Matokeo ya Simba SC Muungano Cup 2026

Simba SC imekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Mlandege FC katika mchezo nusu fainali ya pili. Ushindi huo unaipata tiketi kukutana na Yanga SC kwenye mchezo wa fainali unaotarajiwa kuchezwa Aprili 29, 2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Ni wazi kwamba mabingwa watetezi wa…

Read More

Yanga SC vs Simba SC, Muungano Cup fainali

Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa kesho 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia katika mchezo huu kama mabingwa watetezi, huku watani zao…

Read More