Ratiba ya NBC Premier League Juni 30,2026

NBC Premier League funga kazi ni Juni 30,2026 ikiwa ni raudi ya 30 hii hapa ratiba ya mechi zote zipo namna hii:- JKT Tanzania vs Yanga SC itarushwa Azam Sports 1 HD Simba SC vs KMC FC itarushwa Azam Sports 2 HD Coastal Union vs Pamba Jiji FC, Azam One Fountain Gate vs Singida Black…

Read More

Okello ameandika rekodi yake Bongo raundi ya 29

Alllan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ameandika rekodi yake Bongo katika mechi za raundi ya 29 kwa kusepa na mpira na tuzo ya mchezaji bora. Juni 27,2026 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-0 TRA United pointi 3 zikibaki kwa mabingwa watetezi. Mabao yote kwenye mchezo huo yalifungwa na Okello ambaye…

Read More