Skip to content
Monday, May 4, 2026
  • CAF Yamtaja Mwamuzi Ndala Kuongoza Fainali ya CAF Champions League 2026
  • Makonda Awasili Bungeni Akiambatana na Nyota wa Soka Didier Drogba
  • Harry Maguire Anavuna Matunda ya ‘Slabhead’ Kwa Pesa Kubwa
  • Hatima ya Ubingwa: Simba SC na Yanga SC Kwenye Dabi ya Kariakoo Leo!

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • CAF Yamtaja Mwamuzi Ndala Kuongoza Fainali ya CAF Champions League 2026
  • Makonda Awasili Bungeni Akiambatana na Nyota wa Soka Didier Drogba
  • Harry Maguire Anavuna Matunda ya ‘Slabhead’ Kwa Pesa Kubwa
  • Hatima ya Ubingwa: Simba SC na Yanga SC Kwenye Dabi ya Kariakoo Leo!

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • May
  • 4

May 4, 2026

  • Sports

CAF Yamtaja Mwamuzi Ndala Kuongoza Fainali ya CAF Champions League 2026

Saleh6 minutes ago02 mins

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Jacques Ndala, kusimamia mchezo wa mkondo wa kwanza wa fainali ya CAF Champions League kati ya Mamelodi Sundowns na FAR Rabat. Mchezo huo utapigwa Mei 17, 2026, katika Uwanja wa Tshwane-Loftus Versfeld nchini Afrika Kusini, kabla ya marudiano kufanyika nchini Morocco…

Read More
  • Sports

Makonda Awasili Bungeni Akiambatana na Nyota wa Soka Didier Drogba

Saleh3 hours ago01 mins

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, leo Mei 4, 2026 amewasili katika viwanja vya Bunge la Tanzania jijini Dodoma akiwa pamoja na gwiji wa soka wa Ivory Coast, Didier Drogba. Drogba, ambaye anajulikana sana kwa mafanikio yake akiwa mshambuliaji wa klabu ya Chelsea F.C., alihudhuria tukio hilo maalum ambapo Makonda alikuwa akiwasilisha…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.