>

๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ข๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—œ๐—ž๐—˜๐—ง๐—œ ๐— ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐Ÿฎ๐Ÿฏ/๐Ÿฎ๐Ÿฐ

Mauzo ya tiketi za kuingia viwanjani kwenye michezo ya nyumbani ya klabu zote za ligi kuu ya NBC kwenye msimu wa 2023/24. Klabu ya Simba Sc imeongoza kwenye mauzo hayo huku ikitajwa kuingia zaidi ya kiasi cha shilingi Milioni ( 835, 805, 000 Tsh) huku Wananchi Yanga wapo nafasi ya pili wakiingiza jumla ya kiasi…

Read More

KIMENUKA YANGA – WAZEE WAMKATAA MZEE MAGOMA – KESI ya INJINIA HERSI ni UTATA MTUPU – VIDEO

โ€œMei 2024 walalamikaji walipeleka maombi ya kukazia hukumu kwa Hakimu Mkazi Kisutu, kuomba Mahakama kulifuta baraza la wadhamini wa Yanga na kuutoa uongozi wa Yanga na kutaka wakabidhiwe timu na Asset zote za Yanga waendeshe wao. โ€œBaada ya kufanya hivyo Juni 10, 2024 klabu ilipata taarifa kwamba kuna kundi la watu wamepeleka maombi Mahakami kuomba…

Read More

SHINDA MAMILIONI YA EXPANSE KASINO

Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibuka mshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaoni huku ukivuna mabonasi ya kasino kibao. Jisajili hapa kisha anza safari ya ushindi. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE? Expanse Tournament…

Read More

YANGA KUMALIZANA NA MSHAMBULIAJI HUYU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kuna wachezaji ambao watatambulishwa ndani ya kikosi hicho wakiwa na uwezo mkubwa jambo litakaloongeza nguvu kuelekea msimu wa 2024/25. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi msimu wa 2023/24 safu ya ushambuliaji ilifunga jumla ya mabao 71 na kinara alikuwa ni Aziz Ki aliyefunga mabao 21. Kwa upande wa maingizo…

Read More

INONGA ANATUA AS FAR RABAT

BEKI wa zamani wa Simba ya Tanzania, Henock Inonga anatajwa kuwa kwenye changamoto mpya ndani ya AS FAR Rabat kwa ajili ya kutimiza majukumu yake hapo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Inonga ndani ya ligi alicheza mechi 10 pekee za ligi muda mwingi alikuwa akitumia kwenye matibabu kwa kuwa hakuwa fiti. Inonga anatua AS FAR…

Read More

BARAZA LA WADHAMINI YANGA MATATANI

YANGA imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hukumu hiyo inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4,2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la wadhamini la Yanga lililowekwa madarakani kwa katiba ya mwaka…

Read More

UNAWEZA UKAOKOTA MAOKOTO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Jumanne ya leo hii timu mbalimbali zinaendelea kujifua vyema na kujiweka sawa kwaajili ya msimu mpya wa 2024/25 ambao unatarajiwa mwezi ujao katikati. Hivyo na wewe unaweza ukaanza kutafuta pesa kwaajili ya kukusaidia kila siku. Kule Afrika Kusini Mamelod Sundowns atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya SV Sandhausen ya kule Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Masandawana wameachana na…

Read More

KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND ATANGAZA KUJIUZULU

Mkufunzi Gareth Southgate ametangaza kujiuzulu nafasi yake kama kocha wa timu ya taifa ya England ikiwa ni siku mbili baada ya kushindwa kuiongoza England kutwaa ubingwa wa EURO 2024 dhidi ya Uhispania kwenye fainali. Southgate (53) raia wa England ameiongoza England kwenye mechi 102 kwa miaka 8 ya uhudumu wake kwenye nafasi hiyo lakini hakufanikiwa…

Read More

SIMBA YATANGAZA KUVUNJA MKATABA WA JOBE

KLABU ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe baada ya kuhudumu klabuni hapo wa kipindi kifupi cha miezi sita tu. Jobe aliibuka ndani ya Simba kwenye dirisha dogo kwa lengo la kuongeza nguvu katika kikosi hicho ambapo ni Moses Phiri aliondoka ili asajiliwe. Wakati Phiri anaondoka Simba alikuwa amefunga…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA, MAELEKEZO KUFUATWA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba kazi inaendelea kwa kuendelea na mazoezi kambini kuelekea msimu wa 2024/25. Msimu wa 2023/24 Simba iligotea nafasi ya tatu ikiwa na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 ina kibarua cha kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Beki wa kati Che Malone amesema kuwa…

Read More