Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League leo Mei 9

NBC Premier League inaendelea leo Mei 9 ambapo kuna michezo miwili mikali kwa wababe kusaka ushindi ndani ya uwanja. Saa 10:00 jioni, Singida Black Stars vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Airtel Saa 12:15, Yanga SC vs Coastal Union, Uwanja wa KMC Complex Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 51 hawajapoteza…

Read More