Neymar aonyesha matumaini makubwa kurejea kabla ya Kombe la Dunia
Neymar ameendelea kuonyesha maendeleo mazuri katika tiba ya jeraha la nyama ya ndama (calf injury), kulingana na taarifa ya Shirikisho la Soka la Brazil iliyotolewa Jumatatu. MRI ya hivi karibuni imeonesha kuwa nyota huyo wa Brazil “anaendelea vizuri” na mchakato wa kupona, huku akiwa chini ya uangalizi wa timu ya madaktari wa timu ya taifa….