SIMBA V AL AHLY, HISTORIA NYINGINE INAKWENDA KUANDIKWA

HISTORIA inakwenda kuandikwa kwa Simba kuwa wafunguzi wa African Football League ambapo leo Oktoba 20, 2023 mchezo wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly kutoka Misri ambao nao pia wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo. Ahmed…

Read More

KIMATAIFA FANYENI KWELI KAZI BADO IPO

KUPEWA majukumu katika timu Bongo kwa wachezaji ni jambo muhimu kuzingatia na kila mmoja kufanya kwa wakati kile kinachotakiwa ndani ya uwanja. Kwenye mechi za kimataifa hapo nguvu kubwa zinahitajika mbali na uwekezaji na wachezaji nao wanapaswa kujituma bila kuogopa. Tumeshuhudia namna Singida Fountain Gate walivyopenya hatua inayofuata kwenye Kombe la Shirikisho kwa kupata upinzani…

Read More

KUMTOA BEKI HUYU AZAM FC, JIPANGE KWELIKWELI

MABOSI wa Simba na Yanga kwa sasa ikiwa watakuwa wanahitaji kupata saini ya beki wa kazi ndani ya kikosi cha Azam FC,Daniel Amoah lazima wajipange kwa kuwa amejifunga miaka mingine zaidi. Novemba 4, Amoah ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, George Lwandamina aliongeza dili la miaka miwili hivyo ataendelea kuwa ndani ya Azam…

Read More

SIMBA WAWAFUATA WAARABU MOROCCO

WAWAKILISHI  wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Klabu ya Simba Desemba 5 2023 imeenza safari yakuelekea Morocco. Safari hiyo ni maalumu kwa ajili ya kuikabili timu ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Simba wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy walishuhudia ubao ukisoma Jwaneng Galaxy 0-0 Simba….

Read More

YANGA NI MWENDO WA KAZIKAZI

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa watafanya kazi kubwa kwenye mechi za kitaifa na kimataifa malengo ikiwa ni kufanya vizuri kutokana na uimara wa wachezaji wao. Yanga kwenye dirisha dogo la usajili ilitambulisha wachezaji wapya watatu ambao ni Agustino Okra, Shekhan Ibrahim na Joseph Guede.  Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kwenye kila mashindano ambayo…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA KUHUSU KUMSAJILI SAIDO WA YANGA

BAADA tetesi nyingi kuzagaa za kiungo Mrundi, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ kutua Simba, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kutamka hauna mpango wa kumsajili. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Yanga itangaze kutomuongezea mkataba kiungo uliomalizika Juni 30, mwaka huu. Mmoja wa mabosi wa Simba, amesema kuwa, ngumu kwao kumsajili mchezaji ambaye ameachwa na timu yake…

Read More

KUHUSU AUCHO, KIBWANA, PACOME ISHU YAO IPO HIVI

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns uongozi wa Yanga umebainisha kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huku ukibainisha kuhusu hali za wachezaji wao ambao hawapo fiti ikiwa ni Khalid Aucho, Pacome, Kibwana Shomari. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Mahi 30 Uwanja wa Mkapa

Read More

MWAKINYO AFUNGUKIA ISHU YAKE NA AZAM

BONDIA Mtanzania, Hassan Mwakinyo amewaomba radhi mashabiki wake kwa sintofahamu iliyojitokeza usiku wa Ijumaa ya Mei 31, katika ukumbi wa Warehouse Masaki ambako alitarajiwa kupigana na Mghana, Patrick Allotey na jambo hilo kushindikana dakika za mwisho za usiku ule. Kutokana na sintofahamu hiyo, Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, amesema hakuna shida yoyote…

Read More

SUALA LA MIKATABA LINAHITAJI UMAKINI

WACHEZAJI wengi kwenye timu mbalimbali Bongo wamekutana na Thank You kutokana na kile ambacho viongozi wameaona ilipaswa kufanyika hivyo. Sio Simba, Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate mpaka Geita Gold kuna wachezaji ambao walikutana na mkono wa asante. Pia kuna timu ambazo zilikutana na adhabu kutokana na kushindwa kuwalipa wachezaji ama makocha baada ya kuachana…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL HILAL YA SUDAN

FUNGA Agosti 2024 Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inashuka Uwanja wa KMC Complex kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza:- Manula Kapombe Nouma Che Malone Chamou Kagoma Kibu Fernades Ateba Chasambi Awesu Kwa wachezaji wa akiba ni:- Hussen Duchu Kazi Kijili Hamza Mzamiru Omary…

Read More