YANGA YAIVUTIA KASI IHEFU

BAADA ya kuenguliwa kwenye Kombe la Mapinduzi kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufugana dhidi ya Singida Big Stars kikosi cha Yanga kimeanza maandalizi kuikabili Ihefu. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumatatu ya wiki ijayo. Ihefu ambayo mchezo wa mzunguko wa kwanza iliwatungua Yanga mabao 2-1 itakabiliana…

Read More

CITY INACHAPA TU, HAALAND ATUPIA

 MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland kwenye mchezo wa Ligi Kuu Enland dhidi ya Fulham alitokea banchi na kufunga bao la ushindi kwa timu hiyo. Wakiwa pungufu City baada ya nyota wao Joao Cancelo kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 26 ubao wa Etihad ulikuwa unasoma City 1-1 Fulham. Bao la mapema kwa City lilifungwa na…

Read More

HAPA NDIPO TATIZO LA SIMBA LILIPO

NI umakini kwenye safu ya kiungo, ulinzi na mlinda mlango wa Simba hawa ni tatizo ndani ya mechi tano mfululizo ambapo iliruhusu jumla ya mabao sita huku ile ya ushambuliaji ikitupia mabao 9. Ndani ya dakika 450 ukuta wa Simba unatunguliwa bao moja kila baada ya dakika 75 huku safu ya ushambuliaji ikiwa na hatari…

Read More

ULINZI UNYAMANI NI PASUA KICHWA

NDANI ya tatu bora msimu wa 2023/24 kikosi cha Simba kwenye ulinzi ni pasua kichwa baada ya kucheza mechi 25 kwenye mechi za ushindani. Ni Kariakoo Dabi mzunguko wa kwanza unaingia kwenye orodha ya mchezo ulikusanya mabao mengi kwa Simba mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga na pointi…

Read More

YANGA WANA NJAA KALI KWELIKWELI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wana njaa ya kupata alama tatu baada ya kupishana nazo kwenye mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Aprili 24 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Meja Isamuhyo ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga wote wakagawana pointi mojamoja. Pointi hiyo inawafanya Yanga kufikisha…

Read More

HESABU ZA YANGA KWA KMC ZIPO NAMNA HII

NJE ya uwanja, tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amewamaliza wapinzani wake, KMC wenye maskani yao Kinondoni, Dar es Salaam. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana kesho Jumamosi saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara raundi ya 18. Katika mchezo huo, Yanga itaingia uwanjani ikitaka kuendeleza rekodi…

Read More

MO AMETEUA KAMATI YA MASHINDANO SIMBA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba Sc, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameteua Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo ambayo itakuwa na wajumbe saba. Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo Agosti 1, 2024 imebainisha Wajumbe hao walioteuliwa ambao ni Mohamed Nassor, Azan Said, Richard Mwalwiba, Nicky Magarinza, Juma Pinto, Farid Nahdi na Farouk Baghozah.

Read More

SIMBA DAY YAZINDULIWA LEO MBAGALA

ZIMEBAKI siku nane kuweza kufika Agosti 8/2022 ambayo itakuwa ni siku ya Simba Day leo Uongozi wa timu hiyo umeweza kuzindua rasmi Wiki ya Simba katika Viwanja vya Mbagala Zakhiem,Dar. Miongoni wa waliokuwepo kwenye uzinduzi huo ambao umehudhiuriwa na mashabiki wengi wa Simba ni pamoja na Mtendaji Mkuu wa Simba,Barbara Gonzalez. Kwa mujibu wa Meneja…

Read More

BARCELONA YAPASUKA EL CLASICO

MCHEZO wa El Clasico, Barcelona wameshuhudia wakipoteza pointi tatu mazima ndani ya Uwanja wa Camp Nou. Ulikuwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania, (La Liga) uliokuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Barcelona 1-2 Real Madrid ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa miamba hawa wa Hispania kukutana…

Read More

ISHU YA TAMMY KURUDI ENGLAND NGOMA NZITO

IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa kikosi cha AS Roma, Tammy Abraham yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi cha Arsenal kinachoshiriki Ligi Kuu England huku bosi wake akiweka wazi kwamba hadhani kama anaweza kurudi huko. Roma ilimsajili Tammy msimu uliopita akitokea Chelsea na ilikuwa ni baada ya Kocha Mkuu Jose Mourinho kujiunga na timu hiyo….

Read More

SENZO AKUBALI UWEZO WA NABI

KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Yanga, Senzo Mbatha Mazingisa amesema kuwa kila sikuanazidi kufurahishwa na utendaji kazi na juhudi kubwa inayoonyeshwa na wachezaji wa timu hiyo kuwa ni kazikubwa inayofanywa na benchi la ufundi chini ya kocha Nabi. Katika msimu huu, Yanga ilianza kwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii na hadi sasa Yanga imekaa kileleni katika msimamo wa ligi Kuu kwa pointi tisa katika michezo yote mitatu iliyocheza.  Senzo amesema kuwa shukrani…

Read More

MAMBO NI MOTO WIKENDI HII SUKA JAMVI LAKO UPIGE MPUNGA!

Baada ya pilika pilika za wiki nzima sasa tumerejea kwenye jambo letu ambalo si lingine bali ni hili la kutengeneza jamvi lako ukiwa na Meridianbet ambalo litakufanya ukusanye mpunga wa maana na ukaifurahia siku yako vizuri kwani hakuna anayependa kukosa pesa. Ingia meridianbet na usuke mkeka wako. Na mimi nakupeleka moja moja kwenye ligi pendwa…

Read More

JISHINDIE TZS 1.5 BILIONI NA MERIDIANBET KUPITIA LUCKY RUSH TOURNAMENT

Meridianbet inawapa wachezaji fursa ya kipekee ya kushiriki Lucky Rush Tournament, promosheni ya kusisimua iliyoanza tarehe 27 Juni hadi 3 Agosti 2025. Promosheni hii inatoa zawadi za pesa taslimu TZS 1.5 bilioni, zikigawanywa katika mashindano matano ya leaderboard, kila moja ikiwa na TZS 300 milioni kwa washindi 5,000. Ili kushiriki, wachezaji wanahitaji kujiandikisha (opt-in) kwa…

Read More

YANGA KUIKABILI STAND UNITED KMC COMPLEX

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Stand United, Uwanja wa KMC Complex. Yanga metoka kupata ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More