GEORGE MPOLE YUPO SANA GEITA GOLD

 GEORGE Mpole mtupiaji namba moja ndani ya ligi msimu wa 2021/22 baada ya kufunga mabao 17 huenda akasalia ndani ya Geita Gold. Awali alikuwa anatajwa kuibuka ndani ya timu zilizomaliza tatu bora kwa ajili ya kuwa hapo msimu wa 2022/23. Kocha wa Geita Gold,Felix Minziro aliwahi kusema kuwa kutokana na kiwango ambacho amekionyesha mchezaji huyo…

Read More

SIMBA YAKUNJA MKWANJA WA M-BET M 100

WAKATI wachezaji wa Simba wakitarajia kuanza mazoezi leo Aprili 18,2023 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Club Athletic ya Morocco, wadhamini wakuu wa timu hiyo, kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imekabidhi bonasi ya Sh milioni 100. Wachezaji wa Simba walikuwa kwenye…

Read More

JEMBE JIPYA SIMBA LAIBUKIA MWANZA

BAADA ya kujiunga na kikosi cha Simba na kutambulishwa rasmi leo Desemba 24,2022 kiungo Said Ntibanzokiza ameibukia Mwanza. Nyota huyo ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Geita Gold mwanzoni mwa msimu wa 2022/23 atakuwa na uzi wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo Mwanza ikiwa ni kwa ajili…

Read More

SIMBA KAZI IMEANZA, KAMBI ULAYA

MASTAA wa Simba tayari wameripoti kambini ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti. Msimu wa 2022/23 Simba imegotea nafasi ya pili kwenye ligi huku vinara wakiwa ni Yanga. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi wakiwaacha kwa tofauti ya pointi tano watanitano watani zao wa jadi. Ni pointi…

Read More

KMC WAICHAPA KAGERA SUGAR

HATIMAYE leo Machi 9,2023 KMC imepata ushindi mbele ya Kagera Sugar na kusepa na pointi tatu mazima. KMC haikuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi zake za hivi karibuni ambapo ilipotoka kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Yanga ikapoteza pia mbele ya Azam FC kwenye mechi za ligi ilizocheza Dar. Ni mabao ya Daruesh Saliboko dakika ya…

Read More

SIMBA WANA JAMBO LAO

BAADA ya kucheza mechi mbili Simba imekusanya pointi sita ikiwa inaongoza ligi. Simba inanolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira katika mchezo wa kwanza ilitunguliwa mabao mawili dhidi ya Mtibwa Sugar licha ya kushinda. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo huo ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Manungu ukisoma Mtiwa Sugar 2-4 Simba. Katika mchezo wa pili…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA

BAADA ya mabingwa Yanga kukabidhiwa ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 mbele ya Mbeya City kwenye sare ya kufungana bao 1-1, Uwanja wa Sokoine bado ligi inaendelea. Leo Juni 26, mechi mbili za mzunguko wa 29 zitachezwa ambapo kila timu inapambana kusaka pointi tatu muhimu. Namungo FC itakuwa ugenini Uwanja wa Manungu…

Read More

KIKOSI CHA TAIFA STARS KITAKACHOINGIA KAMBINI KUIKABLI LIBYA

LEO Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Honour Janza ametangaza kikosi cha Stars ambacho kinatarajiwa kuingia kambini Jumamosi. Ni kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki iliyo kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Libya. Wachezaji hao ni Aishi Manula, (Simba) Beno Kakolanya, (Simba),Said Kipao, (Kagera Sugar),Kibwana Shomari, (Yanga), Datius Peter, (Kagera Sugar),…

Read More

NYOTA BIASHARA UNITED KUSEPA MSIMU UKIISHA

 NYOTA wa Biashara United, Ramadhan Chombo ‘Redondo’ ameweka wazi kuwa msimu ujao atakuwa nje ya Biashara United ambayo anaitumikia kwa sasa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo amebakiza mechi mbili tu kuvua rasmi jezi ya timu hiyo baada ya kuivaa kwa misimu mitatu na msimu ujao hatakuwa katika kikosi hicho. Licha ya kushindwa kuweka wazi, atakuwa timu…

Read More

SIMON MSUVA KUCHEZA ULAYA

NYOTA Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko Asia wa msimu wa 2024/25. Msuva ni miongoni mwa wachezaji wenye uwezo mkubwa uwanjani huku siri kubwa ikiwa ni mazoezi amekuwa akipenda kuona timu ya taifa ya Tanzania inapata matokeo mazuri kwenye mechi zote ambazo inacheza. Katika mchezo uliopita wa…

Read More

AZAM FC YAIMALIZA KMC,YAKWEA PIPA

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambayo waliyapata jana Mei 7,2022 kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC leo Mei 8 kikosi cha Azam FC kimekwea pipa kuelekea Mbeya. Mabao mawili ya Rodgers Kola yalitosha kuipa pointi tatu Azam FC kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kwa KMC ni bao la nyota…

Read More

KIPA MPYA SIMBA HUYU HAPA

RASMI Klabu ya Simba imetangaza nyota Jefferson Luis raia wa Brazil kuwa kipa mpya ndani ya timu hiyo. Kipa huyo ni nyota wa 10 kusajiliwa ndani ya Simba ambayo imeweka kambi Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24. Alikuwa anacheza Klabu ya Resende FC ya Serie D ya Brazil na msimu uliopita alicheza…

Read More