Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex

Simba SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex saa 1:00 jioni ukiwa ni mchezo wa NBC Premier League. Tayari viingilio vimetajwa ambapo mzunguko ni 10,000 na VIP 20,000 kushuhudia burudani ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba 6 kwa ubora. Kwenye msimamo Simba SC ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 46 inakutana…

Read More

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri

Yanga SC vs Coastal Union utachezwa mchezo mzuri leo Mei 9,2026 baada ya benchi la ufundi la wenyeji kubainisha hivyo. Wananchi ni mabingwa watetezi wanatarajia kuvaana na Coastal Union kwenye mchezo wa NBC Premier League, leo saa 12:15, Uwanja wa KMC Complex. Mchezo ulipita kwa Yanga SC ilipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya KMC…

Read More

Real Madrid Yawatoza Faini Valverde na Tchouaméni

Real Madrid imeripotiwa kuwatoza faini ya euro 500,000 kila mmoja viungo wake Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni kufuatia kuhusishwa katika mzozo uliotokea wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali, wawili hao waliingia kwenye mabishano makali wakati wa mazoezi yenye ushindani mkubwa, kabla hali hiyo haijageuka kuwa ya vurugu na kuwalazimu makocha…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League leo Mei 9

NBC Premier League inaendelea leo Mei 9 ambapo kuna michezo miwili mikali kwa wababe kusaka ushindi ndani ya uwanja. Saa 10:00 jioni, Singida Black Stars vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Airtel Saa 12:15, Yanga SC vs Coastal Union, Uwanja wa KMC Complex Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga SC wakiwa na pointi 51 hawajapoteza…

Read More