Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Baada ya Kichapo cha 2-1
Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua ya robo fainali. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza, Pyramids walishuka dimbani wakiwa na matumaini ya kusonga mbele, lakini walijikuta wakizidiwa mbinu na wapinzani…