Yanga Yapokea Kichapo cha Kwanza Msimu Huu Dhidi ya Dodoma Jiji
Yanga imepoteza mchezo wao wa kwanza msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa uliofanyika kwenye uwanja wa Dodoma. Licha ya kupoteza mchezo huo, Yanga bado wanaendelea kusalia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC wakiwa na pointi 54 baada ya kucheza…