CAF Yamtaja Mwamuzi Ndala Kuongoza Fainali ya CAF Champions League 2026
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Jacques Ndala, kusimamia mchezo wa mkondo wa kwanza wa fainali ya CAF Champions League kati ya Mamelodi Sundowns na FAR Rabat. Mchezo huo utapigwa Mei 17, 2026, katika Uwanja wa Tshwane-Loftus Versfeld nchini Afrika Kusini, kabla ya marudiano kufanyika nchini Morocco…