARCELONA

DANI Alves beki matata mwenye mataji kibao ikiwa ni mafanikio yake makubwa kwa sasa amerejea tena ndani ya Barcelona baada ya kusepa hapo miaka mitano iliyopita ambapo aliibukia ndani ya Juventus na ikigota Januari anaanza kuvaa uzi wa Barcelona.   Ni makubaliano ya kikanuni ambayo Barcelona wamefikia kwa kuamua kumpa dili beki huyo wa makombe…

Read More

JEMBE HILI LA KAZI NYIA NYEUPE KUTUA SIMBA

IMEFAHAMIKA kuwa, uongozi wa Yanga umeachana na mipango ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Zanaco, Mzambia, Moses Phiri na kumuachia kwenda Simba. Awali Yanga ilikuwa katika mipango ya kumsajili kiungo huyo katika kukiimarisha kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao. Yanga imeanza kukiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongezea…

Read More

ISHU YA MORRISON KUIBUKIA AZAM IPO HIVI

IMEKUWA ikitajwa kuwa mabosi wa Azam FC wapo kwenye mpango wa kuinasa saini ya Bernard Morrison. BM aliyekuwa kiungo wa Yanga raia wa Ghana kwa sasa yupo huru jambo lililowafanya viongozi wa klabu hiyo kuibuka na kuweka wazi kuwa nyota huyo hayuko kwenye mipango yao. Morrison alitangazwa kutokuwa kwenye mipango ya Yanga kwa msimu ujao…

Read More

AZAM FC HESABU KWA POLISI TANZANIA

VIJANA wa Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongalakwa sasa wapo kwenye maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara zinazofuata ndani ya Desemba,2022. Chini ya Ongala kwenye mechi 7 ambazo amekiongoza kikosi hicho hajapoteza mchezo akiwa amekusanya clean sheet nne bila kuambulia sare. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Polisi Tanzania, Desemba 5, Uwanja wa…

Read More

NABI: KMC WAGUMU LAKINI LAZIMA TUSHINDE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameonyesha kuwa hataki kufanya mchezo katika suala la kushinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, hii ni baada ya kuwaambia mastaa wake kuhakikisha wanakuwa na mawazo ya pointi tatu tu, katika mchezo wao ujao dhidi ya KMC. Kuelekea mchezo huo dhidi ya KMC utakaochezwa Jumamosi ijayo, kikosi cha…

Read More

LIVERPOOL INAKARIBIA MAKOMBE 4 KWA MSIMU HUU

LIVERPOOL baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, sasa kuna uwezekano wa miamba hiyo ya Anfield kutwaa makombe manne makubwa ‘quadruple’ ndani ya msimu mmoja. Itakuwa ni historia na rekodi ambayo haijawahi kuwekwa England. Liverpool iliichapa Villarreal 3-2 ugenini juzi nchini Hispania, na kuwaondoa vijana hao wa kocha Unai Emery kwa jumla…

Read More