Alphonce Simbu Aibuka Mwanamichezo Bora wa Kiume BMT 2025
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Tuzo…