Singida Black Stars 1-2 Azam FC NBC Premier League
Singida Black Stars 1-2 Azam FC NBC Premier League matokeo rasmi ya mchezo wa leo Aprili Mosi, 2026, Singida. Kwa mara nyingine tena wenyeji wamepoteza alama tatu muhimu kutoka kwa timu ambazo zipo ndani ya 3 bora kwenye msimamo wa ligi. Ilianza kupoteza mbele ya Yanga SC kwa kufungwa goli 3-0 kisha Simba SC kwa…