Matokeo ya Simba SC Muungano Cup 2026
Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Mlandege FC katika mchezo nusu fainali ya pili. Ushindi huo unaipata tiketi kukutana na Yanga SC kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kuchezwa Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Ni wazi kwamba mabingwa watetezi wa…