Napoli Dhidi ya Arsenal Vita ya Kuwania Pointi Tatu UCL
Napoli inaanza kampeni yake ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mtihani mzito dhidi ya washindi wapili wa michuano hii msimu ulioisha Arsenal, mchezo utakaopigwa leo Jumatano, Septemba 9, saa 22:00 usiku, katika Uwanja wa Diego Armando Maradona. Huu ni mchezo unaobeba uzito mkubwa kwa timu zote mbili, kwani kupata pointi katika mechi ya kwanza kunaweza…