WINGA HUYU KUKUTANA NA THANK YOU

WINGA Jesus Moloko nyota wa Yanga anatajwa kuwa kwenye hesabu za kupewa mkono wa asante. Nyota huyo hajawa na nafasi kwenye kikosi cha Miguel Gamondi ndani ya Yanga kutokana na ushindani wa namba. Alikuwa kwenye kikosi kilichoshiriki Mapinduzi 2024 kikagotea hatua ya robo fainali kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 1-3 APR FC. Raia huyo wa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO

HII hapa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo ndani ya uwanja. Desemba 27 2024 Azam FC v JKT Tanzania, saa 1:00 usiku itakuwa Uwanja wa Azam Complex. Desemba 28 2024 Singida Black Stars v Simba, saa 10:00 jioni, itakuwa Uwanja wa Liti. Dodoma Jiji v Mashujaa,…

Read More

HUYU HAPA KIUNGO WA KAZI AMEMALIZANA NA GSM

TAARIFA zinaeleza kuwa, Klabu ya Yanga chini ya wadhamini wao Kampuni ya GSM, rasmi imemalizana na kiungo wa Uganda, Bobosi Byaruhanga na kumpatia mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kutua katika usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu. Bobosi ambaye alikuwa mchezaji huru kwa muda mrefu baada ya mkataba wake na…

Read More

MERIDIANBET WAINGIA LIGI KUU, WAMWAGA PESA KWA KMC!

Wiki imeanza vyema zaidi kwa Klabu ya soka ya KMC, ambao wamepata mdhamini mpya, ikiwa ni neema kwa klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania. KMC wameingia rasmi mkataba wa udhamini na klabu ya Meridianbet, ambao ni mabingwa na Kampuni ya kwanza ya ubashiri Tanzania. KMC imekuwa ni klabu inayokua kwa kasi tangu kuanzishwa…

Read More

SIMBA QUEENS WAIPIGA BITI YANGA PRINCES

JOTO la mechi ya Watani wa Jadi kwa upande wa soka la wanawake limezidi kutanda ambapo Yanga Princess watakuwa wenyeji wa Simba Queens katika mchezo utakaopigwa keshokutwa Jumamosi kwenye Dimba la Uhuru, Dar. Kuelekea mchezo huo wa raundi ya nne kunako Ligi Kuu ya Wanawake, Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma ametamba kuendeleza rekodi…

Read More

SNURA AZINDUA EP YAKE, AMZUNGUMZIA SHILOLE

  MALKIA wa Muziki wa Singeli Snura Mushi a.k.a Snura Majanga ameweka wazi kuwa bado hatamani wala kufikiria kumshirikisha Msanii mwenzake wa bongofleva Shilole.   Akizungumza mara baada ya kutambulisha rasmi EP yake ambayo imebeba takribani nyimbo 5 ikiwemo Jini,naota,Kaliamsha, pamoja na Zaina Huku akisindikiza na Kaliamsha yenye maadhi ya Mtindo wa kisasa “Amapiano”. Hata hivyo Snura amefafanua…

Read More

MASTAA WATATU MSIMBAZI KUIKOSA de AGOSTO

MENEJA wa Habari na  Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa akili zao kwa sasa zinafikiria mchezo wa leo dhidi ya de Agosto ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda ina kibarua cha kulinda ushindi wa mabao 3-1 ilioupata nchini Angola ili kuweza kusonga mbele katika hatua…

Read More

SIMBA:TUTAJARIBU KUSHINDA LEO KIMATAIFA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa leo watajaribu kushinda mbele ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Saa 1:00 usiku, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali ukiwa ni wa pili baada…

Read More

MAJALIWA AHITIMISHA JIMBO CUP RUANGWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo maarufu Jimbo cup kati ya Stand fc na Kiwengwa FC uliofanyika katika uwanja wa mpira wa miguu wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi. Katika mchezo huo uliopigwa Novemba 25, 2024, timu ya kiwengwa Fc iliibuka bingwa baada ya…

Read More

MAYELE MTAMBO WA MABAO YANGA

NDANI ya Yanga ni Fiston Mayele anaongoza kwa kutupia mabao akiwa nayo matatu, aliwatungua Polisi Tanzania, Coastal Union na Mtibwa Sugar. Msimu uliopita Mayele alitupia mabao 16 na pasi nne za mabao kinara alikuwa ni George Mpole wa Geita Gold alitupia mabao 17. Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kila mchezaji anahitaji kufanya…

Read More