Baraza la Michezo Laibua Jingine Simba! “Serikali Imekamilisha Wajibu Wake” – Video

Dar es Salaam: Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa Katiba ya Klabu ya Simba iliyofanyiwa marekebisho na kuidhinishwa rasmi Februari 18, 2026. Kwa mujibu wa BMT, marekebisho hayo yalipitishwa na Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Simba uliofanyika Novemba 30, 2025, kabla ya kuwasilishwa kwa Msajili wa Vyama na Vilabu vya…

Read More

Eastern Fury yafika Meridianbet, nguvu mpya ya kasino ya Pragmatic Play

Mashabiki wa michezo mipya, kuna kitu kipya kimeingia uwanjani. Eastern Fury kutoka Pragmatic Play sasa inapatikana kwenye kipindi maalumu cha uzinduzi wa utangulizi kupitia jukwaa bora la kasino mtandaoni la Meridianbet hadi 27 Agosti 2026, ikileta burudani yenye ladha ya kipekee kutoka Mashariki. Fikiria ukiingia kwenye ulimwengu uliojaa nguvu, nishati kali, nafasi kubwa na nyingi…

Read More