Beki wa kazi Simba SC aanza matizi
RASMI beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Steve Barker ameanza mazoezi maalumu ili kurejea katika ubora. Ni Abdulrazack Hamza ambaye alipata maumivu kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Anatarajiwa kuwa nje kwa msimu mzima akipambania hali yake ikiwa atatengamaa mapema…