HT: Mtibwa Sugar 0-1 Yanga SC

Mtibwa Sugar 0-1 Yanga SC NBC Premier League Machi 21,2026 Mtibwa Sugar 0-1 Yanga SC ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma unasoma namna hiyo kwa sasa. Goli la ufunguzi kwa Yanga SC limefungwa dakika ya 23 ya mchezo huo kupitia kiungo Pacome Zouzoua. Ndani ya dakika 45, Yanga SC wamepiga jumla ya mashuti mawili ambayo…

Read More

Simba SC yaingia ubaridi kuwakabili TRA United

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelelea mchezo wa NBC Premier League Simba SC vs TRA United, Machi 22, 2026 Uwanja wa Mej General Isahmuyo, wenyeji wameingiwa na ubaridi. Simba SC imetoka Mwanza kwenye mji wenye mawe mengi na ziwa Victoria ambapo walikuwa na mchezo wa ligi dhidi ya Pamba Jiji FC. Machi 19, 2026 ubao…

Read More

Mtibwa Sugar kamili kuikabili Yanga SC

Awadhi Juma, kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar amesema wamefanya maandalizi mazuri kwa ajili ya mchezo wa ligi dhidi ya Yanga SC. Mtibwa Sugar kwenye msimamo ipo nafasi ya 9 pointi 21 baada ya mechi 16 inawakaribisha vinara Yanga SC wenye pointi 37 baada ya mechi 15. Awadhi amesema: “Tunatambua ni mchezo mgumu kulingana na ratiba…

Read More

Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu katika mchezo kati ya Azam FC na Yanga. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare tasa, mwamuzi huyo alishindwa kutoa penalti kwa Yanga licha ya tukio la…

Read More