YANGA: NINI MWARABU? TUNALITAKA KOMBE, BALEKE AFUNGUKA
Nini Mwarabu? Tunalitaka Kombe CAF, Baleke afunguka mazito Simba ndani ya Championi Ijumaa
Nini Mwarabu? Tunalitaka Kombe CAF, Baleke afunguka mazito Simba ndani ya Championi Ijumaa
KATIKA kilele cha Simba Day Agosti 6 2023 maelfu ya mashabiki waliojitokeza Uwanja wa Mkapa wameshuhudia burudani kutoka kwa mastaa wao waliotambulishwa. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 2-0 Power Dynamo ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mabao ya Simba yamefungwa na Willy Onana dakika ya nne na Fabrince Ngoma dakika ya 75…
Klabu ya Young Africans Sc imethibitisha kukamilisha usajili wa aliyekuwa Mshambuliaji wa Azam Fc, Prince Dube (27) raia wa Zimbabwe kama mchezaji mpya klabuni hapo kwa mkataba wa miaka miwili.
Kikosi cha Azam FC dhidi ya Tabora United, mzunguko wa pili Juni 18 2025 Uwanja wa Azam Complex saa 10:00 jioni kipo namna hii:- Zuberi Foba, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Yoro Diaby, Yeison Fuentes. Yahya Zayd, Idd Nado, Sopu, Nassor Sasdun, Fei Toto na Gibril Sillah. Wachezaji wa akiba ni : Hamis, Chilambo, Zouzou, Samake,…
Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…
Rais wa Shirikisho la soka la Afrika Kusini (SAFA) Danny Jordaan amekamatwa kufuatia madai ya kutumia pesa za Shirikisho hilo kujinufaisha binafsi, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Jordaan, ambaye alichukua jukumu kubwa katika kuandaa Kombe la Dunia la 2010 nchini Afrika Kusini, alijaribu kuzuia kukamatwa kwake siku ya Jumanne, lakini jana alikamatwa….
SHUKRANI kwa nahodha wa timu ya taifa ya Cameroon ambaye anakuwa ni raia wa Afrika wa kwanza kutoka Afrka kuwatungua Brazil na kuonyeshwa kadi nyekundu wakati akishanglia kwa kuwa alikuwa na kadi mbili za njano. Licha ya ushindi wa bao 1-0 waliopata Cameroon kwenye mchezo wa hatua ya makundi ikiwa ni kutoka kundi G walikwama…
Ijumaa ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja sasa tengenzeza jamvi lako na upige pesa hapa. Kivumbi kitakuwa pale BUNDSLIGA kwenye mechi hii inayowakutanisha FC Cologne dhidi ya Werder Bremen. Timu hizi zimepishana pointi 10 pekee huku ushindi akipewa mwenyeji ndani…
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umemalizana na winga wa mabao ndani ya Mtibwa Sugar, Ladack Chasambi. Nyota huyo jina lake lipo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi za kimataifa hivi karibuni. Ilikuwa ni kwenye kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia…
MSAFARA wa Yanga leo Julai 5 umeanza safari kwa ajili ya kuelekea nchini Malawi. Timu hiyo imealikwa katika mchezo maalumu wa siku ya Uhuru ikiwa ni miaka 59 ya Uhuu wa Malawi. Julai 6 kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mchezo maalumu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa nyota waliopo katika kikosi ni…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina anatajwa kuwa kwenye furaha kuwaona makipa watatu wakiwa kwenye uimara mazoezini. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara kwenye upande wa makipa wapo watatu ikiwa ni Djigui Diarra raia wa Mali huyu ni kipa namba moja. Djigui ana tuzo ya kipa bora na yupo…
KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…
IMEELEZWA kuwa kiungo wa Simba Nassoro Kapama amewagomea mabosi wa Simba kwenye ishu yake ya mkataba ambapo nyota huyo anatakiwa na Mtibwa Sugar kwa ajili ya kuwa hapo kwa mkopo.
JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi zao zilizopita watafanyia kazi ili kupata matokeo mazuri. Ihefu haijaanza kwa kufanya vizuri kwenye mechi za mwanzo ndani ya msimu wa 2022/23. Ikiwa imecheza mechi 4 haijakusanya pointi zaidi ya kuishia kupoteza mechi zote nne ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa…
Expanse Studios iko tayari kuandika historia huko G2E Las Vegas, ambayo ni Roma ya sasa kwenye ulimwengu wa iGaming, ili kuwasilisha bidhaa mpya ya michezo ya kasino mtandaoni kwenye kituo cha 5130 kuanzia tarehe 9 hadi 12 Oktoba. Kwenye uzinduzi huo utashuhudia michezo mipya mbalimbali kama michezo ya kadi, roulette, na michezo ya mezani, Expanse…
MWAMBA Mudathir Yahya ameweka rekodi ya kuwa ni mkali wa kutibua mipango hiyo na kuipa timu hiyo pointi tatu mazima Uwanja wa Azam Complex. Ikumbukwe kwamba Yanga ilipata sare yake ya kwanza msimu wa 2023/23 Februari 2 ubao wa Uwanja wa Kaitaba uliposoma Kagera Sugar 0-0 Yanga ambapo wapinzani wao walitumia mbinu ya kujilinda zaidi….
SIMBA leo Julai 9,2022 imemtambulisha mshambuliaji Habib Kyombo ambaye alikuwa anacheza ndani ya kikosi cha Mbeya Kwanza, unakuwa ni usajili wa kwanza kwa mzawa kuweza kutambulishwa aada ya kukamilisha ule wa Moses Phiri