Skip to content
Sunday, May 10, 2026
  • Alphonce Simbu Aibuka Mwanamichezo Bora wa Kiume BMT 2025
  • Rais Samia Apewa Tuzo na BMT Kutambua Mchango Wake Kwenye Michezo
  • USM Alger Yaichapa Zamalek Fainali ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
  • Waziri Mkuu Aeleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Kwenye Michezo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Alphonce Simbu Aibuka Mwanamichezo Bora wa Kiume BMT 2025
  • Rais Samia Apewa Tuzo na BMT Kutambua Mchango Wake Kwenye Michezo
  • USM Alger Yaichapa Zamalek Fainali ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
  • Waziri Mkuu Aeleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Kwenye Michezo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • May
  • 10

May 10, 2026

  • International
  • Sports

Alphonce Simbu Aibuka Mwanamichezo Bora wa Kiume BMT 2025

Saleh4 hours ago01 mins

Mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu ametwaa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume wa Mwaka katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025. Tuzo hiyo imekabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es Salaam. Tuzo…

Read More
  • Sports

Rais Samia Apewa Tuzo na BMT Kutambua Mchango Wake Kwenye Michezo

Saleh4 hours ago01 mins

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekabidhi Tuzo Maalum ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu, Mwigulu Lameck Nchemba, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa Rais huyo katika maendeleo ya sekta ya michezo nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) 2025 zilizofanyika katika…

Read More
  • International
  • Sports

USM Alger Yaichapa Zamalek Fainali ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)

Saleh5 hours ago01 mins

Klabu ya USM Alger imepiga hatua muhimu kuelekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Zamalek SC katika mchezo wa kwanza wa fainali uliopigwa nchini Algeria. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 90+8 kupitia kwa Ahmed Khaldi na kuipa USM Alger ushindi muhimu…

Read More
  • Sports

Waziri Mkuu Aeleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Kwenye Michezo

Saleh5 hours ago02 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uongozi wake mahiri, dira pana na dhamira ya dhati ya kuwekeza katika sekta ya michezo ambapo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, sekta hiyo imepiga hatua kubwa ambazo leo zinashuhudiwa kwa fahari, kuongezeka hamasa, ushindani na mafanikio ya timu na wanamichezo…

Read More
  • International
  • Sports

Simba Yatwaa Tuzo ya Klabu Bora ya Wanaume BMT 2025

Saleh5 hours ago01 mins

Simba SC imetwaa tuzo ya Klabu Bora ya Wanaume wa Mwaka 2025 katika Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) zilizofanyika Mei 9, 2026 katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Gerson Msigwa na kupokewa na Zubeda Sakuru. Washindi wengine wakuu ni: Alphonce Simbu — Mwanamichezo Bora…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.