Simba SC yapishana na kombe la kwanza 2026
SIMBA SC imepishana na kombe la kwanza ndani ya 2026 baada ya kupoteza nusu fainali ya kwanza mbele ya Azam FC. Januari 8 2026 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 1-0 Simba SC bao la ushindi likifungwa na Lameck Lawi dakika ya 73. Hili ni taji la kwanza ndani ya 2026 Simba SC…