Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC
UBAO wa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro umesoma Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC ikiwa ni NBC Premier League mzunguko wa pili kwa wababe hawa wawili. Mabao yamefungwa na Rushine dakika ya 9 kwa penati, Seleman Mwalimu dakika ya 77 na Anicent Oura dakika 90. Matokeo haya yanaifanya Simba SC kufikisha pointi 67 nafasi ya pili tofauti…